Uchaguzi 2020 Vurugu zatawala ofisi za CCM Dodoma baada ya walioshinda kura za maoni Udiwani kukatwa

MUNGU WA RAISI WETU naomba diwani wa kata ya IKUTI RUNGWE asipite.

Miaka 15 bila chochote kipya alicholeta kipya kimaendeleo kata ya ikuti inatosha.
Mkuu kwani Chale kapitishwa tena na ccm hapo ikuti?
 
Nimefurahi sana kwa hawa watu kutwangana
Kitu kinachonifanya nachukia polisi na CCM vyote japo Nina ndugu polisi na baadhi wapo huko CCM pia..ila naogopa Hukumu ya Mungu kwa kufurahia,kuchekelea,kuunga mkono Udharimu..Mungu nilinde kwenye imani hii kamwe nisibadilike!
 
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania

WanaCCM waandamana kupinga maamuzi



Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.

Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.

Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .

Chanzo: Mwananchi digital

Habari za ziada juu ya mtafaruku wa Dodoma kwa kina hapa chini kwa hisani kubwa : source: A.DIGITAL TZ youtube
MGOMBEA ALIA NA CHAMA BAADA YA KUSHINDA NA KUKATWA
Mshindi wa pili katika kura za wajumbe abaki na mshangao taratibu za maamuzi kupingana wakati aliletewa taarifa za kuteuliwa rasmi kuwakilisha CCM. Kuna makundi ndani ya CCM ..




18 Julai 2020
Dodoma
CCM WAGOMBANA,POLISI WAINGILIA KATI
Wanachama Dodoma wilaya kata ya Ipagala, Nzuguni, Kizota watilia shaka maelezo kuwa hiyo ni taarifa toka juu kuwa washindi wa kura za juu ndiyo wepewe uteuzi kuwakilisha CCM inapingana na maamuzi ya vikao vya Halmashauri ya wilaya ya Dodoma. Wagoma kuondoka mpaka wapate barua zao za kwenda kwa Tume ya Uchaguzi msimamizi wa uchaguzi wa udiwani

WanaCCM washutumu viongozi wenye mishahara makao makuu kwa maamuzi yenye utata wakati wao viongozi wa mitaani wenye kujitolea ndiyo wanajua ukweli wa watia nia wagombea kama wana maadili au la kuliko viongozi wa CCM Mkoa au Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama Makao Makuu CCM Dodoma.

Vurugu CUF ya Lipumba zimehamia CCM mpya.
 
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania

WanaCCM waandamana kupinga maamuzi



Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.

Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.

Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .

Chanzo: Mwananchi digital

Habari za ziada juu ya mtafaruku wa Dodoma kwa kina hapa chini kwa hisani kubwa : source: A.DIGITAL TZ youtube
MGOMBEA ALIA NA CHAMA BAADA YA KUSHINDA NA KUKATWA
Mshindi wa pili katika kura za wajumbe abaki na mshangao taratibu za maamuzi kupingana wakati aliletewa taarifa za kuteuliwa rasmi kuwakilisha CCM. Kuna makundi ndani ya CCM ..




18 Julai 2020
Dodoma
CCM WAGOMBANA,POLISI WAINGILIA KATI
Wanachama Dodoma wilaya kata ya Ipagala, Nzuguni, Kizota watilia shaka maelezo kuwa hiyo ni taarifa toka juu kuwa washindi wa kura za juu ndiyo wepewe uteuzi kuwakilisha CCM inapingana na maamuzi ya vikao vya Halmashauri ya wilaya ya Dodoma. Wagoma kuondoka mpaka wapate barua zao za kwenda kwa Tume ya Uchaguzi msimamizi wa uchaguzi wa udiwani

WanaCCM washutumu viongozi wenye mishahara makao makuu kwa maamuzi yenye utata wakati wao viongozi wa mitaani wenye kujitolea ndiyo wanajua ukweli wa watia nia wagombea kama wana maadili au la kuliko viongozi wa CCM Mkoa au Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama Makao Makuu CCM Dodoma.

IMEISHA HIYO.
 
Mkuu kwani Chale kapitishwa tena na ccm hapo ikuti?


