Vyama vya siasa feki Tanzania

kama chama chako maluun (ccm) kimewafanyia umafia je utakiita chama mhanga feki???

Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha msanii mbona unanivunja mbavu!

Hiyo site iko hivyo zaidi ya mwaka sasa! Mwenye namba ya IT manager wao tafadhali itundike humu au kwa PM ili tuwakumbushe.
 
nilishawahi kukutana na hii site, nikaignore kwani si wote wenye kujua kona za network..... cha msingi ni kuwastua kuwa kuna mtu anatumia copyright ya chama chao vibaya
 
Hii ya CCM imenipatia majibu niliyokuwa natafuta, nini kimekosekana kwani?

Niko kwenye kuandaa jibu la swali lako ndio maana nimeingia kwenye hekaheka za kutafuta sera za CUF nikagundua kuwa haziko reachable!

Ulichokuwa unatafuta ni nini hasa na ukakipata uko ccm?
 
kabla sijaitisha hii thread kwenda kwenye udaku au thread yake inakostahili... yeah just because I can..... sema ulichopata ccm huko na kukifanya kisiwe na ufeki uliokithiri.....lol

Unathibitisha kujua humjui unayemtisha. Fanya lolote unaloona una uwezo wa kulifanya.
 
na ulikuta nini kuhusu Buzwagi, Richmonduli, wizi BoT, Kiwira, Bulyanhulu, rada feki, ndege ya bei ya kutupwa, na ukosefu wa huduma muhimu nchini?

Unajua wakati mwingine MWK huwa unakuwa mtu wa shari sana.Endelea na shari peke yako am out.
 
Unathibitisha kujua humjui unayemtisha. Fanya lolote unaloona una uwezo wa kulifanya.

acha vilio sasa... kwi kwi kwi kwi... ohhh I am a tough guy.. kumbe hakuna chochote... unalia na kulalamika nini sasa. Endeleza debate hapa na vyama vyako vibovu ulivyopata kama ccm.
 
Unajua wakati mwingine MWK huwa unakuwa mtu wa shari sana.Endelea na shari peke yako am out.

Shari wapi?

Najua kinachokukimbiza ni wewe kushindwa kuleta majibu ya maswali yafuatayo:

na ulikuta nini kuhusu Buzwagi, Richmonduli, wizi BoT, Kiwira, Bulyanhulu, rada feki, ndege ya bei ya kutupwa, na ukosefu wa huduma muhimu nchini?


Najua ukipata majibu utarudi hapa kwa wingi.....
 
jambo limezua jambo

Hakuna jambo mkuu,

Amekosa majibu ya maswali niliyompa na sasa anakimbia kama kawaida yake. Utamwona amerudi hapa baada ya masaa manane nikiondoka na kujaribu kuendeleza debate kwa vile "shari" imeondoka...

Au atarudi kwa lile jina lake lingine na kuendeleza vilio huku akipata msaada nusu toka kwa bingwa wa vilio vya JF.........
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom