Vurugu za Kisiasa Tanzania, turudishe chama kimoja

Watanzania

JF-Expert Member
Jul 7, 2009
727
42
Vurugu za kisiasa zinazotokea Zanzibar kwa sasa na sehemu zingine wakati wa uchaguzi Tanzania bara zinatoa fundisho moja kubwa kuwa vyama vingi havijengi umoja wa kitaifa. Ingawa inaweza kuonekana kama wendawazimu lakini tukubali, tusikubali kuna umuhimu wa kurudisha mfumo wa chama kimoja ili kudumisha umoja wa Watanzania.

Kuna mlolongo wa matukio ya kutoweka kwa amani ambayo yametokea ndani ya vyama vingi. Matukio ya mauaji ya watu wasiopungua 27 huko Zanzibar wakati wa utawala wa Mkapa, uchomaji moto wa nyumba unaoendelea huko Zanzibar sambamba na uandikishaji wa wapiga kura ni mifano inayoonyesha kuwa mfumo wa vyama vingi hautufai Tanzania. Si hayo tu, kule Tarime wakati wa uchaguzi mdogo wa mbunge baada ya kifo cha Mh. Wangwe zilichochewa na kuwepo kwa mfumo wa chama kimoja. Si hayo tu, vurugu zilizotokea kule Kiteto pia wakati wa uchaguzi mdogo zinatufanya Watanzania tufikirie upya demokrasia ya vyama vingi ambayo tumenakili kutoka ulaya. Hata kura za maoni kuhusu kuanzisha vyama vingi zilionyesha asilimia 90% kutaka kuendelea na mfumo wa chama kimoja. Hili linaweza bishaniwa kuwa kura ya maoni haikuwa huru. Lakini haiondoi ukweli wa kutoweka kwa amani tunakoona sasa nchi kwetu.

Ingawa wengine wanaweza kusema kuwa mfumo wa vyama vingi unasaidia kumeza utengano wa aina nyingine kama ukabila, udini, ukanda n.k. lakini siasa za Tanzania zimesaidia sana kumomonyoa umoja wa Watanzania. Ukabila na udini unatumika kama mtaji wa kisiasa. Kwa maoni yangu mfumo wa chama kimoja utarejesha umoja unaotoweka kati yetu Watanzania.

Vinginevyo ili kokomesha vurugu za kisiasa yatupasa sasa kupanua wigo wa Mapambano nchini petu. Wana harakati, wafanyakazi wa sekta binafsi naya umma, wafanyabiashara na wakulima hatuna budi kuishinikiza serikali ipunguze mishahara na marupurupua ya wanasiasa ili Watanzania wasikimbilie kwenye siasa na hivyo kusababisha kutoweka amani katika nchi yetu. Kwa mfano kodi kwa wafanya biashara na wafanyakazi zinatakiwa ziwe za haki. Kama kipato katika sekta mbalimbali za maisha katika nchi yetu kitakuwa na usawa, vurugu za kisiasa hazitakuwepo kwa sababu kila mtu atachagua pa kufanya kazi na kipato hakita pishana. Madaktari watabaki mahospitalini, pia manesi na wafamasia, walimu wataendelea kufundisha shule za msingi, sekondari, vyuo vya kati na vyuo vikuu. Pia wakulima wataendelea na kilimo na hawatadanganyika kununuliwa Tshirt na kufia. Pia wafanya biashara watabaki kwenye biashara. Sheria inayosemwa na JK ya kutenganisha biashara na uongozi haitatatua vurugu za kisiasa mpaka sekta zote ziwe na uwiano sawa wa kipato cha fedha. Hiki ndicho kipaumbele kinachotakiwa kwenda sambamba na vita dhidi ya ufisadi, Watanzania tudai kwa nguvu nchini kote kupunguzwa kwa mishahara na marupurupu ya wanasiasa na kuongezwa katika sekta nyingine ili amani idumu Tanzania. Vinginevyo tukishindwa hili turudishe mfumo wa chama kimoja.
 
Siasa za vyama vingi ni lazima zizushe upinzani wakati wa uchaguzi. Hilo ni jambo la kawaida duniani kote.

