Vurugu za Xenophobia Afrika ya Kusini: Upande wa Pili wa Sarafu

Nani sasa mwenye jukumu la kupunguza uhamiaji?
Nadhani nchi wanakotoka wahamiaji zina jukumu kubwa la kuboresha mifumo ya kiuchumi na kijamii ili vijana wavutiwe kutumia nguvu kazi zaso kwenye nchi zao. Ethiopia ina Rais mpya kuanzia mwaka jana Abiy Ahmed, amekuwa anafanya reforms nyingi toka amechukua madaraka. Ingawa si rahisi kuona matokeo ya reforms zake kwa muda mfupi lakini ndani ya miaka 3 tunaweza kuona wimbi la vijana wa Ethiopia likipungua kwenda South Africa.

Zimbabwe bado ina safari ndefu kwa vile Mnangagwa alikuwepo miaka yote ambayo Robert Mugabe alikuwa ana haribu uchumi. Pengine wanahitaji mabadiliko zaidi ili waboreshe hali za uchumi za wananchi wao.
 
Rais wetu naye anapaswa sana kujifunza kwa hili la Afrika kusini kwamba, mabarabara, maflyover, mandege nk sio sehemu pekee ya kupeleka hela kwani wananchi watakapokuwa na maisha magumu hayo maendeleo pekee hayatakuwa suluhu, inapaswa kubalance maisha ya watu na miradi ya maendeleo hasa kutoa ajira na mishahara kuboreshwa.
Hadi huku unapiga propaganda za kumpinga jpm?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu mtu anaitwa MISULI nadhani ni Bashite mwenyewe. Maana hatumii akili kwa vile ni zero brain
Wewe mbumbumbu soma kidogo hapa uone kichwa chako kilivyo cheupe. Acha kunifananisha na watu wa ajabu.

MTAZAMO WANGU KUHUSU WASOUTH AFRICA NA HAYA YANAYOTOKEA


Dunia ya saizi ni ya kutafuta Maisha popote pale ambapo utaona kuna FURSA na unaweza itumia katika kujiongezea kipato.Ukisema Nchi imejaa wageni,Hao wageni wamejaa vipi? hao wageni wanaishi kihalali au Haramu?

Tukisema Nchi imejaa wageni HARAMU(Kwa maana ya wahamiaji haramu)Serikali ilikua wapi hadi inafika muda wahamiaji haramu wanajaa na kuwa tishio kwa wazawa?Sifikiri kama kuna nchi inaweza kuwaacha wahamiaji haramu kiasi cha kuwa tishio kwa wazawa,labda nchi hiyo serikali yake iwe DHAIFU MNO. Na kwa mazingira ya South Africa naweza sema chanzo cha wahamiaji haramu kujaa huko ni NATURE YA WANAOENDESHA UCHUMI. UCHUMI wa South Africa unaendeshwa na Makaburu(Whiteman)Hawa watu wanapenda Cheap labour,nimepitia Baadhi ya mikataba yao ya ajira sio rahisi kwa mzungu kutimiza Hapo ndio Mhamiaji haramu anapata Chance coz ye Hana cha kupoteza na tayari yuko kupambana na hali yake.Kwa saa anatakiwa Mfanyakazi alipwe Rand 10 na kwa week anatakiwa afanye kazi masaa yasiyozidi 45.Na kuna vitu vingi sana Mfanya kazi anatakiwa afanyiwe.Ukimchukua Mhamiaji haramu utamfanyisha kazi utakavyo na kumlipa utakavyo. So Mwajiri hawezi kuangaika na wasouth wakati cheap labour wapo .Unamkuta msouth Africa naye anataka kuishi kama Mzungu, Alipwe vizuri na mapochopocho kibao kitu ambacho hakiwezekani.

