Tychob
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 3,646
- 4,611
Hupendi kabisa kusikia neno kupimaNavyoogopaga neno ukimwi sijui niseme vipi? Mtu ameishapima lakini bado ana wasiwasi mi ndo maana niliachaga.
Hupendi kabisa kusikia neno kupimaNavyoogopaga neno ukimwi sijui niseme vipi? Mtu ameishapima lakini bado ana wasiwasi mi ndo maana niliachaga.
Kuacha ngono ndio jibu sahihiHupendi kabisa kusikia neno kupima
Dalili ulizozitaja ni za mtu mwenye maambukizi; Kipimo ulichotumia ni rapid test na mara nyingi kinashindwa kuona virus hasa pale immunity ya mwili inapoanza kupambana na virus na kufanya virus kujificha kwenye DNA.
Ni vizuri ukaomba hospital wakupime kipimo kikubwa cha HIV. Na kama ukikutwa na maambukizi siyo mwisho wa maisha; anza dawa mapema nchini bado inakuhitaji kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda. Na ikitokea umekoswa koswa bob usirudie ufala wa kujilipua. All the best
Mlienda nyama kwa nyamaKuuza match ndio kufanyaje?
Dalili ulizozitaja ni za mtu mwenye maambukizi; Kipimo ulichotumia ni rapid test na mara nyingi kinashindwa kuona virus hasa pale immunity ya mwili inapoanza kupambana na virus na kufanya virus kujificha kwenye DNA.
Ni vizuri ukaomba hospital wakupime kipimo kikubwa cha HIV. Na kama ukikutwa na maambukizi siyo mwisho wa maisha; anza dawa mapema nchini bado inakuhitaji kwenye ujenzi wa uchumi wa viwanda. Na ikitokea umekoswa koswa bob usirudie ufala wa kujilipua. All the best
Sawa cole williams nitafanya hivyo.Mimi pia namshauri aende hospital akapime kipimo kikubwa
Aliyekufumua chuo alifaidi sana.Mi huwa naamini akili inahusiana kwa asilimia kubwa sana na mwili...yani vile akili inawaza una jambo fulani ndio na mwili unarespond kwa unachowaza
Kipindi nipo chuo nilishawahi kuhisi nina mimba,na nikawa na uhakika ninayo kweli mana dalili nilikuwa nazo lakini kupima naogopa
Ajabu nilivyopima kipimo kikaonesha sina....na dalili zote zikapotea
Kama umepima kweli na ikaonesha huna HIV,ni suala la akili yako kuamini unachokiona
Kuwa makini
Aliyekufumua chuo alifaidi sana.
K Ilikuwa bado tight
DuhhhNi kweli kabisa
We kuwa na hofu sana ila omba usiupate ndugu yanguNaomba niende moja kwa moja kwenye topic.
Nilidate na mtu mwezi 3 ..baaada ya hapo nikaambiwa ameasilika japo tulipima tukawa sawa wote.
Siku moja nipo na best yangu akawa ananisomea dalili za HIV ndipo hali yangu ili change nikawa na utandu mdomon kama fungus nikajitibu zikapona, baada ya hapo nikawa si uelewi mwili kama malaria vile ni kaenda kupima nikakutwa na malaria 3 na UTI ....nikatibu tena kwa sindano sasa tokea hapo na chemka mgongoni maeneo ya uti wa mgongo mara maeneo ya shingoni au kiunoni na kichwa kinauma Nikaona isiwe tabu nikapima HIV ....nikatumia HIV test ikaniletea mstari mmoja kwa juu.... Ila dalili ni hizo hizo nika rudia tena kupima mstari ni ule ule.
Nikaamua kwenda kwa doctol ili nipate ushauli labda opration ilinizulu nae akaniambia nipime kisukari.. Ndo nadhidi kuchanganyikiwa kabisa.
Je kuna alieugua HIV ana dalili kama hizi zangu au ni metumiwa mapepo.
Kipimo ni hicho hapo .
View attachment 1155529
Nimependa mtazamo wako kama nikupendavyo wewe mwenyeweMi huwa naamini akili inahusiana kwa asilimia kubwa sana na mwili...yani vile akili inawaza una jambo fulani ndio na mwili unarespond kwa unachowaza
Kipindi nipo chuo nilishawahi kuhisi nina mimba,na nikawa na uhakika ninayo kweli mana dalili nilikuwa nazo lakini kupima naogopa
Ajabu nilivyopima kipimo kikaonesha sina....na dalili zote zikapotea
Kama umepima kweli na ikaonesha huna HIV,ni suala la akili yako kuamini unachokiona
Kuwa makini
Mi huwa naamini akili inahusiana kwa asilimia kubwa sana na mwili...yani vile akili inawaza una jambo fulani ndio na mwili unarespond kwa unachowaza
Kipindi nipo chuo nilishawahi kuhisi nina mimba,na nikawa na uhakika ninayo kweli mana dalili nilikuwa nazo lakini kupima naogopa
Ajabu nilivyopima kipimo kikaonesha sina....na dalili zote zikapotea
Kama umepima kweli na ikaonesha huna HIV,ni suala la akili yako kuamini unachokiona
Kuwa makini
Hapo mkuu andaa mirathi huna muda mrefu kwa upendo anza dozi mapema tuendelee kuwa wote humuNaomba niende moja kwa moja kwenye topic.
Nilidate na mtu mwezi 3 ..baaada ya hapo nikaambiwa ameasilika japo tulipima tukawa sawa wote.
Siku moja nipo na best yangu akawa ananisomea dalili za HIV ndipo hali yangu ili change nikawa na utandu mdomon kama fungus nikajitibu zikapona, baada ya hapo nikawa si uelewi mwili kama malaria vile ni kaenda kupima nikakutwa na malaria 3 na UTI ....nikatibu tena kwa sindano sasa tokea hapo na chemka mgongoni maeneo ya uti wa mgongo mara maeneo ya shingoni au kiunoni na kichwa kinauma Nikaona isiwe tabu nikapima HIV ....nikatumia HIV test ikaniletea mstari mmoja kwa juu.... Ila dalili ni hizo hizo nika rudia tena kupima mstari ni ule ule.
Nikaamua kwenda kwa doctol ili nipate ushauli labda opration ilinizulu nae akaniambia nipime kisukari.. Ndo nadhidi kuchanganyikiwa kabisa.
Je kuna alieugua HIV ana dalili kama hizi zangu au ni metumiwa mapepo.
Kipimo ni hicho hapo .
View attachment 1155529