Ni kwa sababu imedhihirika kwamba upinzani, hasa Bungeni, unaifanya serikali iwe makini na angalifu katika mipango na utekelezaji wake, katika kuhudumia wananchi, tumekuwa na utaratibu wa vyama vingi. Ndio sababu inasemekana "demokrasia na maendeleo ya kweli" vinaenda pamoja.

Kutaka kurudia utaratibu wa Chama Kimoja kwa sababu eti ya vurugu na mauaji ya Zanzibar ni hatua ya kurudi nyuma. Huko Zanzibar, hasa kisiwani Pemba, wana utamaduni wa uhasama baina ya makundi kutokana na historia yao. Hata tukirudia Chama kimoja, haya makundi yataendelea na chuki baina yao. Wakati wa chama kimoja nakumbuka uhasama ulilazimisha wengi wakakimbilia Uingereza na Uarabuni.

Kama kusingekuwa na Muungano na majeshi ya Polisi na JWTZ kulinda amani , hawa jamaa wangekuwa wamemalizana kwa kuchinjana. Kwa hiyo jawabu ni " imarisha Muungano".
 
Siasa za Chama kimoja zimepitwa na wakati ni bora tukarudisha machifu na masultani kuliko la Chama kimoja .

Kwa jinsi mafisadi walipofikia uwepo wa vyama vingi ni kitanzi ,ila ukisema turudishe chama kimoja naona watakununulia nyumba na kukuweka kama malkia.
 
Vurugu za kisiasa zinazotokea Zanzibar kwa sasa na sehemu zingine wakati wa uchaguzi Tanzania bara zinatoa fundisho moja kubwa kuwa vyama vingi havijengi umoja wa kitaifa. Ingawa inaweza kuonekana kama wendawazimu lakini tukubali, tusikubali kuna umuhimu wa kurudisha mfumo wa chama kimoja ili kudumisha umoja wa Watanzania.

Kuna mlolongo wa matukio ya kutoweka kwa amani ambayo yametokea ndani ya vyama vingi. Matukio ya mauaji ya watu wasiopungua 27 huko Zanzibar wakati wa utawala wa Mkapa, uchomaji moto wa nyumba unaoendelea huko Zanzibar sambamba na uandikishaji wa wapiga kura ni mifano inayoonyesha kuwa mfumo wa vyama vingi hautufai Tanzania. Si hayo tu, kule Tarime wakati wa uchaguzi mdogo wa mbunge baada ya kifo cha Mh. Wangwe zilichochewa na kuwepo kwa mfumo wa chama kimoja. Si hayo tu, vurugu zilizotokea kule Kiteto pia wakati wa uchaguzi mdogo zinatufanya Watanzania tufikirie upya demokrasia ya vyama vingi ambayo tumenakili kutoka ulaya. Hata kura za maoni kuhusu kuanzisha vyama vingi zilionyesha asilimia 90% kutaka kuendelea na mfumo wa chama kimoja. Hili linaweza bishaniwa kuwa kura ya maoni haikuwa huru. Lakini haiondoi ukweli wa kutoweka kwa amani tunakoona sasa nchi kwetu.

Ingawa wengine wanaweza kusema kuwa mfumo wa vyama vingi unasaidia kumeza utengano wa aina nyingine kama ukabila, udini, ukanda n.k. lakini siasa za Tanzania zimesaidia sana kumomonyoa umoja wa Watanzania. Ukabila na udini unatumika kama mtaji wa kisiasa. Kwa maoni yangu mfumo wa chama kimoja utarejesha umoja unaotoweka kati yetu Watanzania.

