Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Aibu sana kwa wanao tusikia jinsi tunavyo lazimika kuishi kwenye nchi yetuMkuu hawa watu hawajui kitu kinachoitwa aibu, si polisi wala si ccm.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aibu sana kwa wanao tusikia jinsi tunavyo lazimika kuishi kwenye nchi yetuMkuu hawa watu hawajui kitu kinachoitwa aibu, si polisi wala si ccm.
Na hakuna mtu wa kumkemeaUzalendo na kanuni za utumishi kazisahau kaamua kuwa msemaji wa chama .
Mkuu kwani Chale kapitishwa tena na ccm hapo ikuti?MUNGU WA RAISI WETU naomba diwani wa kata ya IKUTI RUNGWE asipite.
Miaka 15 bila chochote kipya alicholeta kipya kimaendeleo kata ya ikuti inatosha.
Kitu kinachonifanya nachukia polisi na CCM vyote japo Nina ndugu polisi na baadhi wapo huko CCM pia..ila naogopa Hukumu ya Mungu kwa kufurahia,kuchekelea,kuunga mkono Udharimu..Mungu nilinde kwenye imani hii kamwe nisibadilike!Nimefurahi sana kwa hawa watu kutwangana
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania
WanaCCM waandamana kupinga maamuzi
Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.
Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.
Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .
Chanzo: Mwananchi digital
Habari za ziada juu ya mtafaruku wa Dodoma kwa kina hapa chini kwa hisani kubwa : source: A.DIGITAL TZ youtube
MGOMBEA ALIA NA CHAMA BAADA YA KUSHINDA NA KUKATWA
Mshindi wa pili katika kura za wajumbe abaki na mshangao taratibu za maamuzi kupingana wakati aliletewa taarifa za kuteuliwa rasmi kuwakilisha CCM. Kuna makundi ndani ya CCM ..
18 Julai 2020
Dodoma
CCM WAGOMBANA,POLISI WAINGILIA KATI
Wanachama Dodoma wilaya kata ya Ipagala, Nzuguni, Kizota watilia shaka maelezo kuwa hiyo ni taarifa toka juu kuwa washindi wa kura za juu ndiyo wepewe uteuzi kuwakilisha CCM inapingana na maamuzi ya vikao vya Halmashauri ya wilaya ya Dodoma. Wagoma kuondoka mpaka wapate barua zao za kwenda kwa Tume ya Uchaguzi msimamizi wa uchaguzi wa udiwani
WanaCCM washutumu viongozi wenye mishahara makao makuu kwa maamuzi yenye utata wakati wao viongozi wa mitaani wenye kujitolea ndiyo wanajua ukweli wa watia nia wagombea kama wana maadili au la kuliko viongozi wa CCM Mkoa au Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama Makao Makuu CCM Dodoma.
Nashangaa yanaogopana si yamchomane visu tumboni tu.Safiiiiiiiii wacha yauane tu
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania
WanaCCM waandamana kupinga maamuzi
Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.
Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.
Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .
Chanzo: Mwananchi digital
Habari za ziada juu ya mtafaruku wa Dodoma kwa kina hapa chini kwa hisani kubwa : source: A.DIGITAL TZ youtube
MGOMBEA ALIA NA CHAMA BAADA YA KUSHINDA NA KUKATWA
Mshindi wa pili katika kura za wajumbe abaki na mshangao taratibu za maamuzi kupingana wakati aliletewa taarifa za kuteuliwa rasmi kuwakilisha CCM. Kuna makundi ndani ya CCM ..
18 Julai 2020
Dodoma
CCM WAGOMBANA,POLISI WAINGILIA KATI
Wanachama Dodoma wilaya kata ya Ipagala, Nzuguni, Kizota watilia shaka maelezo kuwa hiyo ni taarifa toka juu kuwa washindi wa kura za juu ndiyo wepewe uteuzi kuwakilisha CCM inapingana na maamuzi ya vikao vya Halmashauri ya wilaya ya Dodoma. Wagoma kuondoka mpaka wapate barua zao za kwenda kwa Tume ya Uchaguzi msimamizi wa uchaguzi wa udiwani
WanaCCM washutumu viongozi wenye mishahara makao makuu kwa maamuzi yenye utata wakati wao viongozi wa mitaani wenye kujitolea ndiyo wanajua ukweli wa watia nia wagombea kama wana maadili au la kuliko viongozi wa CCM Mkoa au Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama Makao Makuu CCM Dodoma.
Mshana Jr hii ilikuwa wapi tena? Magomeni Mapipa Dar es Salaam maana mazingira yanafanana na Mapipa
Mkuu kwani Chale kapitishwa tena na ccm hapo ikuti?
This is just the beginning
Sisi wengine ndiyo tunaagiza kahawa na kashata
Hilo linafahamika kuwa siyo bahati mbaya na pia tunafahamu kuwa wanapewa maagizo toka upstairs,kinachosikitisha ni jinsi Katiba na Sheria zinavyovunjwa na wasimamizi wake ilhali hakuna anayewajibishwa.Ndiyo ujue kuwa polis wanapo wafanyiaga roho mbaya wapinzani hawafanyi kwa bahati mbaya
Muroto atasema nini wakati wapiganaji ni wanachama wao? 🤣 🤣 🤣Hapo muroto hana cha kufanya maana hapo ndiyo makao makuu ya chama
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania
WanaCCM waandamana kupinga maamuzi
Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.
Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.
Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .
Chanzo: Mwananchi digital
Habari za ziada juu ya mtafaruku wa Dodoma kwa kina hapa chini kwa hisani kubwa : source: A.DIGITAL TZ youtube
MGOMBEA ALIA NA CHAMA BAADA YA KUSHINDA NA KUKATWA
Mshindi wa pili katika kura za wajumbe abaki na mshangao taratibu za maamuzi kupingana wakati aliletewa taarifa za kuteuliwa rasmi kuwakilisha CCM. Kuna makundi ndani ya CCM ..
18 Julai 2020
Dodoma
CCM WAGOMBANA,POLISI WAINGILIA KATI
Wanachama Dodoma wilaya kata ya Ipagala, Nzuguni, Kizota watilia shaka maelezo kuwa hiyo ni taarifa toka juu kuwa washindi wa kura za juu ndiyo wepewe uteuzi kuwakilisha CCM inapingana na maamuzi ya vikao vya Halmashauri ya wilaya ya Dodoma. Wagoma kuondoka mpaka wapate barua zao za kwenda kwa Tume ya Uchaguzi msimamizi wa uchaguzi wa udiwani
WanaCCM washutumu viongozi wenye mishahara makao makuu kwa maamuzi yenye utata wakati wao viongozi wa mitaani wenye kujitolea ndiyo wanajua ukweli wa watia nia wagombea kama wana maadili au la kuliko viongozi wa CCM Mkoa au Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama Makao Makuu CCM Dodoma.