mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Mwanafunzi moja wa shule ya msingi Kibaoni Manispaa ya Singida amefariki dunia jioni ya Leo baada ya kugongwa na Gari iliosemekana ni ya kusafirishia hela za benki.
Mwanafunzi huyo aligongwa akiwa sehemu salama kabisa inayoruhusu waenda kwa miguu kuvuka barabara yani zebra, lakini kwa kutojali kwake Dereva wa Gari Hilo alimpitia na kumvuruta kwa umbali wa mita 50 hali iliyosababisha kutokutambulika kwa maiti hiyo kiurahisi kwani kichwa hakionekani
Baada ya hayo wananchi walifuata gari Hilo kwa hasira na kuanza kulipiga mawe,hali iliyosababisha Polisi kuingilia Kati na kutandika Mabomu ya machozi na maji ya washa washa
Kuna kiongozi moja ambae chanzo Cha habari hakikufanikiwa kumtambua either ni RC or DC lakini alishindwa kutuliza hali ya Mambo
RIP mwanafunzi
Mwanafunzi huyo aligongwa akiwa sehemu salama kabisa inayoruhusu waenda kwa miguu kuvuka barabara yani zebra, lakini kwa kutojali kwake Dereva wa Gari Hilo alimpitia na kumvuruta kwa umbali wa mita 50 hali iliyosababisha kutokutambulika kwa maiti hiyo kiurahisi kwani kichwa hakionekani
Baada ya hayo wananchi walifuata gari Hilo kwa hasira na kuanza kulipiga mawe,hali iliyosababisha Polisi kuingilia Kati na kutandika Mabomu ya machozi na maji ya washa washa
Kuna kiongozi moja ambae chanzo Cha habari hakikufanikiwa kumtambua either ni RC or DC lakini alishindwa kutuliza hali ya Mambo
RIP mwanafunzi