Pagan Amum
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 1,932
- 4,395
Fujo kubwa sana zimetokea leo katika kikao cha wajumbe wa Kamati ya siasa mkoa wa Tabora baada ya jina la mgombea wa 4 kurejeshwa leo wakati vikao vya mchujo vilimalizika wiki jana Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu Mpogolo anasemekana ndio mratibu wa hili jambo huku akitumia jina la Rais Magufuli kuwa ndio kamtuma arejeshe jina la Lucas Seleli kuwa moja wa mgombea wa nafasi ya NEC
Awali katika vikao vilivyomalizika wiki jana, wagombea wote walipitiwa na vikao vya juu husika, na katika kupitisha majina Ndg. Seleli alikatwa katika vikao hivyo. Ila cha kushangaza leo Naibu Katibu Mkuu kavunja kanuni, sheria na taratibu za chama kwa kuingiza jina la Seleli kinyemela..
Tayari wajumbe wote wametoa msimamo kuwa hawataingia katika chumba cha kupiga kura, kwani huu ni uhuni, na kumtaka Naibu Katibu Mkuu kuacha kumchafua Rais kwa kutumia jina lake..
Naibu Katibu Mkuu Mpogolo anasemekana ndio mratibu wa hili jambo huku akitumia jina la Rais Magufuli kuwa ndio kamtuma arejeshe jina la Lucas Seleli kuwa moja wa mgombea wa nafasi ya NEC
Awali katika vikao vilivyomalizika wiki jana, wagombea wote walipitiwa na vikao vya juu husika, na katika kupitisha majina Ndg. Seleli alikatwa katika vikao hivyo. Ila cha kushangaza leo Naibu Katibu Mkuu kavunja kanuni, sheria na taratibu za chama kwa kuingiza jina la Seleli kinyemela..
Tayari wajumbe wote wametoa msimamo kuwa hawataingia katika chumba cha kupiga kura, kwani huu ni uhuni, na kumtaka Naibu Katibu Mkuu kuacha kumchafua Rais kwa kutumia jina lake..