princess ariana
JF-Expert Member
- Aug 19, 2016
- 7,482
- 14,211
Habari jf doctor's
Baada ya kwenda hospitali kumwelezea daktari matatizo yangu ya uzazi. Uti zisizoisha,candida zisizoisha.bleed vitone tone kila mwezi kidogoo. Vipimo vyangu vikaonyesha nina;
Vagina PH 5
hormone imbalance
Utra sound ikaonyesha sina tatizo
Full blood picture
Nikaambiwa mkojo wangu ni acidic ..pia hio lymph (madaktari mtanisaidia) kwamba kuna cell zangu zinakufa kwa asilimia 48.7%
Nikatoa maelezo mengine ikaonekana niliwahi kupata mimba long ikatoka halafu sikujua kwahiyo mji wa mimba una vidonda ndio vinasababisha haya yote.
Nikaandikiwa zithromax/ azithromaycin 4 ×1(3days)
Kuhusu hormone sijaandikiwa dawa
Wakuu mnanishaurije? Maana ukavu kwenye vagina haujaisha.
Je kuhusu life style yangu nini nifanye nini nisifanye maana huwenda vinachangia hili tatizo,nile nini nini nisile?
Karibuni wakuu
Baada ya kwenda hospitali kumwelezea daktari matatizo yangu ya uzazi. Uti zisizoisha,candida zisizoisha.bleed vitone tone kila mwezi kidogoo. Vipimo vyangu vikaonyesha nina;
Vagina PH 5
hormone imbalance
Utra sound ikaonyesha sina tatizo
Full blood picture
Nikaambiwa mkojo wangu ni acidic ..pia hio lymph (madaktari mtanisaidia) kwamba kuna cell zangu zinakufa kwa asilimia 48.7%
Nikatoa maelezo mengine ikaonekana niliwahi kupata mimba long ikatoka halafu sikujua kwahiyo mji wa mimba una vidonda ndio vinasababisha haya yote.
Nikaandikiwa zithromax/ azithromaycin 4 ×1(3days)
Kuhusu hormone sijaandikiwa dawa
Wakuu mnanishaurije? Maana ukavu kwenye vagina haujaisha.
Je kuhusu life style yangu nini nifanye nini nisifanye maana huwenda vinachangia hili tatizo,nile nini nini nisile?
Karibuni wakuu