WAsouth Africa kutaka kuwa so special tofauti na WAAFRICA wenzie huko ndio kunakowapa tabu.Kama wangejichukulia sawa na WAAFRICA wengine maslai ambayo WAAFRICA wenzao wanaona sawa wangekua wanapata wao na kusingekua na wahamiaji haramu huko coz kazi zote zingekua zinafanywa na wao. Hii ni Dunia ya ushindani,Kushindwa kupambana na Mazingira halisi ni TATIZO. Vilevile tena tunaona ELIMU nayo huko ni Shida sana.83.7% ya wasouth hawana Ujuzi ktk kazi mbalimbali. Unataka maslai makubwa na ELIMU ndogo inawezekana?Ni kweli mwajiri aangaike na Mwenye elimu ndogo na maslai makubwa wakati yupo cheap labour na anapiga kazi zaidi yake?So utaona swala la Uhamiaji Haramu tatizo ni wao wenyewe.

Kuna wahamiaji huko wanaishi kihalali, kwanini wawachukie?Wasouth wangekua SMART kiasi cha kutumia FURSA walizonazo mgeni angeenda huko South kufanya nini?Tunaona wanigeria wamefungua maduka mengi huko,maana yake kulikua na FURSA hiyo lakini wao hawakuitumia. Kwanini uchukie?Ni sawa na Malawi, watanzania waliona kuna FURSA ya kuuza vitenge lkn wamalawi hawakuitumia, Leo wamefungua maduka mmalawi anakuja juu. Hizi ni AKILI?

Wasouth hawako sehemu nyingi Africa na sababu kubwa HAWAWEZI KUTUMIA FURSA MBALIMBALI. Kama Kwao tu wameshindwa kufanya biashara hadi wageni wanajaa na kufungua Biashara, Leo uwakute Ghana au Tanzania wamejaa inawezekanaje?Utaona hata wasouth walio nje ya South na wanafanya Biashara au uwekezaji ni wenye asili ya kikaburu.Kumkuta msouth mjasiliamali nje ya south ni nadra sana tofauti na nchi Zingine. Ukiona Eneo unaloishi kaja mgeni kafungua duka na katoka wakati nawe ulikua na uwezo wa kufanya hivo na Mwisho unaanza kumchukia jua UNA MATATIZO YA AKILI.

Mwisho niseme tu Kabla hawajaanza kumtafuta MCHAWI nani waanzie ndani yao wenyewe. Wajiulize kwanini wenzetu wanakuja wanafanya kazi na wanatoboa na sisi hatutoboi?Kwanini Mnigeria karuka Nchi zaidi ya Kumi kaja huku na katoka na sisi tunabaki maskini?MATATIZO YA WASOUTH AFRICA YANASABABISHWA NA WASOUTH AFRICA WENYEWE.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mbumbumbu soma kidogo hapa uone kichwa chako kilivyo cheupe. Acha kunifananisha na watu wa ajabu.

MTAZAMO WANGU KUHUSU WASOUTH AFRICA NA HAYA YANAYOTOKEA


Dunia ya saizi ni ya kutafuta Maisha popote pale ambapo utaona kuna FURSA na unaweza itumia katika kujiongezea kipato.Ukisema Nchi imejaa wageni,Hao wageni wamejaa vipi? hao wageni wanaishi kihalali au Haramu?

Tukisema Nchi imejaa wageni HARAMU(Kwa maana ya wahamiaji haramu)Serikali ilikua wapi hadi inafika muda wahamiaji haramu wanajaa na kuwa tishio kwa wazawa?Sifikiri kama kuna nchi inaweza kuwaacha wahamiaji haramu kiasi cha kuwa tishio kwa wazawa,labda nchi hiyo serikali yake iwe DHAIFU MNO. Na kwa mazingira ya South Africa naweza sema chanzo cha wahamiaji haramu kujaa huko ni NATURE YA WANAOENDESHA UCHUMI. UCHUMI wa South Africa unaendeshwa na Makaburu(Whiteman)Hawa watu wanapenda Cheap labour,nimepitia Baadhi ya mikataba yao ya ajira sio rahisi kwa mzungu kutimiza Hapo ndio Mhamiaji haramu anapata Chance coz ye Hana cha kupoteza na tayari yuko kupambana na hali yake.Kwa saa anatakiwa Mfanyakazi alipwe Rand 10 na kwa week anatakiwa afanye kazi masaa yasiyozidi 45.Na kuna vitu vingi sana Mfanya kazi anatakiwa afanyiwe.Ukimchukua Mhamiaji haramu utamfanyisha kazi utakavyo na kumlipa utakavyo. So Mwajiri hawezi kuangaika na wasouth wakati cheap labour wapo .Unamkuta msouth Africa naye anataka kuishi kama Mzungu, Alipwe vizuri na mapochopocho kibao kitu ambacho hakiwezekani.

