Vyama pinzani vije na njia nyingine sio hii ,hii njia ya kususa ni irrational kabisa!!!

Abdul Nondo

JF-Expert Member
Oct 28, 2016
515
2,874
Napenda kutoa maoni yangu vyama hivi vingefanya nini badala ya maamuzi haya yaliotolewa kutoshiriki chaguzi za marudio ya majimbo kadhaa.

Kwanza lazima tujue ,bado tuna miaka 2 kuelekea uchaguzi mkuu 2020 ni mingi saana kama viongozi wa vyama hivi watatumia akili kubwa.

Ni wazi vyama pinzani viliingia katika chaguzi za madiwani (by election) mwaka huu kwa kuelewa hali ilivyo ni kama hali ya miaka yote kuwa watu wanashiriki uchaguzi vizuri kwa amani ingawa figusi zilikuwepo ila sio kama zilizotokea mwaka huu hii ilikuwa ni picha kwa viongozi wa vyama pinzani kusumbua kichwa kujua tufanye nini,tupinge nini,tusimamie nini ili yasijitokeze tena yaliyojitokeza katika chaguzi za madiwani? ,hivyo hii ni picha wapinzani wangetakiwa kuichukua kujua njia gani,na njama zipi hutumiwa na CCM kushinda chaguzi sababu chaguzi za udiwani upinzani hawakuwahi jua kuwa hali sio kama ya miaka yote.

Chaguzi hizi wangezibeba kama funzo kubwa la kujifungia na kuwaza kipi wanatakiwa kukifanya kuelekea uchaguzi wa marudio majimbo na 2020, chaguzi za madiwani zilikuwa ni chaguzi za funzo kuwa njia gani zitumiwe,kuandaa intelejensia ya uhakika kujua kama yaliyotokea katika chaguzi za madiwani zilikuwa ni makusudi,maagizo,au u ni bahati mbaya, hasa nini kilikuwa nyuma yake kipi kilikuwa chanzo cha vurugu?

Pia vyama hivi vingepata majibu wazi kuwa hali ipoje katika chaguzi zetu TZ,hii ingeonekana na kuleta majibu kupitia chaguzi hizi ZA MAJIMBO,kuwa clearly hali ipoje kuelekea 2020 na kama intelligence ya vyama pinzani ingekuwa imara Siri nyingi ,mipango ovu mingi ingegundulika kama ipo,hivyo vyama pinzani hakika vingekuwa na grounds nyingumi,facts,evidence.

Hivyo uchaguzi huu wa ubunge(by election) ungechukuliwa kwa kufanyia kazi makosa yaliyojitokeza ,pia kuangalia muendelezo wa aina na style ya chaguzi katika awamu hii ya tano kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Uchaguzi wa madiwani na vurugu zake haukutakiwa kuwa uchaguzi wa kutafsiri na kuchukua maamuzi makubwa ya kususa uchaguzi bila Ku execute njia zingine stahiki, huku mkiendelea shuhudia mwenenendo wa CHAGUZI ZA MAJIMBO kuendelea kupata njia namna gani ya kukabiliana kuelekea 2020.

Sababu njia CCM watakazotumia katika uchaguzi huu wa marudio majimbo ili washinde kwa lazima na kwa kuvunja sheria,ndio zitakazotumiwa 2020 hivyo mtakuwa mnajua hali ipoje,na tukabiliane nayo namna gani,movement ipi ianzishwe kabla ya uchaguzi 2020 kupinga vitu ambavyo ni vya kukeuka misingi na sheria katika chaguzi kabla ya 2020.

Mimi naona vikao vya vyama pinzani vinavyokuja na maamuzi haya,nafananisha na SHOP TALKS.kama ni vikao vinavyofanyika kujadili na kuja na maazimio. yasio na muendelezo wa utatuzi wa Tatizo. (bila Go ahead) (NEXT),vyama vimesusia uchaguzi then what next?‍♂‍♂.

Polisi kupiga watu,mkurugenzi kutangaza CCM ushindi ,Nataka kusema kuwa uchaguzi wa udiwani haupaswi uwe mwisho wa vyama kujua nchi imefikia wapi juu ya haya yote yanayojitokeza katika chaguzi.

Kama ni polisi watakuwepo hata 2020,kama ni wakurugenzi watakuwepo hata 2020,kama ni CCM inatumia nguvu utakuwepo hata 2020, what is next?