Vinginevyo ili kokomesha vurugu za kisiasa yatupasa sasa kupanua wigo wa Mapambano nchini petu. Wana harakati, wafanyakazi wa sekta binafsi naya umma, wafanyabiashara na wakulima hatuna budi kuishinikiza serikali ipunguze mishahara na marupurupua ya wanasiasa ili Watanzania wasikimbilie kwenye siasa na hivyo kusababisha kutoweka amani katika nchi yetu. Kwa mfano kodi kwa wafanya biashara na wafanyakazi zinatakiwa ziwe za haki. Kama kipato katika sekta mbalimbali za maisha katika nchi yetu kitakuwa na usawa, vurugu za kisiasa hazitakuwepo kwa sababu kila mtu atachagua pa kufanya kazi na kipato hakita pishana. Madaktari watabaki mahospitalini, pia manesi na wafamasia, walimu wataendelea kufundisha shule za msingi, sekondari, vyuo vya kati na vyuo vikuu. Pia wakulima wataendelea na kilimo na hawatadanganyika kununuliwa Tshirt na kufia. Pia wafanya biashara watabaki kwenye biashara. Sheria inayosemwa na JK ya kutenganisha biashara na uongozi haitatatua vurugu za kisiasa mpaka sekta zote ziwe na uwiano sawa wa kipato cha fedha. Hiki ndicho kipaumbele kinachotakiwa kwenda sambamba na vita dhidi ya ufisadi, Watanzania tudai kwa nguvu nchini kote kupunguzwa kwa mishahara na marupurupu ya wanasiasa na kuongezwa katika sekta nyingine ili amani idumu Tanzania. Vinginevyo tukishindwa hili turudishe mfumo wa chama kimoja.


wenye mawazo mgango wakiwatuma nyie wenye akili mgando muwe mnachagua mahali pa kwenda kuhubiri upuuzi huu . Nendeni kule kwa michuzi na wengine hapa hamuwezi fanikiwa wala sitaki kuchangia hoja yako kabisa .
 
wenye mawazo mgango wakiwatuma nyie wenye akili mgando muwe mnachagua mahali pa kwenda kuhubiri upuuzi huu . Nendeni kule kwa michuzi na wengine hapa hamuwezi fanikiwa wala sitaki kuchangia hoja yako kabisa .

Hujanisoma vizuri na kupata ujumbe uliokusudiwa. Umesoma kichwa cha habari tu. Suala la msingi katika hii thread ni ulazima wa watanzania kudai kupunguzwa kwa mishahara na marupurupu ya wanasiasa kama Wabunge, mawaziri n.k. na kuongeza mishahara katika sekta zingine kama afya, elimu, kilimo ns pia biashara kuliko ilivyo sasa ambapo watu wengi wanakimbilia siasa. Vitimbi na vurugu katika siasa kwa kiasi kikubwa vinasababishwa na mgawanyo wa keki ya taifa unaopendelea wanasiasa kuliko sekta zingine na hivyo wengi kukimbilia huko. Kwako huu ni upuuzi siyo? ni mtazamo wako una haki hiyo.
 
Hujanisoma vizuri na kupata ujumbe uliokusudiwa. Umesoma kichwa cha habari tu. Suala la msingi katika hii thread ni ulazima wa watanzania kudai kupunguzwa kwa mishahara na marupurupu ya wanasiasa kama Wabunge, mawaziri n.k. na kuongeza mishahara katika sekta zingine kama afya, elimu, kilimo ns pia biashara kuliko ilivyo sasa ambapo watu wengi wanakimbilia siasa. Vitimbi na vurugu katika siasa kwa kiasi kikubwa vinasababishwa na mgawanyo wa keki ya taifa unaopendelea wanasiasa kuliko sekta zingine na hivyo wengi kukimbilia huko. Kwako huu ni upuuzi siyo? ni mtazamo wako una haki hiyo.




Wewe unataka kukwepa ulichokisema mbona hujafafanua ya kurudi kwenye chama kimoja?Hacha ujanja wa kizamani. Kurudi kwenye chama kimoja kwa sababu ya vurugu ni upuuzi mtupu kwani kwa dunia ya sasa hata cha kimoja chenye vurugu tupu,usijidanganye!!!!!
 
Wewe unataka kukwepa ulichokisema mbona hujafafanua ya kurudi kwenye chama kimoja?Hacha ujanja wa kizamani. Kurudi kwenye chama kimoja kwa sababu ya vurugu ni upuuzi mtupu kwani kwa dunia ya sasa hata cha kimoja chenye vurugu tupu,usijidanganye!!!!!