WAsouth Africa kutaka kuwa so special tofauti na WAAFRICA wenzie huko ndio kunakowapa tabu.Kama wangejichukulia sawa na WAAFRICA wengine maslai ambayo WAAFRICA wenzao wanaona sawa wangekua wanapata wao na kusingekua na wahamiaji haramu huko coz kazi zote zingekua zinafanywa na wao. Hii ni Dunia ya ushindani,Kushindwa kupambana na Mazingira halisi ni TATIZO. Vilevile tena tunaona ELIMU nayo huko ni Shida sana.83.7% ya wasouth hawana Ujuzi ktk kazi mbalimbali. Unataka maslai makubwa na ELIMU ndogo inawezekana?Ni kweli mwajiri aangaike na Mwenye elimu ndogo na maslai makubwa wakati yupo cheap labour na anapiga kazi zaidi yake?So utaona swala la Uhamiaji Haramu tatizo ni wao wenyewe.

Kuna wahamiaji huko wanaishi kihalali, kwanini wawachukie?Wasouth wangekua SMART kiasi cha kutumia FURSA walizonazo mgeni angeenda huko South kufanya nini?Tunaona wanigeria wamefungua maduka mengi huko,maana yake kulikua na FURSA hiyo lakini wao hawakuitumia. Kwanini uchukie?Ni sawa na Malawi, watanzania waliona kuna FURSA ya kuuza vitenge lkn wamalawi hawakuitumia, Leo wamefungua maduka mmalawi anakuja juu. Hizi ni AKILI?

Wasouth hawako sehemu nyingi Africa na sababu kubwa HAWAWEZI KUTUMIA FURSA MBALIMBALI. Kama Kwao tu wameshindwa kufanya biashara hadi wageni wanajaa na kufungua Biashara, Leo uwakute Ghana au Tanzania wamejaa inawezekanaje?Utaona hata wasouth walio nje ya South na wanafanya Biashara au uwekezaji ni wenye asili ya kikaburu.Kumkuta msouth mjasiliamali nje ya south ni nadra sana tofauti na nchi Zingine. Ukiona Eneo unaloishi kaja mgeni kafungua duka na katoka wakati nawe ulikua na uwezo wa kufanya hivo na Mwisho unaanza kumchukia jua UNA MATATIZO YA AKILI.

Mwisho niseme tu Kabla hawajaanza kumtafuta MCHAWI nani waanzie ndani yao wenyewe. Wajiulize kwanini wenzetu wanakuja wanafanya kazi na wanatoboa na sisi hatutoboi?Kwanini Mnigeria karuka Nchi zaidi ya Kumi kaja huku na katoka na sisi tunabaki maskini?MATATIZO YA WASOUTH AFRICA YANASABABISHWA NA WASOUTH AFRICA WENYEWE.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante kwa mchango huu, nauafiki kabisa
 
Nadhani hapa tuzungumzie root cause ya problem, maana hakuna justification ya wanachokifanya..tukipata cause ya problem, tunaondoa problem

Haya mashambulizi yamekuwa yakitokea sio mara ya kwanza sasa, na haitakuwq ya mwisho

Tatizo kubwa ni sera mbovu ya nchi kudhibiti wahamiaji, wengine haramu wengine sio haramu

Nchi yoyote inatakiwa kudhibiti uhamiaji usiathiri maslahi ya wazawa wake kwa kiasi kikubwa

Wafanyakazi wahamiaji wanatakiwa wawe wanaofanya zile shughuli tu ambazo wazawa hawawezi kuzifanya au biashara ambazo wazawa wengi hawawezi kuwekeza, hata Tanzania tuna sera kama hiyo

Sasa South Afrika ina influx kubwa ya wageni ambao wengi wanafanya shughuli ndogo ndogo na ajira ambazo wananchi wake wengi wanaweza kuzifanya, huku wenyeji wengi wakiwa hawana kazi, hii inaleta frustration kwa wenyeji

Sasa hao wenyeji wakianza kushambulia maana ni watu wenye hasira hawachagui wewe ni haramu ama shughuli yako ni ipi, maana ni mob tu ya watu hiyo, kumbuka hapa tunazungumzia cause sio justification.
Hoja yako hasa ipi?! Wahamiaji haramu au uporwaji wa shughuli za wazawa?!

