Vyakula vya Tanzania vyajaza masoko Kenya na Uganda, Tanzania yaanza kutawala soko la chakula EA

joto la jiwe

JF-Expert Member
Sep 4, 2017
26,117
46,613
The development has left thousands of tonnes of rice locked up in warehouses in Jinja City. One of such warehouse is OBN Produce and Supply Company Ltd in Walukuba, Walukuba-Masese Division.

About 1,060 rice growers from Kamuli, Kaliro, Luuka, and Namutumba districts in Busoga sub-region are stranded with tonnes of rice following the importation of cheap rice from Tanzania.

The development has left thousands of tonnes of rice locked up in warehouses in Jinja City. One of such warehouse is OBN Produce and Supply Company Ltd in Walukuba, Walukuba-Masese Division.

Mr Twaha Mugoya, the chairperson of Namutumba Rice Farmers Group, which boasts about 50 rice growers, on Wednesday said the flooding of Tanzanian Kaiso rice into the Ugandan market is pushing them out of business.

He said large-scale commercial rice farmers such as OBN Produce and Supply Company Ltd are only willing to offer them up to Shs1,800 for their rice per kilogramme instead of Shs2,000, but are also willing to pay Shs2,000 for the Tanzanian rice.

“We put in a lot of effort to grow this rice considering that we have been under a lockdown. Rice from Tanzania is in plenty because it comes into the country without taxes,” he said.

The East African Community (EAC) Common Markets protocol allow partner states, including Uganda, Kenya, Tanzania and others, to benefit from free trade barriers, among other rights.

Mr Abdul Karim Kateeba, the coordinator of Bakusekamajja Farmers’ Group in Bugiri District, which links about 162 rice growers to OBN Produce and Supply Company Ltd, said as many as 300 trucks of rice are packed at Mutukula border point awaiting clearance to Uganda.

“In 2017, we heard that OBN Produce and Supply Company Ltd was helping farmers to market our rice; if we aren’t impressed with the market condition, we hoard the rice until we get a better price,” Mr Kateeba said.

Mr Bernard Mugoya Mutebi, the director of OBN Produce and Supply Company Ltd, which trades as Agroben, said there is a lot of tax-free rice imported from Tanzania.

While the rice from Tanzania is credited for having a distinctive aroma, Mr Mutebi said farmers in Busoga don’t know how to grow upland rice compared to, say, people from Gulu and Nwoya in northern Uganda.

In Uganda, there are mainly two types of rice grown; upland rice, which can be farmed even on fairly dry areas, and paddy rice that is specifically grown in swampy areas.

“Busoga Sub-region is good at growing paddy rice, not upland rice and the same applies to the Teso sub-region. I appeal to the government to soften some laws and allow people to start growing rice in swampy areas,” Mr Mutebi said.
He adds that their current market base is mainly Kampala and western Uganda.

“Farmers in western Uganda grow matooke but eat rice and that is where our major market is. We are not exporting because we don’t have the tonnage government expects of us,” he said.

Cheap Tanzanian rice leaves 1,000 Busoga farmers stranded

MY TAKE: Uganda ndio nchi pekee iliyokua ni kimbilio la Kanya kununua chakula pindi Kenya na Tanzania zikizinguana, sass Uganda anasalimu amri, Kenya itakimbilia wapi?
 
Cheap Tanzanian rice leaves 1,000 Busoga farmers stranded
MY TAKE: Uganda ndio nchi pekee iliyokua ni kimbilio la Kanya kununua chakula pindi Kenya na Tanzania zikizinguana, sass Uganda anasalimu amri, Kenya itakimbilia wapi?

Rais alisema "Wameambiwa wajifungie, nao bila kuchanganya na za kwao wanajifungia wakati hata chakula hawana! Wengine wameambiwa usiku ndio wajifungie wasitoke kana kwamba huyo Corona anatembeaga usiku tu! Mhhhhhhhh, Jamanani (kwa sauti ya Magufuli).

Sisi tuchape kazi, tutawauzia Chakula kwa kuwa wao wakati tunalima, walijifungia ndani!

Wale waliokuwa wanafuata upepo na kumtusi Rais wetu, bila kutumia akili wakamdhihaki kwa ubunifu juu ya korona, wakilazimisha anakili wale wengine wanafanya hata kama wao wenyewe hayajawasaidia. Mpo hapo?
 
