AKILI YA KUAMBIWA
Member
- Apr 26, 2013
- 22
- 0
Kwa maana jinsi hii Mungu aliipenda TANZANIA, hata akakitoa CHADEMA pekee, ili kila mtu akiaminiye asipotee, bali awe na mwelekeo mzuri. KUBALI, KATAA, CHADEMA NI CHAGUO LA MUNGU. Ewe unayejiita MJUSI, MLUZI au jiite vyovyote vile unavyoweza kujiitauliyetumwa na hao majambazi wa CCM kuja kufanya vurugu kwenye mikutano ya CHADEMA, tambua kuwa hizo siyo siasa bali ni upumbavu nawe mwenyewe ni mpumbavu. Hakika saa yaja usiyoijua ambayo MUNGU atakutia mikononi mwa WANA WA CHADEMA!! Kitakachokutekea sasa ujue kuwa ni Mungu amekutendea hivyo maana naye Mungu amechoshwa na matukio yako. Endelea kusubiri. Kuna siku hutaongea wewe MJUSI.