Tatizo naloona hapa tupo kwenye mawimbi tofauti ya sauti. Ni wazi nimeongelea uhusiano wa chama kimoja na vurugu za kisiasa. Na nimetoa mifano halisi iliyotokea. Cha ajabu ni kuwa si wewe wala Lunyungu mnaotoa mifano halisi ya vurugu za kisiasa zllitokea wakati wa chama kimoja kama ilivyosasa. Ukitaka kutokuwa na mawazo mgando lazima ukubali uhalisia wa vitu hata kama tunavipenda. Tuko mfumo wa vyama vingi ndiyo, lakini haina maana kuwa vyama vingi ni sukari au mwarubaini. Sasa toeni mifano ya vurugu za kisiasa wakati wa mfumo wa chama kimoja nami nitawatolea mlolongo wa matukio halisi. Hebu angalia Zimbabwe.

Pamoja na hoja hii ya vurugu katika mfumo wa vyama vingi nimetoa jawabu ya nini kifanyike. Nimesema watanzania tudai kupunguza maslahi na marupurupu ya wanasiasa kama vile Wabunge, mawaziri n.k. ili kuondoa kutoweka kwa amani kunakotokea katika mfumo wa vyama vingi. Hapa nahitaji watu wenye kutoa hoja zenye kuonyesha mifano halisi siyo majibu ya hisia. Na kwa kweli inampasa kusoma mstari kwa mstari kabla ya kukurupuka na kujibu hoja kijuujuu tu.
 
Siasa za vyama vingi ni lazima zizushe upinzani wakati wa uchaguzi. Hilo ni jambo la kawaida duniani kote.
.

Lakini upinzani katika vyama vingi haina maana ya kuwa na vurugu. Hatuwezi kulea vurugu za kisiasa eti kwa vile tuna 'mpenzi' aitwaye vyama vingi. Lazima tutatue tatizo hili na dawa inayofaa na kupunguza maslahi ya wanasiasa na kuinua hali ya maisha ya wananchi katika sekta zingine pia.
 
...ila ukisema turudishe chama kimoja naona watakununulia nyumba na kukuweka kama malkia.


Jamani tutajifunza lini kusoma kwa makini na kuelewa hoja bila ya hisia. Hapa ulichoandika kimesukumwa na hisia tu, soma tena na uangalie majibu niliyotoa kwa wengine.
 
Mazungumzo yako hayana mana wala hayaeleweki, labda kwa kuwa hujajua bado unataka nini?

Kaka mtanzania usinichukie ila hivi ndivyo ninavyokuchukulia

Very very sorryyyyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Mazungumzo yako hayana mana wala hayaeleweki, labda kwa kuwa hujajua bado unataka nini?

Kaka mtanzania usinichukie ila hivi ndivyo ninavyokuchukulia

Very very sorryyyyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Huwezi elewa kwa vile tuko katika mawimbi tofauti ya sauti, sina masaada kwa hili.
 
Hapana shaka kuwa lazima tutapiga hatua kubwa ya maendeleo na kama kweli na sasa basi tufanye demokrasia ya kweli..!! Ina gharama sana lakini kwa ajili ya watoto wetu
 
Hapana shaka kuwa lazima tutapiga hatua kubwa ya maendeleo na kama kweli na sasa basi tufanye demokrasia ya kweli..!! Ina gharama sana lakini kwa ajili ya watoto wetu

Sawa josh lakini yatupasa kupigania kupunguza maslahi ya wanasiasa ili kuinua wengune pia
 
Vurugu za kisiasa zinazotokea Zanzibar kwa sasa na sehemu zingine wakati wa uchaguzi Tanzania bara zinatoa fundisho moja kubwa kuwa vyama vingi havijengi umoja wa kitaifa. Ingawa inaweza kuonekana kama wendawazimu lakini tukubali, tusikubali kuna umuhimu wa kurudisha mfumo wa chama kimoja ili kudumisha umoja wa Watanzania.

Kuna mlolongo wa matukio ya kutoweka kwa amani ambayo yametokea ndani ya vyama vingi. Matukio ya mauaji ya watu wasiopungua 27 huko Zanzibar wakati wa utawala wa Mkapa, uchomaji moto wa nyumba unaoendelea huko Zanzibar sambamba na uandikishaji wa wapiga kura ni mifano inayoonyesha kuwa mfumo wa vyama vingi hautufai Tanzania. Si hayo tu, kule Tarime wakati wa uchaguzi mdogo wa mbunge baada ya kifo cha Mh. Wangwe zilichochewa na kuwepo kwa mfumo wa chama kimoja. Si hayo tu, vurugu zilizotokea kule Kiteto pia wakati wa uchaguzi mdogo zinatufanya Watanzania tufikirie upya demokrasia ya vyama vingi ambayo tumenakili kutoka ulaya. Hata kura za maoni kuhusu kuanzisha vyama vingi zilionyesha asilimia 90% kutaka kuendelea na mfumo wa chama kimoja. Hili linaweza bishaniwa kuwa kura ya maoni haikuwa huru. Lakini haiondoi ukweli wa kutoweka kwa amani tunakoona sasa nchi kwetu.

