picha za kanisa la kariakoo znz lilivyochomwa. Hawa jamaa nia yao siyo siasa tu, kuna chuki na udini nyuma yake.
Hawawezi kukaa bila migogoro hawa, hata wakiacha muungano watazua jingine tu
picha za kanisa la kariakoo znz lilivyochomwa. Hawa jamaa nia yao siyo siasa tu, kuna chuki na udini nyuma yake.
Hawawezi kukaa bila migogoro hawa, hata wakiacha muungano watazua jingine tu
Hofu sio Kanisa, ni upotofu !Mara Mungu alikuwa mtu, mara alipigwa, mara kafa, mara kafufuka, mara ana baba'ke, mara ana mama'ke ! Sasa huyo mungu anatofauti gani na Mwingira au Kakobe ?
Kwa hiyo hicho mnachokidai kimenyimwa na Kanisa mpk mlichome moto?
Hii ndio busara yenu mliorithi kwa waarabu. Utaitakaje haki usiyoweza kuwapa wengine? Hili linadhihirisha jinsi mlivyo wa hatari kama mkiachwa muendelee na huu ujinga wenu
Muungano huu usio na tija kwa pande zote ndio utakuwa chanzo cha machafuko Tanzania.
Uvunjwe na Zanzibar iwe huru kujifanyia maamuzi yake. Una faida gani. Wabara hawautaki, Wavisiwani hawautaki. Huu Muungano unatakiwa na kanisa tu,
Muungano huu usio na tija kwa pande zote ndio utakuwa chanzo cha machafuko Tanzania.
Uvunjwe na Zanzibar iwe huru kujifanyia maamuzi yake. Una faida gani. Wabara hawautaki, Wavisiwani hawautaki. Huu Muungano unatakiwa na kanisa tu,
Hivi hujui kuwa JK akiuvunja muungano na yeye anapoteza uhalali wa kuwa rais kwa katiba ya sasa? Tunahitaji kubadili katiba ambayo itatambua Tanganyika na Zanzibar huru na rais wa Tanganyika na rais wa Zanzibar wataratibu mapendekezo ya kuunda upya muungano.Mimi si Mzanzibari ni Mtanganyika tena ni Mtanganyika haswa, nilizaliwa wakati nchii hii haijabadilishwa jina na Nyerere na kupewa jina alilotoa Mhindi wa Tanga.
Moja katika makosa makubwa sana aliyoyafanya Nyerere ni huu Muungano, wakati alikuwa anashadidia Biafra itengane na Nigeria kwa masuala ya kidini alikuwa analazimisha Zanzibar iungane na Tanganyika, haya ndio matokeo ya maamuzi na utawala mbovu wa Nyerere.
Maslahi ya nchi hii hayapatikani na huu muungano usio na maridhiano. Mbona tuliweza kuivunja East African Community kwa kuwa haikuwa na maslahi kwetu kwa wakati huo? na sasa tunaingia katika kuziunganisha Afrika Mashariki kwa mazungumzo na njia zinazokubalika na wote.
Ili kuudumisha huu Muungano na ushirikiano wa ukweli, ni muhimu uvunjwe na zifanyike njia zinazokubalika na wote kuunda upya kama ilivyo kwa Afrika Mashariki.
Kikwete ukitaka muungano uwe imara kuuvunja ndio njia sahihi na kuanza mazungumzo upya ni vipi uwe muungano wa uhakika.
Hata madaktari wanapoirekebisha mifupa iliyoungika vibaya, huivunja kwanza na kuitengeneza vizuri. Kuuvunja Muungano ndio tiba ya huu Muungano si vingine.