TUME ya uchaguzi imetangaza itaendelea na uchaguzi, kipi tujifunze au hekma ya kususa uchaguzi ni ipi?,kibaya zaidi tangu Christopher Mtikila aondoke duniane na tangu tundulisu awe Nairobi kitandani,hakuna hata aliybakiwa na tamaduni ya kufuata haki mahakamani(court remidies)kupitia judicial review. tumehamisha kutafuta haki mitandaoni ‍♂,na kulalamika.

Ila pia uchaguzi wa majimbo unaorudiwa ulikuwa pia ni kipimo kujua kuwa sasa nchi tupo kati hali gani,na kipi sasa tupinge kuelekea 2020.

Naomba vyama pinzani vije na njia nyingine sio hii ,hii njia ya kususa ni irrational kabisa!!!

Abdul Nondo.
0659366125.
 
Kwani hayo ya kuuwawa na kupigwa risasi ,kufungwa kama yapo kususia uchaguzi ndio kuyatatua?
 
Kwenye Msuso huu wa Chadema nimethibitisha ile hoja ya Prof Lipumba kuwa Chadema inajifanya ndio Ukawa!

Kamati kuu ya Chadema imekutana na kukubaliana Chadema ijitoe lakin kwny press conference wamemleta Julius Mtatiro na kutangaza ule ni Msimamo wa Ukawa wakati inajulikana Labda Sio CUF , NCCR wala NLD iliwahi kukutana na kuja na Wazo Hilo au kubariki Wazo Hilo yaani Mbowe kageuza Chadema yenyewe ndio Ukawa
 
Napenda kutoa maoni yangu vyama hivi vingefanya nini badala ya maamuzi haya yaliotolewa kutoshiriki chaguzi za marudio ya majimbo kadhaa.

Kwanza lazima tujue ,bado tuna miaka 2 kuelekea uchaguzi mkuu 2020 ni mingi saana kama viongozi wa vyama hivi watatumia akili kubwa.

Ni wazi vyama pinzani viliingia katika chaguzi za madiwani (by election) mwaka huu kwa kuelewa hali ilivyo ni kama hali ya miaka yote kuwa watu wanashiriki uchaguzi vizuri kwa amani ingawa figusi zilikuwepo ila sio kama zilizotokea mwaka huu hii ilikuwa ni picha kwa viongozi wa vyama pinzani kusumbua kichwa kujua tufanye nini,tupinge nini,tusimamie nini ili yasijitokeze tena yaliyojitokeza katika chaguzi za madiwani? ,hivyo hii ni picha wapinzani wangetakiwa kuichukua kujua njia gani,na njama zipi hutumiwa na CCM kushinda chaguzi sababu chaguzi za udiwani upinzani hawakuwahi jua kuwa hali sio kama ya miaka yote.

Chaguzi hizi wangezibeba kama funzo kubwa la kujifungia na kuwaza kipi wanatakiwa kukifanya kuelekea uchaguzi wa marudio majimbo na 2020, chaguzi za madiwani zilikuwa ni chaguzi za funzo kuwa njia gani zitumiwe,kuandaa intelejensia ya uhakika kujua kama yaliyotokea katika chaguzi za madiwani zilikuwa ni makusudi,maagizo,au u ni bahati mbaya, hasa nini kilikuwa nyuma yake kipi kilikuwa chanzo cha vurugu?

Pia vyama hivi vingepata majibu wazi kuwa hali ipoje katika chaguzi zetu TZ,hii ingeonekana na kuleta majibu kupitia chaguzi hizi ZA MAJIMBO,kuwa clearly hali ipoje kuelekea 2020 na kama intelligence ya vyama pinzani ingekuwa imara Siri nyingi ,mipango ovu mingi ingegundulika kama ipo,hivyo vyama pinzani hakika vingekuwa na grounds nyingumi,facts,evidence.

Hivyo uchaguzi huu wa ubunge(by election) ungechukuliwa kwa kufanyia kazi makosa yaliyojitokeza ,pia kuangalia muendelezo wa aina na style ya chaguzi katika awamu hii ya tano kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Uchaguzi wa madiwani na vurugu zake haukutakiwa kuwa uchaguzi wa kutafsiri na kuchukua maamuzi makubwa ya kususa uchaguzi bila Ku execute njia zingine stahiki, huku mkiendelea shuhudia mwenenendo wa CHAGUZI ZA MAJIMBO kuendelea kupata njia namna gani ya kukabiliana kuelekea 2020.