Ingawa wengine wanaweza kusema kuwa mfumo wa vyama vingi unasaidia kumeza utengano wa aina nyingine kama ukabila, udini, ukanda n.k. lakini siasa za Tanzania zimesaidia sana kumomonyoa umoja wa Watanzania. Ukabila na udini unatumika kama mtaji wa kisiasa. Kwa maoni yangu mfumo wa chama kimoja utarejesha umoja unaotoweka kati yetu Watanzania.

Vinginevyo ili kokomesha vurugu za kisiasa yatupasa sasa kupanua wigo wa Mapambano nchini petu. Wana harakati, wafanyakazi wa sekta binafsi naya umma, wafanyabiashara na wakulima hatuna budi kuishinikiza serikali ipunguze mishahara na marupurupua ya wanasiasa ili Watanzania wasikimbilie kwenye siasa na hivyo kusababisha kutoweka amani katika nchi yetu. Kwa mfano kodi kwa wafanya biashara na wafanyakazi zinatakiwa ziwe za haki. Kama kipato katika sekta mbalimbali za maisha katika nchi yetu kitakuwa na usawa, vurugu za kisiasa hazitakuwepo kwa sababu kila mtu atachagua pa kufanya kazi na kipato hakita pishana. Madaktari watabaki mahospitalini, pia manesi na wafamasia, walimu wataendelea kufundisha shule za msingi, sekondari, vyuo vya kati na vyuo vikuu. Pia wakulima wataendelea na kilimo na hawatadanganyika kununuliwa Tshirt na kufia. Pia wafanya biashara watabaki kwenye biashara. Sheria inayosemwa na JK ya kutenganisha biashara na uongozi haitatatua vurugu za kisiasa mpaka sekta zote ziwe na uwiano sawa wa kipato cha fedha. Hiki ndicho kipaumbele kinachotakiwa kwenda sambamba na vita dhidi ya ufisadi, Watanzania tudai kwa nguvu nchini kote kupunguzwa kwa mishahara na marupurupu ya wanasiasa na kuongezwa katika sekta nyingine ili amani idumu Tanzania. Vinginevyo tukishindwa hili turudishe mfumo wa chama kimoja.

Ungetushauri tururudisha kipi, kwani sioni/sijui vyama vilivyoondolewa ndo kati ya hivyo vilivyoondolewa turudishe kimoja.
 
Mi sioni haja ya kurudi nyuma kaka/dada Mtanzania, cha msingi ni
1.0 kupunguza vyama/kuvirestrict idadi yake.
2.0 kuunda tume iliyo huru isiyokuwa na mlengo wowote.
3.0 kurekebisha sheria ya uchaguzi.
4.0 Kukubali kuwa katika kushindana chama chochote kinaweza kushinda na kuongoza nchi kiwe na umri wa mwaka mmoja au miaka kadhaaa.

Ahsante kwa maada nzuri, kaka/dada mtanzania.
 
Vurugu za kisiasa zinazotokea Zanzibar kwa sasa na sehemu zingine wakati wa uchaguzi Tanzania bara zinatoa fundisho moja kubwa kuwa vyama vingi havijengi umoja wa kitaifa. Ingawa inaweza kuonekana kama wendawazimu lakini tukubali, tusikubali kuna umuhimu wa kurudisha mfumo wa chama kimoja ili kudumisha umoja wa Watanzania.