Bado hatujapata majibu wenda leo tukapata maana amejitapa lazima apite ahudumu miaka 20.


Sijui hata Ccm wanampitisha kwa manufaa yepi maana hata mpango kazi hajui yeye ni tuamri twa kipuuzi.

Mji wa ikuti unakuwa lakini unakuwa kihorela. Soko kuu halieleweki halina choo kataa haina sehemu maalumu y kuzikia maiti.

Kata haina stand ya magari wala ya maegesho ya msgari yanayobeba mazao.

YAANI UONGOZI UNAONA IKUTI BADO SANA KUMBE NDO KUMEKUCHA ILA BONGO ZAO ZIMELALA.
 
This is just the beginning


An iceberg in the ocean floats with one-seventh of its volume above the surface. A. What is the specific gravity of the iceberg relative to ocean water? (?ocean water = 64.0 lb/ft3) B. What portion of its volume (in%) would be above the surface if.
 
Ndiyo ujue kuwa polis wanapo wafanyiaga roho mbaya wapinzani hawafanyi kwa bahati mbaya
Hilo linafahamika kuwa siyo bahati mbaya na pia tunafahamu kuwa wanapewa maagizo toka upstairs,kinachosikitisha ni jinsi Katiba na Sheria zinavyovunjwa na wasimamizi wake ilhali hakuna anayewajibishwa.
Tuiondoe CCM madarakani ili nchi hii ipate Uhuru wake na wote tuufaidi.
 
M
18 Aug 2020
Dodoma, Tanzania

WanaCCM waandamana kupinga maamuzi



Vurugu zinaendelea leo 18 agosti 2020 katika ofisi za CCM Wilaya ya Dodoma mjini baada ya kupokea majina ya wagombea udiwani ambao wamekatwa licha ya kuongoza.

Jana halmashauri ya CCM mkoa wa Dodoma walirudisha majina ya madiwani waliogombea kupitia chama hicho ambapo kata 7 Kati ya 41 za jiji la Dodoma walioongoza walikatwa na kurudishwa wengine ndipo wakaandamana ofisi za wilaya.

Mmoja wa diwani aliyeshinda CCM lakini jina lake lililokatwa amewaomba wanaCCM wa kata ya Changombe kuwa watulivu wasifanye maandamano wasubiri maamuzi ya Halmshauri ya wilaya CCM watakapotafuta ufumbuzi wa sintofahamu hiyo ndani ya CCM .

Chanzo: Mwananchi digital

Habari za ziada juu ya mtafaruku wa Dodoma kwa kina hapa chini kwa hisani kubwa : source: A.DIGITAL TZ youtube
MGOMBEA ALIA NA CHAMA BAADA YA KUSHINDA NA KUKATWA
Mshindi wa pili katika kura za wajumbe abaki na mshangao taratibu za maamuzi kupingana wakati aliletewa taarifa za kuteuliwa rasmi kuwakilisha CCM. Kuna makundi ndani ya CCM ..




18 Julai 2020
Dodoma
CCM WAGOMBANA,POLISI WAINGILIA KATI
Wanachama Dodoma wilaya kata ya Ipagala, Nzuguni, Kizota watilia shaka maelezo kuwa hiyo ni taarifa toka juu kuwa washindi wa kura za juu ndiyo wepewe uteuzi kuwakilisha CCM inapingana na maamuzi ya vikao vya Halmashauri ya wilaya ya Dodoma. Wagoma kuondoka mpaka wapate barua zao za kwenda kwa Tume ya Uchaguzi msimamizi wa uchaguzi wa udiwani

WanaCCM washutumu viongozi wenye mishahara makao makuu kwa maamuzi yenye utata wakati wao viongozi wa mitaani wenye kujitolea ndiyo wanajua ukweli wa watia nia wagombea kama wana maadili au la kuliko viongozi wa CCM Mkoa au Ofisi ya Katibu Mkuu wa Chama Makao Makuu CCM Dodoma.

Mwekiti aliyepita bila kupingwa ndio chanzo cha matatizo ccm
 
Back
Top Bottom