Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Viongozi wa Vyama 10 vya Upinzani (ACT Wazalendo, ADC, CCK, CHADEMA, CHAUMMA, CUF, DP, NCCR Mageuzi NLD na UPDP) wakiwa kwenye kikao cha pamoja na wabunge wa vyama vyote vya upinzani ili kuweka msimamo na mkakati wa pamoja kuhusiana na Muswada Vyama vya siasa.