Arusha ipi mkuu.Ilishazikwa muda mrefu.Kiongozi wa maana wa mwisho alikuwa ni Ally Bananga.CDM wala haipo tena. Haina ushawishi popote zaidi ya Kilimanjaro na Arusha kidogo. Chama cha wahuni nani anataka?
Hakuna uongozi wa Chadema Arusha.Lema nae kawa mkimbizi.