KIKWETE, KIKWETE,KIKWETE unafanya nini OMAN nchi inateketea na mwivi
Hey maneno gani hayo? hujui mi Traveler in Chief na sio Commander in chief
KIKWETE, KIKWETE,KIKWETE unafanya nini OMAN nchi inateketea na mwivi
Boko Haram imeingia Zanzibar.
Nafikiri hapo kwenye RED ndio mipango ya CHADEMA ikiingia madarakani.
wewe ni gamba. Polisi hawaruhusiwi kuua!
kikwete rudi nyumban uone yanayoendelea.
Alipouwawa BALO KJ alikuwa amesafiri
huyu mnae mtaja c ndo chanzo cha haya yoooote
Kuna habari kuwa usiku wa kuamkia leo kuna askari mwingine ameuawa na safari hii ni askari wa kike ambaye inasemekana nae ameshambuliwa na wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa kikundi cha UAMSHO,huu utakuwa ni muendelezo wa mauaji ya askari huko Zanzibar baada ya jana kuriporiwa kuuawa kwa koplo Said Abdulrahman...
More updates to follow.
Kuna habari kuwa usiku wa kuamkia leo kuna askari mwingine ameuawa na safari hii ni askari wa kike ambaye inasemekana nae ameshambuliwa na wanaodhaniwa kuwa ni wafuasi wa kikundi cha UAMSHO,huu utakuwa ni muendelezo wa mauaji ya askari huko Zanzibar baada ya jana kuriporiwa kuuawa kwa koplo Said Abdulrahman...
More updates to follow.
ahahahahaa, nilikuwa sijui! Ila kuuliwa ruksa?
kikwete rudi nyumban uone yanayoendelea.
Atasaidia nini wakati kalianzisha mwenyewe?watu wanauana yeye anashangaa makasri na kuendelea kusign mikataba ya kuuza nchi!wapi pinda,wapi mzee wa kukat utepe!wanashindwa kutoa tamko na kuchukua hatua?idiöts.
chanzo cha haya ni Julius Nyelele sio Jk.
jiografia imelala hapo