Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 58,984
- 103,357
Mambo ya Halima James Mdee yamevuruga sana!
Halafu kuna wapuuzi walikuwa wanasema cdm waende mahakamani wakafungue mashtaka kama wameibiwa kura, kisha mahakama ndio hizo zinaagizwa na wahuni wachache wa serekali jinsi ya kuendesha kesi.