Kuna mlolongo wa matukio ya kutoweka kwa amani ambayo yametokea ndani ya vyama vingi. Matukio ya mauaji ya watu wasiopungua 27 huko Zanzibar wakati wa utawala wa Mkapa, uchomaji moto wa nyumba unaoendelea huko Zanzibar sambamba na uandikishaji wa wapiga kura ni mifano inayoonyesha kuwa mfumo wa vyama vingi hautufai Tanzania. Si hayo tu, kule Tarime wakati wa uchaguzi mdogo wa mbunge baada ya kifo cha Mh. Wangwe zilichochewa na kuwepo kwa mfumo wa chama kimoja. Si hayo tu, vurugu zilizotokea kule Kiteto pia wakati wa uchaguzi mdogo zinatufanya Watanzania tufikirie upya demokrasia ya vyama vingi ambayo tumenakili kutoka ulaya. Hata kura za maoni kuhusu kuanzisha vyama vingi zilionyesha asilimia 90% kutaka kuendelea na mfumo wa chama kimoja. Hili linaweza bishaniwa kuwa kura ya maoni haikuwa huru. Lakini haiondoi ukweli wa kutoweka kwa amani tunakoona sasa nchi kwetu.

Ingawa wengine wanaweza kusema kuwa mfumo wa vyama vingi unasaidia kumeza utengano wa aina nyingine kama ukabila, udini, ukanda n.k. lakini siasa za Tanzania zimesaidia sana kumomonyoa umoja wa Watanzania. Ukabila na udini unatumika kama mtaji wa kisiasa. Kwa maoni yangu mfumo wa chama kimoja utarejesha umoja unaotoweka kati yetu Watanzania.

Vinginevyo ili kokomesha vurugu za kisiasa yatupasa sasa kupanua wigo wa Mapambano nchini petu. Wana harakati, wafanyakazi wa sekta binafsi naya umma, wafanyabiashara na wakulima hatuna budi kuishinikiza serikali ipunguze mishahara na marupurupua ya wanasiasa ili Watanzania wasikimbilie kwenye siasa na hivyo kusababisha kutoweka amani katika nchi yetu. Kwa mfano kodi kwa wafanya biashara na wafanyakazi zinatakiwa ziwe za haki. Kama kipato katika sekta mbalimbali za maisha katika nchi yetu kitakuwa na usawa, vurugu za kisiasa hazitakuwepo kwa sababu kila mtu atachagua pa kufanya kazi na kipato hakita pishana. Madaktari watabaki mahospitalini, pia manesi na wafamasia, walimu wataendelea kufundisha shule za msingi, sekondari, vyuo vya kati na vyuo vikuu. Pia wakulima wataendelea na kilimo na hawatadanganyika kununuliwa Tshirt na kufia. Pia wafanya biashara watabaki kwenye biashara. Sheria inayosemwa na JK ya kutenganisha biashara na uongozi haitatatua vurugu za kisiasa mpaka sekta zote ziwe na uwiano sawa wa kipato cha fedha. Hiki ndicho kipaumbele kinachotakiwa kwenda sambamba na vita dhidi ya ufisadi, Watanzania tudai kwa nguvu nchini kote kupunguzwa kwa mishahara na marupurupu ya wanasiasa na kuongezwa katika sekta nyingine ili amani idumu Tanzania. Vinginevyo tukishindwa hili turudishe mfumo wa chama kimoja.

Kabla ya kurukia kwenye point ya kurudisha chama kimoja, Je ufikiria na kutafakari nini chanzo cha vurugu hizo? Na kurudisha chama kimoja ni solotion ya vurugu? na hicho chama kutakachorudi kiitwe jina gani ? CUF, Sauti ya Umma, TLP, CHADEMA, CCM, UDP ... ?
 
Mara nyingi ama muonekano wa mtu kwenye picha yake huwa unamfanya mtu kuanza kumwelewa mtu huyo hata tabia zake .Sisi wazoefu hapa JF huwa tuna angalia kichw acha habari na mstari wa kwanza wa post na ule mwisho kama wewe umeandika gazeti la kipuuzi kama hilo. Suggestions za kupuuzi zote zitasomwa na wapuuzi si sisi . Unajua kwa kawaida huwa situmii lugha hii ila naona mnakuja kwa wingi toka huko mnako tumwa kuja kutuvuruga . Hapa ni kweli ni mahali pa kulumbana kwa points hadi tunapata mwelekeo ila si mahali pa kuja kupima joto kama JK na TV LIVE mmepata kichaa etu kajitahidi kujibu maswali umasikini na mafisadi wanapenda . Haya uko tayari turudishe Chadema ama CUF na kufuta CCM ?
 