Sababu njia CCM watakazotumia katika uchaguzi huu wa marudio majimbo ili washinde kwa lazima na kwa kuvunja sheria,ndio zitakazotumiwa 2020 hivyo mtakuwa mnajua hali ipoje,na tukabiliane nayo namna gani,movement ipi ianzishwe kabla ya uchaguzi 2020 kupinga vitu ambavyo ni vya kukeuka misingi na sheria katika chaguzi kabla ya 2020.

Mimi naona vikao vya vyama pinzani vinavyokuja na maamuzi haya,nafananisha na SHOP TALKS.kama ni vikao vinavyofanyika kujadili na kuja na maazimio. yasio na muendelezo wa utatuzi wa Tatizo. (bila Go ahead) (NEXT),vyama vimesusia uchaguzi then what next?‍♂‍♂.

Polisi kupiga watu,mkurugenzi kutangaza CCM ushindi ,Nataka kusema kuwa uchaguzi wa udiwani haupaswi uwe mwisho wa vyama kujua nchi imefikia wapi juu ya haya yote yanayojitokeza katika chaguzi.

Kama ni polisi watakuwepo hata 2020,kama ni wakurugenzi watakuwepo hata 2020,kama ni CCM inatumia nguvu utakuwepo hata 2020, what is next?


TUME ya uchaguzi imetangaza itaendelea na uchaguzi, kipi tujifunze au hekma ya kususa uchaguzi ni ipi?,kibaya zaidi tangu Christopher Mtikila aondoke duniane na tangu tundulisu awe Nairobi kitandani,hakuna hata aliybakiwa na tamaduni ya kufuata haki mahakamani(court remidies)kupitia judicial review. tumehamisha kutafuta haki mitandaoni ‍♂,na kulalamika.

Ila pia uchaguzi wa majimbo unaorudiwa ulikuwa pia ni kipimo kujua kuwa sasa nchi tupo kati hali gani,na kipi sasa tupinge kuelekea 2020.

Naomba vyama pinzani vije na njia nyingine sio hii ,hii njia ya kususa ni irrational kabisa!!!

Abdul Nondo.
0659366125.
Nyie manaojifanya kuja na id ze u na vinamba vya simu ni wanafiki kwa hii serikar haijawahi kutokea.. kama huamini muulize pascal mayalla
 
mbowe alikuwa kiongozi wakati wa Kikwete amekuwa kiongozi wakati wa magufuli hawa wote wana staili tofauti za uongozi lakini mbowe amebaki na mikakati ileile wala hajabailika kwa hiyo usitegemee upinzani unaoishi kwa kukaririr mbinu
 
Umeandika mengi kuzunguka hoja moja, yaani unashauri ukawa waendelee kushiriki hii chaguzi kama majaribio huku wakitumia muda, pesa na watu. Wakati mwingine wapigwe virungu wakati wanajua nani atakuwa nani baada ya kupiga kura?

Hakuna njia rahisi na nyepesi kama hii ya kususia ili wakajifanyie kampeni wao, wajichague wao na ikiwezekana wapigane virungu wao kwa wao.

Bwana mkubwa umefikiri kidogo
 
Napenda kutoa maoni yangu vyama hivi vingefanya nini badala ya maamuzi haya yaliotolewa kutoshiriki chaguzi za marudio ya majimbo kadhaa.

Kwanza lazima tujue ,bado tuna miaka 2 kuelekea uchaguzi mkuu 2020 ni mingi saana kama viongozi wa vyama hivi watatumia akili kubwa.

Ni wazi vyama pinzani viliingia katika chaguzi za madiwani (by election) mwaka huu kwa kuelewa hali ilivyo ni kama hali ya miaka yote kuwa watu wanashiriki uchaguzi vizuri kwa amani ingawa figusi zilikuwepo ila sio kama zilizotokea mwaka huu hii ilikuwa ni picha kwa viongozi wa vyama pinzani kusumbua kichwa kujua tufanye nini,tupinge nini,tusimamie nini ili yasijitokeze tena yaliyojitokeza katika chaguzi za madiwani? ,hivyo hii ni picha wapinzani wangetakiwa kuichukua kujua njia gani,na njama zipi hutumiwa na CCM kushinda chaguzi sababu chaguzi za udiwani upinzani hawakuwahi jua kuwa hali sio kama ya miaka yote.

