Lunyungu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 8,873
- 1,894
Nilikuwa sahihi kusema umesoma kichwa cha habari tu, na ukahitimisha kwa hisia. Lunyungu nakushauri uchukue tabia ya kiume ambayo haiongozwi na hisia. Isije ikawa unaozeefu unaoongelea ni wa hisia hisia. Sasa acha mawazo yako mgando ya hisia, soma habari yote kisha toa hoja zinazoambatana na matukio halisi acha hisia.
Watu wajuvu walio jibu hapa nimesoma mawazo wakiwa wamesoma ujumbe majibu yao hayana tofauti na yangu ambaye sikusoma . Again mkiwa mnatumwa kuja JF waambieni kwamba kule si mahali kusema hovyo . Yaani NEC nzima ya CCM akiwamo JK kumsikiliza kihiyo Guninita kwamba Sitta abwage kadi na afukuzwe kisa ulaji . Kaka si hapa .Sikuhitaji kupoteza muda na wale walio amua kua sacrifice muda wamesema kama mimi bado wataka nikasome utumbo ?