Cha ajabu bidhaa wanazouza UG nchini Kenya ni karibia mara mbili ya bidhaa za Tz zinazouzwa Kenya. Alafu hamna nchi yeyote ukanda wa Afrika Mashariki na ya Kati sio Tz, UG, Rw, Br, DRC, S.Sudan, Somalia wala Ethiopia ambayo inauzia Kenya bidhaa za thamani ya hela nyingi zaidi ya inazonunua kutoka Kenya.
 
Cha ajabu bidhaa wanazouza UG nchini Kenya ni karibia mara mbili ya bidhaa za Tz zinazouzwa Kenya. Alafu hamna nchi yeyote ukanda wa Afrika Mashariki na ya Kati sio Tz, UG, Rw, Br, DRC, S.Sudan, Somalia wala Ethiopia ambayo inauzia Kenya bidhaa za thamani ya hela nyingi zaidi ya inazonunua kutoka Kenya.
Madhara ya kiporo ulichofukia asubuhi hii! I bet the food is from Tanzania.
 
Cha ajabu bidhaa wanazouza UG nchini Kenya ni karibia mara mbili ya bidhaa za Tz zinazouzwa Kenya. Alafu hamna nchi yeyote ukanda wa Afrika Mashariki na ya Kati sio Tz, UG, Rw, Br, DRC, S.Sudan, Somalia wala Ethiopia ambayo inauzia Kenya bidhaa za thamani ya hela nyingi zaidi ya inazonunua kutoka Kenya.
Ukiacha mbio za marathon ambazo Kenya, Tanzania dominates Kenya in nearly every sector.

From 2015 to 2018, Tanzania had been enjoying huge margin of trade Surplus, only last year Kenya recorded trade surplus of just $41M.
 
Madhara ya kiporo ulichofukia asubuhi hii! I bet the food is from Tanzania.
Hasira nyingi alafu unamalizia kwa pumba, eti I bet, badala ya kuthibitisha madai yako. UG ipo kwenye orodha ya Top Ten business partners wa nchi ya Kenya, Tz haipo. Kisa wanaiuzia Kenya bidhaa nyingi zaidi ya nchi yeyote hapa Afrika, sanasana vyakula. Alafu wananua pia bidhaa nyingi zaidi kutoka Kenya. Mkisupply Kenya na x za mahindi UG wanasupply tani x, X2. Uganda overtakes South Africa in Kenya exports
 
Cheap Tanzanian rice leaves 1,000 Busoga farmers stranded
MY TAKE: Uganda ndio nchi pekee iliyokua ni kimbilio la Kanya kununua chakula pindi Kenya na Tanzania zikizinguana, sass Uganda anasalimu amri, Kenya itakimbilia wapi?
Sasa ndio tunakwendaa kuua Ile mukulima ya Kenya na E.A Kwa ujumla na kumaliza kabisa zile mukulima ya kwao na kuifanya iwe tegemezi zaidi Kwa TANZANIA, Yani inakwenda angamia kabisa kutokana na ile mazao yao kua ghali zaidi.
 
Ukiacha mbio za marathon ambazo Kenya, Tanzania dominates Kenya in nearly every sector.

From 2015 to 2018, Tanzania had been enjoying huge margin of trade Surplus, only last year Kenya recorded trade surplus of just $41M.
Correction: Kenya has been having a surplus in trade with Tz from 1963-2014. 2014 deficit ikaingia, 2015 ikapungua, 2016 ikapungua zaidi, 2017 hivyo hivyo. 2018 surplus ikarudi upande wa Kenya, trend inakueleza tatizo lipo wapi. 2019 licha ya wivu na figisu za mzee wenu wa mikwara mkavunja rekodi ya miaka sita ya kununua bidhaa nyingi zaidi kutoka Kenya.
 
Cha ajabu bidhaa wanazouza UG nchini Kenya ni karibia mara mbili ya bidhaa za Tz zinazouzwa Kenya. Alafu hamna nchi yeyote ukanda wa Afrika Mashariki na ya Kati sio Tz, UG, Rw, Br, DRC, S.Sudan, Somalia wala Ethiopia ambayo inauzia Kenya bidhaa za thamani ya hela nyingi zaidi ya inazonunua kutoka Kenya.
Hahahaha kama 99% ya chakula chote mnachokula kinatoka Tanzania, unategemea nchi gani iongoze kwa kuwauzia bidhaa nyingi?

