chuo cha vunjwa vioo vyote na wanachuo wamepigwa vibaya mno wengine walazwa na wengine hawaeleweki walipo kisa ni mwanafunzi wa kantalamba kupigwa na kunyang'anywa simu wakiwa na demu wake kibindi cha disco hadi sasa hakieleweki. maana ni shule nzima ilivamia chuo.
Kweli Sumbawanga mnaishi maisha ya long time kishenzi, fujo hizo zilifanywa Tambaza long time kishenzi, pia Iyunga sekondari, baada ya zama zile kuisha, huko kwenu ndio zimaanza