YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,903
Hakuna sheria inayotamka ukomo wa mbunge. Rais tu ndio ana ukomo wa miaka kumi.
Kuingiza damu mpya ni muhimu kwa vyama vyenyewe vya siasa na nchi ili kuingiza mawazo mpya na msukumo mpya.
Naomba vyama vyote vya siasa ikiwemo CCM, mbunge yeyote aliyekaa bungeni miaka kumi au zaidi awe wa kuchaguliwa, kuteuliwa au viti maalumu, kateni jina lake
Mambo mengine sio lazima katiba iseme. Miaka kumi kwa mbunge inamtosha.
Watu wasigeuze ubunge kuwa ni uchifu.
Kuingiza damu mpya ni muhimu kwa vyama vyenyewe vya siasa na nchi ili kuingiza mawazo mpya na msukumo mpya.
Naomba vyama vyote vya siasa ikiwemo CCM, mbunge yeyote aliyekaa bungeni miaka kumi au zaidi awe wa kuchaguliwa, kuteuliwa au viti maalumu, kateni jina lake
Mambo mengine sio lazima katiba iseme. Miaka kumi kwa mbunge inamtosha.
Watu wasigeuze ubunge kuwa ni uchifu.