Chaguzi hizi wangezibeba kama funzo kubwa la kujifungia na kuwaza kipi wanatakiwa kukifanya kuelekea uchaguzi wa marudio majimbo na 2020, chaguzi za madiwani zilikuwa ni chaguzi za funzo kuwa njia gani zitumiwe,kuandaa intelejensia ya uhakika kujua kama yaliyotokea katika chaguzi za madiwani zilikuwa ni makusudi,maagizo,au u ni bahati mbaya, hasa nini kilikuwa nyuma yake kipi kilikuwa chanzo cha vurugu?

Pia vyama hivi vingepata majibu wazi kuwa hali ipoje katika chaguzi zetu TZ,hii ingeonekana na kuleta majibu kupitia chaguzi hizi ZA MAJIMBO,kuwa clearly hali ipoje kuelekea 2020 na kama intelligence ya vyama pinzani ingekuwa imara Siri nyingi ,mipango ovu mingi ingegundulika kama ipo,hivyo vyama pinzani hakika vingekuwa na grounds nyingumi,facts,evidence.

Hivyo uchaguzi huu wa ubunge(by election) ungechukuliwa kwa kufanyia kazi makosa yaliyojitokeza ,pia kuangalia muendelezo wa aina na style ya chaguzi katika awamu hii ya tano kuelekea uchaguzi mkuu 2020.

Uchaguzi wa madiwani na vurugu zake haukutakiwa kuwa uchaguzi wa kutafsiri na kuchukua maamuzi makubwa ya kususa uchaguzi bila Ku execute njia zingine stahiki, huku mkiendelea shuhudia mwenenendo wa CHAGUZI ZA MAJIMBO kuendelea kupata njia namna gani ya kukabiliana kuelekea 2020.

Sababu njia CCM watakazotumia katika uchaguzi huu wa marudio majimbo ili washinde kwa lazima na kwa kuvunja sheria,ndio zitakazotumiwa 2020 hivyo mtakuwa mnajua hali ipoje,na tukabiliane nayo namna gani,movement ipi ianzishwe kabla ya uchaguzi 2020 kupinga vitu ambavyo ni vya kukeuka misingi na sheria katika chaguzi kabla ya 2020.

Mimi naona vikao vya vyama pinzani vinavyokuja na maamuzi haya,nafananisha na SHOP TALKS.kama ni vikao vinavyofanyika kujadili na kuja na maazimio. yasio na muendelezo wa utatuzi wa Tatizo. (bila Go ahead) (NEXT),vyama vimesusia uchaguzi then what next?‍♂‍♂.

Polisi kupiga watu,mkurugenzi kutangaza CCM ushindi ,Nataka kusema kuwa uchaguzi wa udiwani haupaswi uwe mwisho wa vyama kujua nchi imefikia wapi juu ya haya yote yanayojitokeza katika chaguzi.

Kama ni polisi watakuwepo hata 2020,kama ni wakurugenzi watakuwepo hata 2020,kama ni CCM inatumia nguvu utakuwepo hata 2020, what is next?


TUME ya uchaguzi imetangaza itaendelea na uchaguzi, kipi tujifunze au hekma ya kususa uchaguzi ni ipi?,kibaya zaidi tangu Christopher Mtikila aondoke duniane na tangu tundulisu awe Nairobi kitandani,hakuna hata aliybakiwa na tamaduni ya kufuata haki mahakamani(court remidies)kupitia judicial review. tumehamisha kutafuta haki mitandaoni ‍♂,na kulalamika.

Ila pia uchaguzi wa majimbo unaorudiwa ulikuwa pia ni kipimo kujua kuwa sasa nchi tupo kati hali gani,na kipi sasa tupinge kuelekea 2020.

Naomba vyama pinzani vije na njia nyingine sio hii ,hii njia ya kususa ni irrational kabisa!!!

Abdul Nondo.
0659366125.
Njia pekee ni kuoigana na Polisi na hakuna kingine. Kwa hiyo tunalijua na tunajipanga
 
Kwani hayo ya kuuwawa na kupigwa risasi ,kufungwa kama yapo kususia uchaguzi ndio kuyatatua?

