Vyama vya msimu vyaleta mvua kali Igunga (storm)

kinepi_nepi

JF-Expert Member
Aug 16, 2007
869
235
Ilitolewa kauli yenye dharau, majigambo na kujiamini sana na mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi. Alisema kuna vyama vya msimu kila mwenye uelewa alijua nini alimaanisha. Kauli hazikuishia hapo, walijifanya wana safisha chama kwa kuwatosa wote wenye kutajwa kwenye kashfa za wizi, ubadhirifu, ulaghai na ufisadi wa mali ya umma.

Leo Igunga imeonyesha CCM sio chama cha kuaminiwa hata kidogo kimekula matapishi na kimesahau mwelekeo ulikuwa kujenga chama upya chenye maadili kikifuata misingi yake ya awali.

Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko, Rushwa ni adui wa haki. Cheo ni dhamana sintotumia cheo changu kwa faidia yangu, mtu bali ya wote.
Maneno mazuri sana na yenye mvuto mkubwa, CCM ya JK imesema yakae kwanza.

Ninasikitika sana kwani CCM imeafanya hujuma kubwa sana ya kuwanyima watanzania wengi elimu bora ya awali hivyo kuwafanya wengi kushindwa kuunganisha dots.

CDM wananipa matumaini makubwa sana katika harakati hizi za kidemokrasia na utawala wajibiki. Kwa zaidi ya miaka 50 Igunga imekuwa kwenye utawala wa kisiasa na kiuchumi chini ya CCM, na kwa miaka kama 15 hivi chini ya money maker, king of CCM RA. Alikuwa anashinda kirahisi sana bila kupata upinzani mkubwa. CDM ilikuwa haijawahi kuweka mgombea pale, hivyo ilikuwa haina mtandao mnzuri ukilinganisha na CCM na CUF.

Kuonyesha kuwa kasi ya kukua na kukubalika kwa CDM na makamanda wake ni kubwa sana. Leo CCM wameungana na CUF kupamabana na CDM Igunga. Vita hii inanikumbusha Ubungo. Wanawali hawa ( CCM +CUF) walipigana na Mnyika usiku kucha.

CDM inaungwa mkono kwa matumaini na jitahada zake za kuelimisha wananchi, kama CCM wangekuwa wana watu wanafikiri hata kama mtoto wa dara la tatu wangejua kwamba wanatumia nguvu nyingi sana baada ya kushindwa kwa miaka 50. Wanachokifanya ni sawa na mwanafunzi aliyezembea kusoma kwa miaka minne akitegemea ata-make over usiku mmoja haya ndio matokeo ya kuiba mitihani yalipoanzia kama ilivyo kwenye wizi wa kura pale CCM inapoona hawawezi ku-make up.

Elimu ya uraia na wajibu wa kiongozi ndizo sifa zitakazo mrudisha mwanasiasa yeyote bungeni au Ikulu. CCM wakiendelea kulazimisha ushindi wa mezani watatupeleka Libya, Misri, Yemen, Tunisia, Syria nk. Ukiangalia maisha ya wapiga kura wengi ni yakukata tamaa kubwa, hayana uhakika wa kesho wala kesho kutwa, ndio maana wanageuzwa na sinia au matonge mawili au matatu ya ubwabwa huu ni udhalilishaji mkubwa sana wa utu wa mwanadamu.

Huwezi kuwa na akili timamu na mtu mwenye maadili ya kweli, na nia ya dhati ya kusaidia wananchi leo hii ukakubali kupigiwa kampeni na RA. Pamoja na kwamba anajiuza kama mtu msafi na mwadilifu ninaamini kabisa na nina shawishika sana RA, Mkapa na Dr Kafumu wamehusika vizuri kufilisi Tanzania kila mmoja kwa sehemu yake. Mkapa alimtumia Dr Kafumu kuiba na kusaidia mikataba mingi sana mibovu ya madini. RA akimtumia mwanae Ngeleja ndio walimlinda Dr Kafumu wizara ya Nishati na madini huku, Tangia enzi za akina msabaha, Karamag Dr Kafumu alikuwepo, hawa wote waliondoka na kashfa.

