tatanyengo
JF-Expert Member
- Mar 30, 2011
- 1,134
- 280
Katika siku za hivi karibuni kumekuwa na harakati nyingi za vyama vya siasa (hasa CHADEMA na CCM) kutafuta wanachama na kufungua matawi ya vyama husika huko ughaibuni.
Ningependa kufahamu siri iliyojificha katika harakati hizo kwani ninavyofahamu mimi mpaka sasa nchi yetu haina utaratibu wa kuwashirikisha wananchi waishio nje ya nchi katika kupiga kura. Pengine hoja yangu ya msingi ni kwamba ni kwa namna gani harakati hizo ni sehemu ya suluhisho la matatizo yaliyoko nyumbani (Tanzania)?
Ningependa kufahamu siri iliyojificha katika harakati hizo kwani ninavyofahamu mimi mpaka sasa nchi yetu haina utaratibu wa kuwashirikisha wananchi waishio nje ya nchi katika kupiga kura. Pengine hoja yangu ya msingi ni kwamba ni kwa namna gani harakati hizo ni sehemu ya suluhisho la matatizo yaliyoko nyumbani (Tanzania)?