Uchaguzi 2020 Vyama vya Upinzani msipoteze muda kuweka wagombea Urais

Chagu wa Malunde

JF-Expert Member
Jul 11, 2015
8,708
5,711
Natoa ushauri tu kwa vyama vya Upinzani kujitafakari na kutopoteza muda na pesa kuweka mgombea urais. Hii ni kwa sababu utendaji kazi wa rais JPM tayari umeshampa ushindi mkubwa. Kudhibiti mianya ya rushwa kwenye halmashauri, ujenzi wa miundo mbinu kama daraja la busisi (umeashaanza) kurudisha uwajibikaji kwa watumishi wa umma n.k.(baadhi ya mifano).

Vyama vya upinzani Cuf Chadema na Chauma vimepoteza imani kwa wananchi na vinaonekana ni vya waganga njaa.

Hivyo basi visipoteze muda na pesa za wanachama wachache amabao ni vichwa ngumu waliobaki huko.
Ila kwa udiwani na ubunge nashauri vijaribu.

N.B Sina chama ni ushauri tu kama ukiumia jikaze kisabuni.
 
masoudkipanya_B9A_6OMDjZT.jpeg
 
Mimi sioni mtu anaekubarika, mwenye mvuto, mwenye nia wte waliopo vyama vya upinzani

Lipumba!! Hana sera
Myika.. tetetete
Mbowe!!!! Ha ha ha

Lissu!!!! Ha ha haaaa
Zitto ! Hooo hoo natapika
 
Kwenye halmashauri amedhibiti mianya ya rushwa au amewanyang'anya vyanzo vya mapato na kuwanyima hela? Wataiba nini kama hawana hela wala mapato? Research yako ina uwalakini. Nimesoma kidogo tu nikaacha maana hueleweki.
Wakurugenzi walikuwa wanatumia pesa hovyo na ubadhirifu ulikuwa pmkubwa sana. Ndio maana hataki wawe na pesa kama kuna mradi wanaomba pesa alafu wanapewa. Pesa zinatakiwa zikae hazina. Na sio kwamba vyanzo vyote wamenyang'anywa.
 
Dah...nasikiaga eti Tume ya Uchaguzi eti humlipa milioni 100 kila mgombea urais eti kwa ajili ya kampeni...nimesikia tu 🤭
 
Wakurugenzi walikuwa wanatumia pesa hovyo na ubadhirifu ulikuwa pmkubwa sana. Ndio maana hataki wawe na pesa kama kuna mradi wanaomba pesa alafu wanapewa. Pesa zinatakiwa zikae hazina. Na sio kwamba vyanzo vyote wamenyang'anywa.
Wakurugenzi hao walikuwa wanatokana na chama cha FRELIMO? Je hawa mliowachagua sasa hivi kwasingizio cha ukada nao pia wanatumia hela hovyo?
 
Back
Top Bottom