Guys, tusidanganyane hapa!! Mhamiaji haramu anayetoka India au China ni TOFAUTI SANA na mhamiaji haramu anayetoka Zimbabwe, Tanzania au Nigeria!!

Huyu wa Zimbabwe anaingia SA akiwa hana chochote! Baada ya miaka 2 au 3 akiwa na mafanikio sio kwamba kapora opportunity ya Wazulu bali kafika hapo kwa sababu ame-hustle!!

Namkumbuka dogo mmoja hivi!

Huyu dogo hata passport ya kuendea SA nilimfanyia mimi mpango, na alifika kule kwa kuunga unga!! Na majority wanafika kule kwa kuunga unga!!

Huyu dogo siku hizi mambo yake mazuri ile mbaya! Huwezi kusema mambo yake mazuri kwa sababu amepora fursa za wa-SA kwa sababu huyu hakumpora yeyote bali alianzia from Ground Zero!!!

The question is: Huyu anayeamini ameporwa fursa yake yeye alikuwa wapi hadi mgeni aje akiwa hana hata senti 5 lakini 5 years later anakuwa amemuacha kimaisha?!

Huyu Mbongo aliyefika pale akaanza kuuza pipi ilikuwaje amuache m-SA kimaisha ambae yupo hapo hapo labda miaka zaidi ya 15 kabla ya ujio Mbongo?!

Short and clear hawa jamaa ni LOSERS wanaotafuta excuse ya u-Loser wao!!!

Hawa Losers wana chance kubwa sana ya kutoka kuliko hao Waafrika Wahamiaji Haramu!!! Kwanini hawatoki na badala yake wanaishia kuwaandama wanaotoka ambao ni wageni?!
 
Hapa ndio naanza kuamini maneno aliyosema.kaburu Eugine terreblance.....wapeni nchi itawashinda watairudisha tena kwetu
 
Hoja yako hasa ipi?! Wahamiaji haramu au uporwaji wa shughuli za wazawa?!

Guys, tusidanganyane hapa!! Mhamiaji haramu anayetoka India au China ni TOFAUTI SANA na mhamiaji haramu anayetoka Zimbabwe, Tanzania au Nigeria!!

Huyu wa Zimbabwe anaingia SA akiwa hana chochote! Baada ya miaka 2 au 3 akiwa na mafanikio sio kwamba kapora opportunity ya Wazulu bali kafika hapo kwa sababu ame-hustle!!

Namkumbuka dogo mmoja hivi!

Huyu dogo hata passport ya kuendea SA nilimfanyia mimi mpango, na alifika kule kwa kuunga unga!! Na majority wanafika kule kwa kuunga unga!!

Huyu dogo siku hizi mambo yake mazuri ile mbaya! Huwezi kusema mambo yake mazuri kwa sababu amepora fursa za wa-SA kwa sababu huyu hakumpora yeyote bali alianzia from Ground Zero!!!

The question is: Huyu anayeamini ameporwa fursa yake yeye alikuwa wapi hadi mgeni aje akiwa hana hata senti 5 lakini 5 years later anakuwa amemuacha kimaisha?!

Huyu Mbongo aliyefika pale akaanza kuuza pipi ilikuwaje amuache m-SA kimaisha ambae yupo hapo hapo labda miaka zaidi ya 15 kabla ya ujio Mbongo?!

Short and clear hawa jamaa ni LOSERS wanaotafuta excuse ya u-Loser wao!!!