Ukiangalia umeandika maparagraph na maparagraph lakini sijaona kabisa sehemu umeonyesha mbinu fulani ndio wapinzani watumie. Sana sana nakuona unalazimisha watu washiriki ili waumizwe kisha lawama wabebe viongozi wa upinzani kwa kupeleka wafuasi wake kwenda kuumizwa halafu hawawatibu. Ninataka usema hivi kama wapinzani mnajeruhiwa na mapanga na nyie bebeni mapanga, kama polisi wanaratibu wapinzani kupigwa na nyie kafanyieni hujuma kubwa familia za polisi na wanaccm popote walipo. Sio kuja na andiko refu linalotaka watu waende kupiga kura ili kuungopea umma na dunia kwamba ccm na mwenyekiti wake wanakubalika kumbe kinachofanyika ni ukatili wa kutisha huku ccm ikishindwa, tume inaitangaza kwa nguvu. Unasubiri wapinzani wauliwe kwa halaiki ndio ujue kwamba sasa hivi sheria hazifuatwi. Kama umeshindwa kuona unyama uliotokea safari hii basi huna lolote.

Chukua familia yako na ndugu zako wanaokutegemea nendeni mkapige kura, na mkiwa ndani ya chumba cha kupigia kura hao mnaotaka kuwadanganya kwamba kuna demokrasia ya vyama vingi na ccm inashinda kihalali, jipigeni picha kisha uwarushie. Tena ukitaka kuuhadaa umma na dunia vizuri wewe uvae tshirt yenye picha ya Mbowe, mkeo ya Maalim Sef, Watoto wako wote wa kike wavae zenye picha za wabunge wa kike wa upinzani na wakiume wavae zenye picha za wabunge wanaume wa upinzani. Sio huo ukondoo unaoandika hapo juu. Na usidhani watu wanasusia kwakuwa wanaaogopa ila njia ya machafuko haitamlipa yoyote kuanzia anayevunja sheria sasa na kakaliwa kimya au kuogopwa, wala wanaoumizwa na kuporwa haki yao. Ukiona bado hueleweki anzisha chama chako kashindine kwenye hizo chaguzi za kipuuzi na kishenzi.
 
Kwenye Msuso huu wa Chadema nimethibitisha ile hoja ya Prof Lipumba kuwa Chadema inajifanya ndio Ukawa!

Kamati kuu ya Chadema imekutana na kukubaliana Chadema ijitoe lakin kwny press conference wamemleta Julius Mtatiro na kutangaza ule ni Msimamo wa Ukawa wakati inajulikana Labda Sio CUF , NCCR wala NLD iliwahi kukutana na kuja na Wazo Hilo au kubariki Wazo Hilo yaani Mbowe kageuza Chadema yenyewe ndio Ukawa

Kamuombe Lipumba atoke na Cuf inayotambuliwa na serekali ashiriki hakuna aliyemkataza, kuna vyama vya kina Mrema, Dovutwa na Cheyo pia hakuna aliyewaambia wasusie. Na ili kuwezesha kuongopea umma vizuri kwenye hivi viti vinavyogombewa sasa watangazeni wagombea wao ili ionekane kuna ushindani na ccm inashindwa kwa kura. Kwa upuuzi mliofikia hilo nina hakika mnaliweza sana.
 
Kamuombe Lipumba atoke na Cuf inayotambuliwa na serekali ashiriki hakuna aliyemkataza, kuna vyama vya kina Mrema, Dovutwa na Cheyo pia hakuna aliyewaambia wasusie. Na ili kuwezesha kuongopea umma vizuri kwenye hivi viti vinavyogombewa sasa watangazeni wagombea wao ili ionekane kuna ushindani na ccm inashindwa kwa kura. Kwa upuuzi mliofikia hilo nina hakika mnaliweza sana.

NCCR Mageuzi ilikutana lini na wapi kutangaza kujitoa kwny Uchaguzi ? The same to CUF? yaani Chadema wanakutana wanaamua Halafu wanamwita Mtatiro na kusema ni Msimamo wa CUF?
 
Naona umekuja na maswali zaidi badala ya majibu! Binafsi bado cjaona option zaid ya kususa na ikibidi hta 2020 wasuse pia ili nafsi zao zifurah zaid
 
Kwanza kampeni atafanya Nani, maana huku kitaaa ukionekana na mavazi ya Chadema unaanza kufuatiliwa na wasiojulikana, ukiongea tu tofauti na serikali kosa, sasa upinzani maana take nini, tuone serikali inafanya upuuzi tuiache tu. Hatushiriki uchaguzi, Ila muda utafika tu.
 
NCCR Mageuzi ilikutana lini na wapi kutangaza kujitoa kwny Uchaguzi ? The same to CUF? yaani Chadema wanakutana wanaamua Halafu wanamwita Mtatiro na kusema ni Msimamo wa CUF?

