KYALUMUKUNZA
Senior Member
- Aug 19, 2012
- 145
- 28
Mimi namfahamu zaidi yako. Kabla hajaenda TSJ alikuwa anashinda ghetoni kwangu anacheki movie pale Kilakala Morogoro. Anajitahidi japo si mzuri sana so akienda CDM hatasikika kabisa atamezwa na watu wenye data zao.
mkuu hapo kwenye red inaonesha kama umemnyangurunyanguru e.wasita