Ukiwa msomi tena mwenye weledi wa maadili huwezi kubali kutumika kama mpira. Hili ndilo tatizo kubwa na mtego mkubwa tunalopata Tanzania. Wanakutumia wanakusaidia wanakubeba kisha lazima ulipe fadhila. Leo Dr Kafumu tayari kanunuliwa kwenye mtandao wa mafisadi mapapa, lazima aje kuwalipa fadhila vyovyote vile ama akirudi kwenye kitengo chake cha madini wizarani au akisaidiwa kuiba kura na kuleta maafa Igunga ili akawasaidie kuwalinda bungeni. Kuna maana gani ya kujaza hizo elimu kichwani kama unaweza kuburuzwa hata na Tambwe Hiza? Kweli elimu kubwa tena iliyopatikana kwa fedha za wauza pamba, korosho, kahawa nk inafanywa kama sandakalawe???

Huwa inanisikitisha sana kuona hata wale ambao wangetegemewa, hutumiwa hata na wehu na wao wakakubali. Kweli leo unasaidiwa na kundi lilochafuka lote? Huna rafiki msafi hata mmoja? wewe mtu gani? Wanaokusaidia ni wale wote wenye kashfa za ubadhirifu je wewe nawe si mbadhirifu?????

Tell me your friend and I will tell your character..................................
 
duuh ndefu mno makala yako,ilistahili kuwa gazetini,huku ni short,precise n clear
 
tena mvua zina upepo mkali dhoruba na sasa zinaanza radi, tunaomba kasilipuke kavolkano.
 
aisee magwanda wanahangaika kujaza server...

mbona mtaambulia aibu mkuu..taratibu mapofu yasikutoke..hii ni siasa.
 
Mkuu wamebanu kichiz lgungu. Wameunguna lakini wapi? Binafs mwsho wa mwez mtafika hapo kucheck dakika tisi live kama kawa kulinda kura!
 
Ilitolewa kauli yenye dharau, majigambo na kujiamini sana na mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi. Alisema kuna vyama vya msimu kila mwenye uelewa alijua nini alimaanisha. Kauli hazikuishia hapo, walijifanya wana safisha chama kwa kuwatosa wote wenye kutajwa kwenye kashfa za wizi, ubadhirifu, ulaghai na ufisadi wa mali ya umma.

Leo Igunga imeonyesha CCM sio chama cha kuaminiwa hata kidogo kimekula matapishi na kimesahau mwelekeo ulikuwa kujenga chama upya chenye maadili kikifuata misingi yake ya awali.

Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko, Rushwa ni adui wa haki. Cheo ni dhamana sintotumia cheo changu kwa faidia yangu, mtu bali ya wote.
Maneno mazuri sana na yenye mvuto mkubwa, CCM ya JK imesema yakae kwanza.

Ninasikitika sana kwani CCM imeafanya hujuma kubwa sana ya kuwanyima watanzania wengi elimu bora ya awali hivyo kuwafanya wengi kushindwa kuunganisha dots.

CDM wananipa matumaini makubwa sana katika harakati hizi za kidemokrasia na utawala wajibiki. Kwa zaidi ya miaka 50 Igunga imekuwa kwenye utawala wa kisiasa na kiuchumi chini ya CCM, na kwa miaka kama 15 hivi chini ya money maker, king of CCM RA. Alikuwa anashinda kirahisi sana bila kupata upinzani mkubwa. CDM ilikuwa haijawahi kuweka mgombea pale, hivyo ilikuwa haina mtandao mnzuri ukilinganisha na CCM na CUF.

Kuonyesha kuwa kasi ya kukua na kukubalika kwa CDM na makamanda wake ni kubwa sana. Leo CCM wameungana na CUF kupamabana na CDM Igunga. Vita hii inanikumbusha Ubungo. Wanawali hawa ( CCM +CUF) walipigana na Mnyika usiku kucha.

CDM inaungwa mkono kwa matumaini na jitahada zake za kuelimisha wananchi, kama CCM wangekuwa wana watu wanafikiri hata kama mtoto wa dara la tatu wangejua kwamba wanatumia nguvu nyingi sana baada ya kushindwa kwa miaka 50. Wanachokifanya ni sawa na mwanafunzi aliyezembea kusoma kwa miaka minne akitegemea ata-make over usiku mmoja haya ndio matokeo ya kuiba mitihani yalipoanzia kama ilivyo kwenye wizi wa kura pale CCM inapoona hawawezi ku-make up.

Elimu ya uraia na wajibu wa kiongozi ndizo sifa zitakazo mrudisha mwanasiasa yeyote bungeni au Ikulu. CCM wakiendelea kulazimisha ushindi wa mezani watatupeleka Libya, Misri, Yemen, Tunisia, Syria nk. Ukiangalia maisha ya wapiga kura wengi ni yakukata tamaa kubwa, hayana uhakika wa kesho wala kesho kutwa, ndio maana wanageuzwa na sinia au matonge mawili au matatu ya ubwabwa huu ni udhalilishaji mkubwa sana wa utu wa mwanadamu.