Kwanini tuandikie mate, hao NCCR Mageuzi na Cuf ilikuwa na wawakalishi wake kwenye huo mkutano wa ukawa, bado hiyo NCCR na Cuf unazozisema wewe zipo, vyama vyote hivyo vinaweza kujitokeza na kukanusha. Na ili iwe ni kweli watakachokanusha wanaruhusiwa kiroho safi kushiriki huo upuuzi wa uchaguzi. Hakuna anayelazimisha chama kijitoe, lakini sisi wapiga kura wa upinzani na watu wengine wenye kujitambua hatutapiga kura. Hata Mbowe anaweza kuamua kwenda kushiriki lakini wapiga kura tumeshaamua hatutorudi nyuma, tumechoka kuona ushenzi wa kutoheshimu sheria za nchi na mamlaka zenye wajibu zikiwa nyuma ya ushenzi huo. Hivyo tunawasisitiza mkiona vile vyama dhaifu haviwezi kufanya kampeni vipeni hela ili vionekana navyo vinafanya kampeni na kisha kushiriki. Ila turnover ya wapiga kura itakuwa chini na itaendelea kushuka. Shindeni hata kwa asilimia 500 ila tumewapuuza.
 
Tatizo kubwa ni kwamba uongozi wa CHADEMA ulitumia shambulio la Mh Lissu, Mbunge wao, kwenye kampeni zao, kama mtaji wao kisiasa. Waliamini wangefitinisha Serikali na wapiga kura. Matokeo yake ni hayo.

Pili hawakuwa na fedha za kutosha kugharamia kampeni na uchaguzi mzima. Muda mwingi waliutumia kukusanya fedha za matibabu ya Mh Lissu, pia kwa mtazamo wa kisiasa. UPUUZI MTUPU.

Hayo mawili ndiyo sababu kuu za kushindwa vibaya. Sababu wanazozitoa ni za kitoto kabisa, hasa baada ya kuwa wameamini shambulio la Lissu lingewapa kura za huruma.

Wajipange vyema kwa uchaguzi mkuu la watapoteza hata majimbo waliyo nayo kwa sasa. Majimbo hayo, kimaendeleo yanafanya vizuri chini ya Wakuu wa Wilaya na Mkoa, vuongozi wa CCM, na siyo viongozi wa Halmashauri ambazo ziko chini ya upinzani.
 
CUF ipi unayozungumzia hapa? Hii ya dikteta uchwara na msajili uchwara au ile ya Shariff Hamad? Usijitoe ufahamu wewe!

NCCR Mageuzi ilikutana lini na wapi kutangaza kujitoa kwny Uchaguzi ? The same to CUF? yaani Chadema wanakutana wanaamua Halafu wanamwita Mtatiro na kusema ni Msimamo wa CUF?
 
Hivi pale lumumba mnajifunza kuwa waongo wa kupindukia pia!? Una ushahidi kwamba kwenye kampeni za Chadema walitumia shambulizi la Lissu ili kupata kura!?

Hukusikia watu kujeruhiwa na wengine kuuwawa kwa mapanga, marungu, visu na mitutu ya bunduki ili kupora ushindi!?

Acha upumbavu wako uongo mwisho mtaa wa lumumba siyo humu.

Tatizo kubwa ni kwamba uongozi wa CHADEMA ulitumia shambulio la Mh Lissu, Mbunge wao, kwenye kampeni zao, kama mtaji wao kisiasa. Waliamini wangefitinisha Serikali na wapiga kura. Matokeo yake ni hayo.

Pili hawakuwa na fedha za kutosha kugharamia kampeni na uchaguzi mzima. Muda mwingi waliutumia kukusanya fedha za matibabu ya Mh Lissu, pia kwa mtazamo wa kisiasa. UPUUZI MTUPU.

Hayo mawili ndiyo sababu kuu za kushindwa vibaya. Sababu wanazozitoa ni za kitoto kabisa, hasa baada ya kuwa wameamini shambulio la Lissu lingewapa kura za huruma.

Wajipange vyema kwa uchaguzi mkuu la watapoteza hata majimbo waliyo nayo kwa sasa. Majimbo hayo, kimaendeleo yanafanya vizuri chini ya Wakuu wa Wilaya na Mkoa, vuongozi wa CCM, na siyo viongozi wa Halmashauri ambazo ziko chini ya upinzani.
 
Back
Top Bottom