imeldaB
Member
- Aug 23, 2019
- 39
- 63
Habari zenu?
Muda huu nmejikuta nakumbuka chakula cha kijijini kwetu. Mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Singida na nikiendaga kwetu napikiwa ugali wa mtama mweupe, "nsans'a" hii ni majani ya kunde yaliyokaushwa kwenye jua na baadae yanapikwa na bila kusahau nyama, kwetu tunapenda nyama balaa.
Ningependa kujua mikoa mingine na vyakula vyao vya asili.
Muda huu nmejikuta nakumbuka chakula cha kijijini kwetu. Mimi ni mwenyeji wa Mkoa wa Singida na nikiendaga kwetu napikiwa ugali wa mtama mweupe, "nsans'a" hii ni majani ya kunde yaliyokaushwa kwenye jua na baadae yanapikwa na bila kusahau nyama, kwetu tunapenda nyama balaa.
Ningependa kujua mikoa mingine na vyakula vyao vya asili.