Hawa Losers wana chance kubwa sana ya kutoka kuliko hao Waafrika Wahamiaji Haramu!!! Kwanini hawatoki na badala yake wanaishia kuwaandama wanaotoka ambao ni wageni?!
mzee sasa huyo dogo mmoja unaemsema alifanikiwa ndio inamaanisha kuwa kila anayeenda South Afrika basi anabadilika kutoka kulala mtandaoni hadi kuwa muwekezaji? wengi wanaoenda South Afrika na wanaenda ku compete kwenye ajira ndogo na wenyeji na pia kufanya boashara ndogo ndogo ambazo zinashindana na biashara na wenyeji

Hivi kwani ni nchi ngapi ambazo zimeweka sheria ya kulinda wazawa dhidi ya wahamiaji kuchukua fursa zao? Tanzania hatuna sheria kama hizo kuwa kampuni haiwezi kuajiri mtu wa nje kwenye kazi anazoweza kufanya mtazania? au mgeni kufanya biashara ambazo zinaweza kufanywa na wenyeji? au mgeni kumiliki ardhi?

Kama unasema mwenyeji hatakiwi kulalamika kwa sababu anakuwa na chance ya kutoka kuliko mgeni mzamiaji basi Tanzania tusingekuwa na sheria kama hizi
 
chige acha kutetea ujinga, africa kusini tunakujua vizuri sana, asilimia kubwa ya wageni wanajihusisha na uhalifu na biashara ya madawa ya kulevya, kwa taarifa yako wanigeria na watanzania ndio wauzaji wakubwa wa madawa ya kulevya mitaani , hizo biashara nyingine za maduka ni za kuzuga tu biashara yao kubwa ni unga, hata hizi vurugu za sasa hivi zimesababishwa na mtanzania muuza unga aliemuua dereva teksi, watanzania ndio wote wanauza unga,
 

Attachments

  • IMG-20190905-WA0082.jpg
    IMG-20190905-WA0082.jpg
    122.4 KB · Views: 13
Wenyeji weusi wenyewe wa South Africa wanabaguana baina ya waNguni waSotho na waTswana.

Itakuwa wahamiaji? Fikiri.

Ubaguzi ni mfumo uliokuwepo huko kwa mamia ya miaka kabla hata ya Wazungu kufika.

Wazungu walitumia fursa hiyo na kupigilia msumari kabisa kwa kuweka sheria za kubaguana. Sina uhakika kama sheria yao ya kutooana makabila tofauti kama imeondolewa, hata ikiondolewa sina uhakika kama waNguni watakubali kuoana na wa Sotho au waTswana.
 
Asante mkuu kwa taarifa iliyojitoshereza. Kwa namna ulivyoeleza kumbe wenyeji wana haki kabisa kuwashambulia wageni. Kwa sababu zifuatazo
1. Wageni wanayashambulia masrahi ya wenyeji kwa namna ya kushusha kiwango halisi cha malipo yao. Kwa namna hiyo wanaharibu mfumo halisi wa masrahi ya wenyeji. (Hata mimi mwenyewe siwezi kukubariana nalo)(hata wewe mwenyewe utaenipinga huwezi kukubariana mtu tu from no where anakuja kushambulia masrahi yako
2. Ni kweli nchi zetu zijitahidi nazo kuwawezesha vijana ili wasikimbilie huko
Just imagine we ni mwalimu, bongo unakula mshahara wa laki 4. Unaenda South unakuta jamaa wanakataa mshahara wa mil.4 wanataka walipwe 7m hivyo wanagoma.

Ukifika wewe unaona kuna maslahi makubwa sana kwako, je utakataa offer hio kwa mkaburu?
 
Hoja yako hasa ipi?! Wahamiaji haramu au uporwaji wa shughuli za wazawa?!

Guys, tusidanganyane hapa!! Mhamiaji haramu anayetoka India au China ni TOFAUTI SANA na mhamiaji haramu anayetoka Zimbabwe, Tanzania au Nigeria!!

Huyu wa Zimbabwe anaingia SA akiwa hana chochote! Baada ya miaka 2 au 3 akiwa na mafanikio sio kwamba kapora opportunity ya Wazulu bali kafika hapo kwa sababu ame-hustle!!

Namkumbuka dogo mmoja hivi!