Sababu chakula tunachowauzia hakiingii kwenye mfumo wa industrial products and on the taxation scale haimaanishi kwamba Tanzania haiuzi bidhaa zaidi Kenya, lazy asses tunatawala matumbo yenu mpaka akili zenu, sababu mkishashiba mnafungulia bonbofleva 😁😁😁😁
 
Wanakula kisha wakishiba wanakuja kupambana na watanzania waliowalisha hapa.
Kama mnavojiona mabilionea mkishalewa kwa shilingi kadhaa za Kenya mnazopokea baada ya kuwauzia wakenya gunia kadhaa za mahindi. Maanake mkizibadilisha pale boda kwa kila noti moja ya Kenya mnapewa magunia ya hela za madafu.
 
Correction: Kenya has been having a surplus in trade with Tz from 1963-2014. 2014 deficit ikaingia, 2015 ikapungua, 2016 ikapungua zaidi, 2017 hivyo hivyo. 2018 surplus ikarudi upande wa Kenya, trend inakueleza tatizo lipo wapi. 2019 licha ya wivu na figisu za mzee wenu wa mikwara mkavunja rekodi ya miaka sita ya kununua bidhaa nyingi zaidi kutoka Kenya.
Mlikua mnapata trade Surplus hadi 2014, Magufuli alipoingia madarakani 2015, moto ukaanza kuwaka, kwa taarifa yako, sababu ya hiyo trade deficit ya mwaka jana ambayo ni $41M, ni kwasababu ya kuuza zaidi katika nchi ya Msumbiji, Zimbabwe na Malawi ambazo bado hazijaanza kujitosheleza kwa Chakula kufuatia kimbunga kilichowapata.

Ninakuhakikishia mwaka huu 2019/2020, surplus itakua zaidi ya $100M,Tutawauzia chakula kingi kwasababu hao Uganda mnaowategemea mwaka huu pia wana upungufu mkubwa wa Chakula.
 
@Pingili nywee mkuu jamba kwanza maana umeshiba wali na chai jamba upungize gesi ndio uje tuijadili Tanzania.
 
Kama mnavojiona mabilionea mkishalewa kwa shilingi kadhaa za Kenya mnazopokea baada ya kuwauzia wakenya gunia kadhaa za mahindi. Maanake mkizibadilisha pale boda kwa kila noti moja ya Kenya mnapewa magunia ya hela za madafu.
We sell to you
1)Food
2)Fruits
3)Cooking oil
4)Cooking gas
5)Soft drinks (Azam & Mo energy drinks)
6)Hard driks(Konyagi, K-vant & Wines)
7)Tooth paste (White dent)
 
Hahahaha kama 99% ya chakula chote mnachokula kinatoka Tanzania, unategemea nchi gani iongoze kwa kuwauzia bidhaa nyingi?

Sababu chakula tunachowauzia hakiingii kwenye mfumo wa industrial products and on the taxation scale haimaanishi kwamba Tanzania haiuzi bidhaa zaidi Kenya, lazy asses tunatawala matumbo yenu mpaka akili zenu, sababu mkishashiba mnafungulia, bongofleva
TRA yenu wanafanya mahesabu ya maharage na mahindi mnayouza Kenya na wanasema bado hayatoshi mboga mbele ya bidhaa mnazoagiza kutoka Kenya. >>> Tanzania trade with Kenya turns into deficit
You right now. :D

tenor.gif
 
TRA yenu wanafanya mahesabu ya maharage na mahindi mnayouza Kenya na wanasema bado hayatoshi mboga mbele ya bidhaa mnazoagiza kutoka Kenya. >>> Tanzania trade with Kenya turns into deficit
You right now. :D
tenor.gif
Hahahaha TRA na mazao wapi na wapi? Wanaohusika na ushuru wa mazao ya chakula ni serikali za vijiji, mazao ya biashara ni bodi ya zao husika, TRA haiwahusu kaaaabisa

Biashara ya mazao kwenye jumuiya ya Africa mashariki haina ushuru.
 
Back
Top Bottom