Jagermaster
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 654
- 316
Ni vigumu sana kuamini maneno haya ikiwa kwa masikio yetu tunasikia kila siku mahubili ya UAMSHO yakiitaja Zanzibar kuwa ni nchi ya waislam. Kwa maana nyingine hata punje ndogo ya wakiristo wanaishi Zanzibar si halali kuwepo katika visiwa hivyo, kwa kuwa wao tu wanaamini katika dini tofauti.