Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Last edited by a moderator:
asante sana kwa vielelezo...!
Nilikua nauliza...! Hivi polisi wanapotoa kibali cha maandamano huwani cha maandishi au ni cha mdomo? Kama ni cha maandishi kinastahili kitolewe ndani ya muda gani?
Je inapotokea polisi wanasitisha maandamano, je huwa wanasitisha kwa kutoa kauli tu au na wao wanastahili watoe notisi kwa maandishi? Je notisi hii inastahili iwe ni ya muda gani? Niliona mkuu wa jeshi la polisi amesitisha maandamano kwa kutoa kauli tu kwenye tv je, kama mtu hauangalii tv uatapataje ujumbe? Na je tv ni chombo maalum kisheria kinachotambulika kutoa matangazo ya kisheria?
Naomba wanasheria mnisaidie tafadhali....!
Pole sana wafiwa na wote waliojeruhiwa. Mungu azilale pepa roho zote.