Vyama vya kidikteta mwisho wao umefika

Pax

JF-Expert Member
May 3, 2009
268
87
Kuna msemo unaosema kuwa Viongozi madikteta na vyama vya kidikteta kama cha Magamba huwa wana silaha moja tu ya kutawala nayo ni Kuwajaza wananchi wao uoga, lakini siku wananchi wakigundua kuwa viongozi hawa pamoja na vyama vyao hawana msaada wala umuhimu wowote katika maisha yao, mwisho wao huwa umetimia.

Watu wote wenye mapenzi mema na nchi yetu ambao tumeshajua kuwa chama cha magamba hakina manufaa yoyote kwa nchi yetu tuhubiri ukombozi kwa wale ambao bado akili zao zimetekwa. Ule mwisho uliotabiriwa umekaribia, wale wachache wanaofikiri walizaliwa wakakuta wazazi wao ni viongozi wakawarithisha na sasa wana ndoto za kututawala wasahau, hiyo chain haiwezi kuendelea. Waendelee kutumia vyombo vya habari kueneza uongo na kutisha wananchi lakini ule mwisho upo na umekaribia. Tumekuwa kwenye lindi la umasikini bila sababu za msingi wakati wao wakineemeka. Watu wa ajabu ajabu tu basi kwa sababu eti baba zao walikuwa mwanasiasa mashuhuri basi na wanaandaliwa kututawala! Wamejaa viburi na dharau, hawajui nguvu ya wananchi ilivyo kubwa, wakawaulize watoto wa Ghadaffi.

Kuna watu wa ajabu kweli siku hizi ati ni wanasiasa! hawajui lolote wala chochote, ukiwasikiliza wakiwa wanaongea unajiuliza hivi hii nchi ndio imefika hapa! Wana madaraka makubwa kweli ukijiuliza wameyatoa wapi huwezi kufahamu. Hivi jamani ndio tumefika hapa kweli? watu kwa uroho wao wanataka kututawala hata kama ni kwa kutuua?
 
Ndugu yangu we acha tu!,eti chama cha magamba wanaweka viongozi vijana ambao ni wafu pamoja na wazee wao ili kuendeleza giza lao;maskini vijana hao mawazo yao kama wafu waliochukuliwa misukule alafu wakaachiwa kutoka huko misukuleni.Giza linatoweka na nuru inatawala,Salam zangu kwa MAKAMBALEMAMBA,NAPENYE KAMANDA WA MAGAMBA NA MATUMBO MBELE.
 
most of the young leaders of SISIEM.....................they are just devil's advocate
 
Kuna msemo unaosema kuwa Viongozi madikteta na vyama vya kidikteta kama cha Magamba huwa wana silaha moja tu ya kutawala nayo ni Kuwajaza wananchi wao uoga, lakini siku wananchi wakigundua kuwa viongozi hawa pamoja na vyama vyao hawana msaada wala umuhimu wowote katika maisha yao, mwisho wao huwa umetimia.

Watu wote wenye mapenzi mema na nchi yetu ambao tumeshajua kuwa chama cha magamba hakina manufaa yoyote kwa nchi yetu tuhubiri ukombozi kwa wale ambao bado akili zao zimetekwa. Ule mwisho uliotabiriwa umekaribia, wale wachache wanaofikiri walizaliwa wakakuta wazazi wao ni viongozi wakawarithisha na sasa wana ndoto za kututawala wasahau, hiyo chain haiwezi kuendelea. Waendelee kutumia vyombo vya habari kueneza uongo na kutisha wananchi lakini ule mwisho upo na umekaribia. Tumekuwa kwenye lindi la umasikini bila sababu za msingi wakati wao wakineemeka. Watu wa ajabu ajabu tu basi kwa sababu eti baba zao walikuwa mwanasiasa mashuhuri basi na wanaandaliwa kututawala! Wamejaa viburi na dharau, hawajui nguvu ya wananchi ilivyo kubwa, wakawaulize watoto wa Ghadaffi.

Kuna watu wa ajabu kweli siku hizi ati ni wanasiasa! hawajui lolote wala chochote, ukiwasikiliza wakiwa wanaongea unajiuliza hivi hii nchi ndio imefika hapa! Wana madaraka makubwa kweli ukijiuliza wameyatoa wapi huwezi kufahamu. Hivi jamani ndio tumefika hapa kweli? watu kwa uroho wao wanataka kututawala hata kama ni kwa kutuua?

Hueleweki unachoongea wala unachotaka wala unachoongea. Wewe unadhani udikteta uko kwenye chama tawala tu? Hata hivyo vya upinzani ambavyo kimsingi ni vyama vya ukoo vina shida kubwa zaidi.
 
Hueleweki unachoongea wala unachotaka wala unachoongea. Wewe unadhani udikteta uko kwenye chama tawala tu? Hata hivyo vya upinzani ambavyo kimsingi ni vyama vya ukoo vina shida kubwa zaidi.

Huwezi kuelewa na hutakaa uelewe, nani kazungumzia chama cha upinzani hapa, wake up!
 
Huwezi kuelewa na hutakaa uelewe, nani kazungumzia chama cha upinzani hapa, wake up!

Yes hujazungumzia vyama vya upinzani for obvious reasons but let me tell you. Dictatorship is rampant within the opposition parties and as you attempt to paint the ruling parties in bad light, remember to remove a log from your eye!
 
Huwezi kuelewa na hutakaa uelewe, nani kazungumzia chama cha upinzani hapa, wake up!

Bro; why wasting time arguing with, as someone has called, DEVIL'S ADVOCATES! Jamaa anaeleweka vyema hapa JF kwa utetezi wake hata kwa mambo ya kipuuzi alimradi anatetea "mfumo". Hawa ndio walewale wanaofaidika na mfumo kandamizi uliopo; ulitegemea aongee nini zaidi ya alichoongea. Ni kumpotezea tu!
 
Bro; why wasting time arguing with, as someone has called, DEVIL'S ADVOCATES! Jamaa anaeleweka vyema hapa JF kwa utetezi wake hata kwa mambo ya kipuuzi alimradi anatetea "mfumo". Hawa ndio walewale wanaofaidika na mfumo kandamizi uliopo; ulitegemea aongee nini zaidi ya alichoongea. Ni kumpotezea tu!

Na unadhani kutenda haki ni kukosoa kila kitu na kusifia kila kinachopinga mfumo. Let truth be told. Udikteta uko kote na juhudi zisipofanyika hakutakuwa na chama mbadala chenye sifa ya kutuvusha watanzania.
 
Back
Top Bottom