Kufuatia kutoweka kwa Sheikh Farid na wafuasi wake kuvamia na kuharibu Ofisi za CCM jana huko Zanzibar, usiku wa jana, wafuasi wa uamsho wamemuua kikatili PC Said alipokuwa akitoka kazini.
Source: TBC Asubuhi hii
My Take
Haya ndio matokeo ya kufumbia macho hiki kikundi cha Wanaharakati wa Kiislamu. Iliwahi kuhojiwa humu ndani, kwa nini Serikali inashindwa kufuta usajili wa Uamsho Zanzibar?
Je, kuvamiwa na kuharibiwa kwa Maskani za CCM, haonyeshi kuwa kikundi hicho ni cha Kisiasa kinachotumia dini?
Source: TBC Asubuhi hii
My Take
Haya ndio matokeo ya kufumbia macho hiki kikundi cha Wanaharakati wa Kiislamu. Iliwahi kuhojiwa humu ndani, kwa nini Serikali inashindwa kufuta usajili wa Uamsho Zanzibar?
Je, kuvamiwa na kuharibiwa kwa Maskani za CCM, haonyeshi kuwa kikundi hicho ni cha Kisiasa kinachotumia dini?