Huyu dogo hata passport ya kuendea SA nilimfanyia mimi mpango, na alifika kule kwa kuunga unga!! Na majority wanafika kule kwa kuunga unga!!

Huyu dogo siku hizi mambo yake mazuri ile mbaya! Huwezi kusema mambo yake mazuri kwa sababu amepora fursa za wa-SA kwa sababu huyu hakumpora yeyote bali alianzia from Ground Zero!!!

The question is: Huyu anayeamini ameporwa fursa yake yeye alikuwa wapi hadi mgeni aje akiwa hana hata senti 5 lakini 5 years later anakuwa amemuacha kimaisha?!

Huyu Mbongo aliyefika pale akaanza kuuza pipi ilikuwaje amuache m-SA kimaisha ambae yupo hapo hapo labda miaka zaidi ya 15 kabla ya ujio Mbongo?!

Short and clear hawa jamaa ni LOSERS wanaotafuta excuse ya u-Loser wao!!!

Hawa Losers wana chance kubwa sana ya kutoka kuliko hao Waafrika Wahamiaji Haramu!!! Kwanini hawatoki na badala yake wanaishia kuwaandama wanaotoka ambao ni wageni?!
Loud & Clear....Jamaa ni losers!

Nature ya Loser ni kumlaumu mtu mwengine kwa kushindwa kwake kimaisha. Lazy ass motherfuckerz!
 
Wenyeji weusi wenyewe wa South Africa wanabaguana baina ya waNguni waSotho na waTswana.

Itakuwa wahamiaji? Fikiri.

Ubaguzi ni mfumo uliokuwepo huko kwa mamia ya miaka kabla hata ya Wazungu kufika.

Wazungu walitumia fursa hiyo na kupigilia msumari kabisa kwa kuweka sheria za kubaguana. Sina uhakika kama sheria yao ya kutooana makabila tofauti kama imeondolewa, hata ikiondolewa sina uhakika kama waNguni watakubali kuoana na wa Sotho au waTswana.
Hata mfumo wa elimu waliouanzisha mwaka 1972 ulioitwa Bantu Education ambayo msingi wake ni ubaguzi wa kimakabila. Baada ya ujio wa Serikali ya wengi isiyo ya kibaguzi, hakuna kilichofanyika kubadili mfumo huo na akina Thabo Mbeki, Jacob Zuma na huyu wa sasa Ramaphosa.
 
Haiwezi justify mauaji wanayofanya, ni upuuzi kiwango cha juu sana kuuwa weusi wenzao eti kwa kisingizio cha makovu ya ubaguzi waliofanyiwa, nachelea kusema walistahili ule ubaguzi kama mindset zao ziko hivyo.
Zimbabwe umaskini wa RAIA kwakuwa wazungu walinyang'anywa mashamba, na hao makaburu waliachiwa mashamba mbona wasauzi still maskini kiasi cha kuwa na wivu dhidi ya weusi wenzao na mpaka inawafanyia ukatili na kuwaua?
Afrika kuna shida zaidi ya mashamba tunayodhani tumewaachia wazungu au tumewapora japo ardhi ni yetu..kuna muafrika ana miliki ardhi kubwa kama wazungu wafanyavyo Africa?
Tanzania nako mpaka tunakamatiwa ndege si ni ardhi chanzo?
Alieturoga Afrika hakika anatushangaa tena maana hakutegemea kama tungerogeka kiasi hiki...
Wapuuzi wa south afrika watafutiwe dawa ya kudumu maana sasa hakuna namna.
True.
Wa-south Africa kwa matendo haya wamepitiliza kwa kweli hakuna uhalali wa kuuwa binadamu mwenzako kikatili kiasi hiki na bado mtu akatoa sababu za uhalali wa kuuwa mwenzake kuwa ni mlowezi aludi kwao tu!

Hofu ni kubwa na shaka ni hakika kuwa spirit hii itasambaa afrika nzima dhidi ya wasauz afrika waliopo katika nchi tofauti na kwao.. people watawawinda na kuwafanyia unyama..

Amini nakwambia makovu ya raia ni makubwa sana jamaa wanauwa kinyama sana
 
Back
Top Bottom