FairPlayer
JF-Expert Member
- Feb 27, 2006
- 4,145
- 716
Hapa napita tu!
Ni DDH mkuu, rekebisha hapo.
Umeona eeehbulaya hatumtaki CDM abaki huko huko magambani maana huwa anazomea sana wapinzani bungeni.
Wanasiasa wote wanaangalia Maslahi kwanza. iwe CCM iwe upinzani.
Unamkubali kwa uzalendo upi?Miongoni mwa wabunge vijana ninao wakubali binafsi ni Ester Bulaya, kwa maslahi mapana ya taifa letu ni mzalendo!
Itakuwa na msaada gani kwa CHADEMA?Kwenye siasa hakuna adui wa kudumu. Namkaribisha Bulaya CHADEMA .
Kama Esther Bulaya anataka bright future yake politically aachane na huyo mzee pamoja na CCM yao aje CHADEMA kwenye tumaini jipya litakalomwangazia future yake kisiasa. Hakika hawakawii kumkolimba huyu binti akiendelea kujipima nao ubavu. NIMEMALIZA
Umeona eeeh
Huyu dada hafai kabisa kabisa kuja CHADEMA. Ni mtu hatari sana katika ustawi wa CHADEMA.
Nilimwona Igunga na Arumeru Mashariki jinsi alivyokuwa akipanga hila za kimafia kabisa kwa nia ya kuwaangamiza wanaCHADEMA.
Kama CHADEMA watakubali kumpokea huyo dada huenda mimi ni kawa mtu wa kwanza kuacha kuinga mkono Chadema tena humu humu mtandaoni.
Namfahamu Esta Bulaya Tangu anasoma kile chuo cha uandishi wa habari cha DSJ hadi alipopata kazi Uhuru gazeti na kisha kujiingiza UVCCM. Hana sifa hizo kama mnavyodhani, mnamu-over rate!
Hapo tunasema ngoma inogile!
Kwa ushauri wangu namwomba Esther Bulaya kwa haraka sana kama nyuki aungane na na wajina wake dada Esther
Wassira ambaye yuko CHADEMA na wala hataki kusikia longolongo za baba yake Wassira.
Wassira ni mzee mwenye matatizo ya kisaikolojia na inaelekea ana mtindio wa ubongo! Haiwezekani mtu ambaye alikuwa kwenye serikllia ya mwalimu Nyerere akiwa kama RC, Mbunge na Waziri kwenye miaka ya 70 mpaka leo anang'ang'ania jimbo ili aendelee kula pesa ya Watanzania!!!Hili haliwezekani na halikubaliki. Wassira lazima atoswe!
Da Esther Bulaya tunasema HAMIA AIRTEL(CHADEMA) na karibu sana.
Na za Dr KigwangalaIsije kuwa ni kelele kama za MKONO wa Musoma vijijini...........