Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 32,996
- 52,377
Umeambiwa utafakari iwapo "upinzani/wapinzani/vyama vya upinzani" havitokuwepo.Rudia kubukua.Kwani chadema ndo mungu tunayemuomba msaada hiyo in kufuru mbona pia kesho yetu in kaburini wote hapa duniani mi leo usijidanganye bro binafsi naitaji kiongozi muadilifu au mwenye khofu ya Allah sio DEMOKRASIA kwani ni mfumo hatari na wa kijinga kwa watu maskini hivyo km kula KUKU kwa mirija mlishakula sn na wanyonge wapo na chadema wapo ebu msituaminishe ujinga wenu huku wote ni walewale wanafiki wa kisiasa kubwa na zuri duniani tupo kwa muda mfupi na kila nafsi itaonja umauti hapo ndo mtakiona nyie wanaharakati.
Sent using Jamii Forums mobile app