Huwezi kuwa na akili timamu na mtu mwenye maadili ya kweli, na nia ya dhati ya kusaidia wananchi leo hii ukakubali kupigiwa kampeni na RA. Pamoja na kwamba anajiuza kama mtu msafi na mwadilifu ninaamini kabisa na nina shawishika sana RA, Mkapa na Dr Kafumu wamehusika vizuri kufilisi Tanzania kila mmoja kwa sehemu yake. Mkapa alimtumia Dr Kafumu kuiba na kusaidia mikataba mingi sana mibovu ya madini. RA akimtumia mwanae Ngeleja ndio walimlinda Dr Kafumu wizara ya Nishati na madini huku, Tangia enzi za akina msabaha, Karamag Dr Kafumu alikuwepo, hawa wote waliondoka na kashfa.

Ukiwa msomi tena mwenye weledi wa maadili huwezi kubali kutumika kama mpira. Hili ndilo tatizo kubwa na mtego mkubwa tunalopata Tanzania. Wanakutumia wanakusaidia wanakubeba kisha lazima ulipe fadhila. Leo Dr Kafumu tayari kanunuliwa kwenye mtandao wa mafisadi mapapa, lazima aje kuwalipa fadhila vyovyote vile ama akirudi kwenye kitengo chake cha madini wizarani au akisaidiwa kuiba kura na kuleta maafa Igunga ili akawasaidie kuwalinda bungeni. Kuna maana gani ya kujaza hizo elimu kichwani kama unaweza kuburuzwa hata na Tambwe Hiza? Kweli elimu kubwa tena iliyopatikana kwa fedha za wauza pamba, korosho, kahawa nk inafanywa kama sandakalawe???

Huwa inanisikitisha sana kuona hata wale ambao wangetegemewa, hutumiwa hata na wehu na wao wakakubali. Kweli leo unasaidiwa na kundi lilochafuka lote? Huna rafiki msafi hata mmoja? wewe mtu gani? Wanaokusaidia ni wale wote wenye kashfa za ubadhirifu je wewe nawe si mbadhirifu?????

Tell me your friend and I will tell your character..................................

They saw it coming! Hata sunami wakati inakuja waliiona lakini wakadharau kilichofuata ni kilio, CCM wanaviita vyama vya msimu lakini ndo vinawamaliza wanahaha sasa hivi huko igunga na watahonga mpaka wake zao huko
 
sio muda mrefu nao tutawaita wanachama wa msimu maana hii liko mbioni sio wazee ving'ang'anizi bali ni vijana wenye maono ya nini kinafanyika na nini wafanye
 
duuh ndefu mno makala yako,ilistahili kuwa gazetini,huku ni short,precise n clear

Huo uvivu wa kusoma nusu ukurasa ndio unatupelekea kusaini mikataba mibovu kwani mnaona tabu kusoma kurasa......... Magamba wavivu kwa kila kitu
 
ni mvua za mafuriko CCM na siasa zao uchwara na mipasho yao wananchi wameshaamuka hakuna kulala tena hadi kieleweke
 
mapambano bado yanaendelea na ukombozi bado tunasafari ndefu maana tutasikia mengi sana mwaka huu
 
Ilitolewa kauli yenye dharau, majigambo na kujiamini sana na mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi. Alisema kuna vyama vya msimu kila mwenye uelewa alijua nini alimaanisha. Kauli hazikuishia hapo, walijifanya wana safisha chama kwa kuwatosa wote wenye kutajwa kwenye kashfa za wizi, ubadhirifu, ulaghai na ufisadi wa mali ya umma.

Leo Igunga imeonyesha CCM sio chama cha kuaminiwa hata kidogo kimekula matapishi na kimesahau mwelekeo ulikuwa kujenga chama upya chenye maadili kikifuata misingi yake ya awali.

Nitasema kweli daima fitina kwangu mwiko, Rushwa ni adui wa haki. Cheo ni dhamana sintotumia cheo changu kwa faidia yangu, mtu bali ya wote.
Maneno mazuri sana na yenye mvuto mkubwa, CCM ya JK imesema yakae kwanza.

Ninasikitika sana kwani CCM imeafanya hujuma kubwa sana ya kuwanyima watanzania wengi elimu bora ya awali hivyo kuwafanya wengi kushindwa kuunganisha dots.

