Poise
JF-Expert Member
- May 31, 2016
- 7,633
- 7,899
Ukiona kwamba, ninyi wenyewe kwa wenyewe mnashindwa kufanya maamuzi sahihi basi ni dhahiri kuwa wote hamfai kushika nafasi hizo.
Tanzania, tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya mfumo wa vyama vingi ila kwa sasa tunafanya maigizo ya watoto wa shule za upili na vitoto vya chekechea!!
Tanzania, tunahitaji mjadala wa kitaifa juu ya mfumo wa vyama vingi ila kwa sasa tunafanya maigizo ya watoto wa shule za upili na vitoto vya chekechea!!