VVU na UKIMWI: Historia yeke, chanzo cha maambukizi, dalili, kinga na juhudi za kupambana na ugonjwa huu

Duh Nitonye mtazamo wako hauna mlengo mzuri. Kwanza kwa ufahamu wangu sio watu wote wanaotumia ARV wanajishghulisha kwa sana na mambo ya ngono kwasababu licha tu ya kuambukiza wengine bali hata wao wanaweza kupata uambukizo mpya. Halikadhalika, kuna baadhi ya watu wanaotumia ARV wakipiga game moja la maana huwa taabani kwa muda, na wengine uamsha magonywa nyemelezi waliyo nayo. Ifahamike kuwa kushindwa kwako kujilinda katika mahusiano kusitumike kuwanyanyaapaa wengine. Nawasilisha
 
kuna mtoto mmoja alizaliwa akiw tayari na maambukizi ..sasa hivi ana miaka 15 na yeye ameshazalishwa tayari..ni true story..huku kisarawe
 
Mkuu hayo maneno ni mazito sana kuyatoa ukizingatia unyeti wa suala lenyewe, watu wanateseka sana kaka, ungepata nafasi ya kupita hospitalini kitu cha kwanza ambacho ungekisema baada ya kutoka ni kwamba dawa ziongezwe jamani.
 
Lakini mkuu huoni hata kama haya madawa yapo lakini watu wanazidi kuteketea na hili gonjwa kwa sababu hizi dawa zinabadilisha type ya virusi na hivyo maambukizi na kuendelea kwa kasi
tafiti zimeonesha watu wanaotumia ARV au ambao wapo kwenye care programmes wanajihusisha na ngono zembe kwa kiasi kidogo ukilinganisha na wale ambao hawajui status yao. moja ya sababu muhimu ni ushauri nasaha wanaopewa. pia ki-science, chance ya kutransmitt HIV kwa wanaotumia ARV ni ndogo kuliko yule ambaye ana HIV lakini hatumii dawa( labda sababu hajui status yake) .hii inakua explained na uchache wa virusi kwa wale wanaotumia dawa cause dawa zina zuia kuzaliana kwa virus. Swala la usugu wa dawa linaweza kupunguzwa kwa kuhamasisha matumizi zahihi ya dawa. side effects za dawa zipo karibu kwa kila dawa,lakini when benefits ni zaidi ya madhara ni afadhali usaidie wengi
 
MpigaKura,
hawamkumbuki ndiyo maana bado wanahabari hizi, yale waliyoyasoma kwenye ule uzi wenye picha hii hawakuyaelewa yote, au la basi ni moja ya mawakala wao wanataka kujua kama kuna mabadiliko
 
Habari wanajf, nimekuwa nikifuatilia kampeni ya serikali yetu katika kupunguza makali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ambapo suala la madawa ya kuongeza maisha kwa waathirika linaonekana muhimu sana. Binafsi haya madawa naona yanaendeleza maambukizo kwa sababu mtu anapoyatumia ananawili kweli hivyo kujikuta anaendeleza kuambukiza wengine. Mimi nilikuwa nashauri haya madawa yasitumike ili tuweze kutambuana kirahisi haya ni mawazo yangu lakini.
ulichopatia ni kichwa chako cha habari kwamba dawa hizo hazifai kwa lolote iwe kunenepesha wala kukondesha, hizo dawa ndiyo ukimwi wenyewe. Gazeti la Kulikoni limewahi kutoka wakati fulani kama siyo 2007 basi ni 2006 na taarifa ukurasa wa mbele kabisa kuwa wanaozitumia dawa hizo hufa mapema kuliko wale wasiozitumia, waulizeni kama wamewahi kuandika hivyo wao, wakikataa nijulisheni pengine nilielewa vibaya.
 
yaani wewe badala ya kujilinda usipate maambukizi unataka wenzio wakose tiba?
Nimeamini sie binadamu tu wabinafsi sana
 
yaani wewe badala ya kujilinda usipate maambukizi unataka wenzio wakose tiba?
Nimeamini sie binadamu tu wabinafsi sana

