Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
katiba ya nchi si katiba ya vyama vya siasa,
vyama vya siasa visi "take" advantage kujitafutia umaarufu kwenye suala la katiba mpya,
hapa watanzania wote tuna nafasi sawa ya kuandaa tanzania yetu ya kesho,si jukumu la yule.
nawajua sana wana siasa kwa kuteka hoja kwa maslahi ya kisiasa,wanatabia ya kuteka hata misiba...
kila anayejiita mtanzania ashiriki mchakato huu ipasavyo ili tupate katiba ya wananchi inayotokana na wananchi wenyewe na si katiba kwa ajili ya wananchi.
Nawasilisha.
vyama vya siasa visi "take" advantage kujitafutia umaarufu kwenye suala la katiba mpya,
hapa watanzania wote tuna nafasi sawa ya kuandaa tanzania yetu ya kesho,si jukumu la yule.
nawajua sana wana siasa kwa kuteka hoja kwa maslahi ya kisiasa,wanatabia ya kuteka hata misiba...
kila anayejiita mtanzania ashiriki mchakato huu ipasavyo ili tupate katiba ya wananchi inayotokana na wananchi wenyewe na si katiba kwa ajili ya wananchi.
Nawasilisha.