CDM wananipa matumaini makubwa sana katika harakati hizi za kidemokrasia na utawala wajibiki. Kwa zaidi ya miaka 50 Igunga imekuwa kwenye utawala wa kisiasa na kiuchumi chini ya CCM, na kwa miaka kama 15 hivi chini ya money maker, king of CCM RA. Alikuwa anashinda kirahisi sana bila kupata upinzani mkubwa. CDM ilikuwa haijawahi kuweka mgombea pale, hivyo ilikuwa haina mtandao mnzuri ukilinganisha na CCM na CUF.

Kuonyesha kuwa kasi ya kukua na kukubalika kwa CDM na makamanda wake ni kubwa sana. Leo CCM wameungana na CUF kupamabana na CDM Igunga. Vita hii inanikumbusha Ubungo. Wanawali hawa ( CCM +CUF) walipigana na Mnyika usiku kucha.

CDM inaungwa mkono kwa matumaini na jitahada zake za kuelimisha wananchi, kama CCM wangekuwa wana watu wanafikiri hata kama mtoto wa dara la tatu wangejua kwamba wanatumia nguvu nyingi sana baada ya kushindwa kwa miaka 50. Wanachokifanya ni sawa na mwanafunzi aliyezembea kusoma kwa miaka minne akitegemea ata-make over usiku mmoja haya ndio matokeo ya kuiba mitihani yalipoanzia kama ilivyo kwenye wizi wa kura pale CCM inapoona hawawezi ku-make up.

Elimu ya uraia na wajibu wa kiongozi ndizo sifa zitakazo mrudisha mwanasiasa yeyote bungeni au Ikulu. CCM wakiendelea kulazimisha ushindi wa mezani watatupeleka Libya, Misri, Yemen, Tunisia, Syria nk. Ukiangalia maisha ya wapiga kura wengi ni yakukata tamaa kubwa, hayana uhakika wa kesho wala kesho kutwa, ndio maana wanageuzwa na sinia au matonge mawili au matatu ya ubwabwa huu ni udhalilishaji mkubwa sana wa utu wa mwanadamu.

Huwezi kuwa na akili timamu na mtu mwenye maadili ya kweli, na nia ya dhati ya kusaidia wananchi leo hii ukakubali kupigiwa kampeni na RA. Pamoja na kwamba anajiuza kama mtu msafi na mwadilifu ninaamini kabisa na nina shawishika sana RA, Mkapa na Dr Kafumu wamehusika vizuri kufilisi Tanzania kila mmoja kwa sehemu yake. Mkapa alimtumia Dr Kafumu kuiba na kusaidia mikataba mingi sana mibovu ya madini. RA akimtumia mwanae Ngeleja ndio walimlinda Dr Kafumu wizara ya Nishati na madini huku, Tangia enzi za akina msabaha, Karamag Dr Kafumu alikuwepo, hawa wote waliondoka na kashfa.

Ukiwa msomi tena mwenye weledi wa maadili huwezi kubali kutumika kama mpira. Hili ndilo tatizo kubwa na mtego mkubwa tunalopata Tanzania. Wanakutumia wanakusaidia wanakubeba kisha lazima ulipe fadhila. Leo Dr Kafumu tayari kanunuliwa kwenye mtandao wa mafisadi mapapa, lazima aje kuwalipa fadhila vyovyote vile ama akirudi kwenye kitengo chake cha madini wizarani au akisaidiwa kuiba kura na kuleta maafa Igunga ili akawasaidie kuwalinda bungeni. Kuna maana gani ya kujaza hizo elimu kichwani kama unaweza kuburuzwa hata na Tambwe Hiza? Kweli elimu kubwa tena iliyopatikana kwa fedha za wauza pamba, korosho, kahawa nk inafanywa kama sandakalawe???

Huwa inanisikitisha sana kuona hata wale ambao wangetegemewa, hutumiwa hata na wehu na wao wakakubali. Kweli leo unasaidiwa na kundi lilochafuka lote? Huna rafiki msafi hata mmoja? wewe mtu gani? Wanaokusaidia ni wale wote wenye kashfa za ubadhirifu je wewe nawe si mbadhirifu?????

Tell me your friend and I will tell your character..................................

Hivi hawa ndio wasomi wa CDM... licha ya kulipwa kuja kuandika habari za CDM lakini hata kujenga hoja hujui. Umekiri kama CDM haikuwa na mtandao mzuri Igunga ... na hapo hapo unashutumu vyama vingine kuwa ni vya msimu. Mimi nadhani nenda kajifunze kujenga hoja kabla hujaleta uaro wako hapa..
 
6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom