masopakyindi
Platinum Member
- Jul 5, 2011
- 17,882
- 13,170
MODS hii tetesi mmeiondoa kwa faida ya nani?
Inabidi waTanganyika waijue hii tetesi, sisi tuna ndugu zetu kule Zenj na hili wanalifahamu!!
Kuna tetesi ya muda mrefu sasa Visiwani kuwa pesa ya hao wana Uamsho inatoka Uarabuni, hasa nchi za Oman na Muscat.Siyo siri mapesa hayo yanachangwa misikitini na kupelekwa Visiwani unofficially.
Vinara wa Uamsho huo ni vizazi vya wale waarabu waliokimbia mapinduzi ya 1964.
Can we dare talk openly!!!!!
Inabidi waTanganyika waijue hii tetesi, sisi tuna ndugu zetu kule Zenj na hili wanalifahamu!!
Kuna tetesi ya muda mrefu sasa Visiwani kuwa pesa ya hao wana Uamsho inatoka Uarabuni, hasa nchi za Oman na Muscat.Siyo siri mapesa hayo yanachangwa misikitini na kupelekwa Visiwani unofficially.
Vinara wa Uamsho huo ni vizazi vya wale waarabu waliokimbia mapinduzi ya 1964.
Can we dare talk openly!!!!!