[SIZE=4 said:
Kicheruka;587938]Kabla ya kurukia kwenye point ya kurudisha chama kimoja, Je ufikiria na kutafakari nini chanzo cha vurugu hizo? Na kurudisha chama kimoja ni solotion ya vurugu? na hicho chama kutakachorudi kiitwe jina gani ? CUF, Sauti ya Umma, TLP, CHADEMA, CCM, UDP ...[/SIZE] ?

Umeuliza swali zuri sana. Maelezo ya hapo juu yana majibu ya swali lako kwa kiasi fulani. Nimesema kuwa chanzo cha vurugu za kisiasa ni keki kubwa ya taifa kupewa wanasiasa pekee. Unakuta pension ya mbunge baada ya miaka mitano tu ni milioni 50 (50,000,000) wakati wafanyakazi sekta nyingine wanapata pension ya milioni 5 baada ya kutumikia taifa kwa miaka 30! Pia mishahara ya mawaziri, wabunge, Spika, na wanasiasa wengine ipo juu sana. Sasa angalia kwingine. Daktari analipwa tuseme laki tatu kwa mwezi.

Kwa sababu ya maslahi makubwa watu wengi wanakimbilia siasa. Vurugu hizi za siasa ki msingi ni za kugombea maslahi. Lakini kama maslahi katika idara zingine kama shule za sekondari, msingi, vyuo vya kati, vyuo vikuu, biashara(ushuru wa haki) yangekuwa mazuri kungekuwa na mgawanyo mzuri na kusingekuwa na mbio kukimbilia siasa. Haya nimeyaeleza hapo juu.

Sasa kwa vile kuna maslahi makubwa katika siasa chama tawala kila wakati hutumia jeshi ili kudhibiti vyama vingine. Lakini msukumo wa CCM Tanzania na vyama vingine vya siasa nchi zingine kuleta vurugu unasababishwa na mgawanyo usio wa haki wa maslahi. Kwa hivo chama chochote cha siasa kitakachoshika madaraka katika nchi yetu bado kitakandamiza vyama vingine. Kwa hivo ni chama gani, hilo linafaa kujibiwa na kila mtanzania.

Lakini suluhisho nililorudia mara nyingi hapo juu ni sisi watanzania kupigania kupunguzwa kwa maslahi ya wanasiasa na kuinua hali ya maslahi kwa sekta zingine pia. Hii ni changamoto mpya kwatu watanzania tulifanye sasa ili kurudisha amani katika nchi yetu. Tukishindwa hili ndiyo nikasema tutakuwa tunachagua kurudi kwenye chama kimoja. Lakini nina imani kuwa tunaweza kuilazimisha serikali ya CCM kushusha maslahi ya wanasiasa ili amani idumu katika mfumo huu wa vyama vingi.
 
Mara nyingi ama muonekano wa mtu kwenye picha yake huwa unamfanya mtu kuanza kumwelewa mtu huyo hata tabia zake .Sisi wazoefu hapa JF huwa tuna angalia kichw acha habari na mstari wa kwanza wa post na ule mwisho kama wewe umeandika gazeti la kipuuzi kama hilo. Suggestions za kupuuzi zote zitasomwa na wapuuzi si sisi . Unajua kwa kawaida huwa situmii lugha hii ila naona mnakuja kwa wingi toka huko mnako tumwa kuja kutuvuruga . Hapa ni kweli ni mahali pa kulumbana kwa points hadi tunapata mwelekeo ila si mahali pa kuja kupima joto kama JK na TV LIVE mmepata kichaa etu kajitahidi kujibu maswali umasikini na mafisadi wanapenda . Haya uko tayari turudishe Chadema ama CUF na kufuta CCM ?

Nilikuwa sahihi kusema umesoma kichwa cha habari tu, na ukahitimisha kwa hisia. Lunyungu nakushauri uchukue tabia ya kiume ambayo haiongozwi na hisia. Isije ikawa unaozeefu unaoongelea ni wa hisia hisia. Sasa acha mawazo yako mgando ya hisia, soma habari yote kisha toa hoja zinazoambatana na matukio halisi acha hisia.
 
Back
Top Bottom