Vyama vya siasa visiuteke mchakato wa katiba mpya

Mwanajamii

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
7,063
68
katiba ya nchi si katiba ya vyama vya siasa,
vyama vya siasa visi "take" advantage kujitafutia umaarufu kwenye suala la katiba mpya,
hapa watanzania wote tuna nafasi sawa ya kuandaa tanzania yetu ya kesho,si jukumu la yule.
nawajua sana wana siasa kwa kuteka hoja kwa maslahi ya kisiasa,wanatabia ya kuteka hata misiba...
kila anayejiita mtanzania ashiriki mchakato huu ipasavyo ili tupate katiba ya wananchi inayotokana na wananchi wenyewe na si katiba kwa ajili ya wananchi.
Nawasilisha.
 
katiba ya nchi si katiba ya vyama vya siasa,
vyama vya siasa visi "take" advantage kujitafutia umaarufu kwenye suala la katiba mpya,
hapa watanzania wote tuna nafasi sawa ya kuandaa tanzania yetu ya kesho,si jukumu la yule.
nawajua sana wana siasa kwa kuteka hoja kwa maslahi ya kisiasa,wanatabia ya kuteka hata misiba...
kila anayejiita mtanzania ashiriki mchakato huu ipasavyo ili tupate katiba ya wananchi inayotokana na wananchi wenyewe na si katiba kwa ajili ya wananchi.
Nawasilisha.

Suala la katiba ni suala la watu wote na makundi mbalimbali. Linapotokea kundi fulani linazungumzia katIba na kundi lingine likakaa kimya kundi linalokaa kimya lisipige kelele eti kundi fulani linateka mjadala wa katiba ni upuuzi; nani kakukataza kushiriki ukiwa kama kikundi au mtu binafsi?

Wenye hoja acheni wajenge hoja na wanaokaa kmya waache wakae kimya. HAPANA KULAUMU.
 
Mtoa hoja hujaweka hoja yako sawa usikurupuke. Weka wazi ni vyama gani vya siasa unavyovilenga kwa maana kama ni kutekwa hoja, ilishatekwa na vyama vya CCM na CUF pale walipopitisha muswada kabla ya wananchi kuujadili jambo ambalo CDM hawakubaliani nalo. Weka hoja yako vizuri ueleweke ingawa kimsingi ilishapitwa na wakati.
 
Naunga mkono hoja.... Naona chadema na ccm wanataka kutupigisha siasa wakati katiba iko kisheria na utawala zaidi

naanza kuhisi ngiri na nguruwe lao ni moja
 
Back
Top Bottom