Hapana sitaki wakose kwa sababu tunawahitaji katika jamii ila hizi dawa zimewafanya watu kwanza wasiogope neno ukimwi ukimwambia mtu anakuambia dawa zipo yaani hii ni sawa na kutoa matangazo ya ukimwi kwa kuweka picha za watu walioshikana mikono badala ya kuweka waathirika
 
tafiti zimeonesha watu wanaotumia ARV au ambao wapo kwenye care programmes wanajihusisha na ngono zembe kwa kiasi kidogo ukilinganisha na wale ambao hawajui status yao. moja ya sababu muhimu ni ushauri nasaha wanaopewa. pia ki-science, chance ya kutransmitt HIV kwa wanaotumia ARV ni ndogo kuliko yule ambaye ana HIV lakini hatumii dawa( labda sababu hajui status yake) .hii inakua explained na uchache wa virusi kwa wale wanaotumia dawa cause dawa zina zuia kuzaliana kwa virus. Swala la usugu wa dawa linaweza kupunguzwa kwa kuhamasisha matumizi zahihi ya dawa. side effects za dawa zipo karibu kwa kila dawa,lakini when benefits ni zaidi ya madhara ni afadhali usaidie wengi
Well said Mkuu you have said all that I wanted to say.
 
Habari wanajf, nimekuwa nikifuatilia kampeni ya serikali yetu katika kupunguza makali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ambapo suala la madawa ya kuongeza maisha kwa waathirika linaonekana muhimu sana. Binafsi haya madawa naona yanaendeleza maambukizo kwa sababu mtu anapoyatumia ananawili kweli hivyo kujikuta anaendeleza kuambukiza wengine. Mimi nilikuwa nashauri haya madawa yasitumike ili tuweze kutambuana kirahisi haya ni mawazo yangu lakini.

mawazo yako kama sura yako
 
Habari wanajf, nimekuwa nikifuatilia kampeni ya serikali yetu katika kupunguza makali ya maambukizi ya virusi vya ukimwi ambapo suala la madawa ya kuongeza maisha kwa waathirika linaonekana muhimu sana. Binafsi haya madawa naona yanaendeleza maambukizo kwa sababu mtu anapoyatumia ananawili kweli hivyo kujikuta anaendeleza kuambukiza wengine. Mimi nilikuwa nashauri haya madawa yasitumike ili tuweze kutambuana kirahisi haya ni mawazo yangu lakini.

mkuu ww ushapima? usikute na ww ni mmoja wa watu ambao watazihitaji hizi dawa muda si mrefu!
 
Hapana sitaki wakose kwa sababu tunawahitaji katika jamii ila hizi dawa zimewafanya watu kwanza wasiogope neno ukimwi ukimwambia mtu anakuambia dawa zipo yaani hii ni sawa na kutoa matangazo ya ukimwi kwa kuweka picha za watu walioshikana mikono badala ya kuweka waathirika

sasa wewe ushajua kuba ukimwi kwa nini usifuate njia za mapenzi salama? Na usisahau ukimwi hauletwi kwa kufanya mapenzi pekee kuna njia nyingi za maamnukizo.

Na jamii isingekua na unyanyapaa na ubinafsi kama huu ulioonyesha hawa watu wangejitangaza
 
Wewe Nitonye uliyotoa mada hii inatakiwa uwaombe radhi Watanzania kwa kauli hiyo. Kwanza watu wanafuatilia uraia wako kwani wanaamini hakuna Mtanzania anayeweza kutoa maneno kama yako. Vinginevyo namuomba Mungu wetu akusamehe kwani hujui utendalo!!

Mkuu usiuchukue mtazamo wangu kwa njia ya hasi, tunajua wote kuwa hili ni janga na tumewapoteza ndugu zetu,marafiki zetu lakini embu fikiria ni nini hasa malengo ya hizi dawa je nikupunguza makali ya ukimwi tu au kuendeleza maambukizi mimi naona ingekuwepo njia mbadala ya kuzuia maambukizi sio ARV watu wanazidi kuteketea pamoja na uwepo wake
 
Kuna Dr. Wa kijeruman aliniambia ARV zimeletwa ili ziongeze maambukizi coz wao washajipigia mahesabu muathirika ataish mda mrefu na atakuwa sexual active na atakuwa na uwezo wa kutransmit kwa watu kama wa5 hivi! Kwa kuwa wanazijua behavior zetu toward sex. Sijui kama statement yake ina ukweli wowote ila maoni yake yalikuwa angekuwa na uwezo angezipiga marufuku!
 
Ningependa kufahamu kama mtoto anapopata maambukizi ya ukimwi toka kwa mama yake wakati wa kuzaliwa anaweza kuishi na virusi vya ukimwa kwa muda gani hususa ni akiwa anatumia ARVs.
 
Back
Top Bottom