ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,013
- 7,209
- Thread starter
- #41
Huyu simwachi mpaka ajue kwa hakika kuwa JF sio radio tanzania au gazeti la uhuru!
Kwa hiyo JF ni kutetea uozo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu simwachi mpaka ajue kwa hakika kuwa JF sio radio tanzania au gazeti la uhuru!
Umedhihirisha hujanielenielewa nilikuwa nazungumzia swali gani, ila nevermind kwa sababu huna hata lengo la kuelewa.
na ulikuta nini kuhusu Buzwagi, Richmonduli, wizi BoT, Kiwira, Bulyanhulu, rada feki, ndege ya bei ya kutupwa, na ukosefu wa huduma muhimu nchini?
Kwa hiyo JF ni kutetea uozo?
ameishiwa majibu wamezoea kutudanganya sana sasa tumefunguka macho wakae chonjo...
Umedhihirisha hujanielenielewa nilikuwa nazungumzia swali gani, ila nevermind kwa sababu huna hata lengo la kuelewa.
ameishiwa majibu wamezoea kutudanganya sana sasa tumefunguka macho wakae chonjo...
JF ni kuexpose waozo na watetezi wa uozo kama wewe.
Kina nani hao waliozoea kuwadanganya?
Kina nani hao waliozoea kuwadanganya?
Inabidi awe amevaa nguo za fire fighters kabla hajaingia JF maana inaonekana joto la hapa haliwezi. Hapa ni kibano na mawe mpaka kieleweke na mpaka wao na ufisadi wao wakome kuuza nchi na kuitia umasikini kama leo hii.
Na wake wanaotetea vyama visivyojua kama website zao haziko hewani?
Uozo gani nilioutetea? naona unajitahidi kwa spin and fabrication!
na ulikuta nini kuhusu Buzwagi, Richmonduli, wizi BoT, Kiwira, Bulyanhulu, rada feki, ndege ya bei ya kutupwa, na ukosefu wa huduma muhimu nchini?
Inabidi awe amevaa nguo za fire fighters kabla hajaingia JF maana inaonekana joto la hapa haliwezi. Hapa ni kibano na mawe mpaka kieleweke na mpaka wao na ufisadi wao wakome kuuza nchi na kuitia umasikini kama leo hii.
Kama wewe na Kingunge Mwiru
Nilikuwa sijui kama mimi na Kingunge tumekuwa tunakudanganya siku nyingi, lini umeshtukia kuwa tunakudanganya?
na ulikuta nini kuhusu Buzwagi, Richmonduli, wizi BoT, Kiwira, Bulyanhulu, rada feki, ndege ya bei ya kutupwa, na ukosefu wa huduma muhimu nchini?
Nilikuwa sijui kama mimi na Kingunge tumekuwa tunakudanganya siku nyingi, lini umeshtukia kuwa tunakudanganya?
Hakuna jambo mkuu,
Amekosa majibu ya maswali niliyompa na sasa anakimbia kama kawaida yake. Utamwona amerudi hapa baada ya masaa manane nikiondoka na kujaribu kuendeleza debate kwa vile "shari" imeondoka...
Au atarudi kwa lile jina lake lingine na kuendeleza vilio huku akipata msaada nusu toka kwa bingwa wa vilio vya JF.........
Kumbe consipiracy theories zako haziishii kwa Balali tu, hata mimi ushanipa double identity. Kweli we mkali wa conspiracy!
na ulikuta nini kuhusu Buzwagi, Richmonduli, wizi BoT, Kiwira, Bulyanhulu, rada feki, ndege ya bei ya kutupwa, na ukosefu wa huduma muhimu nchini?
Mimi naamini hakuna chama kinachowafundisha wanachama wake kutokuwa waadilifu ama kuwa mafisadi.Haya ni matendo binafsi ya wanachama mmojammoja kama mapungufu waliyonayo pia baadhi ya wanachama wa vyama vingine vya siasa.Hakuna chama chote cha siasa tanzania(duniani) ambacho wanachama wake wote ni safi na wanakitakia mema chama na wengine wote ambao si wafuasi wa kile chama.
Kwa hiyo unataka kusema kuwa hakuna vyama feki Tanzania?