Sasa maandamano ya nini? na huyo dogo mwingine si achukue bible akojelee ili ngoma iwe droo.......hawa ndugu zangu reasoning yao huwa ni hafifu kabisa...Niko kwenye dalala natokea mbagala kwenda posta nasikia waislaamu wanaandamana na police wanajalibu kuwatawanya kwa kupiga mabomu ya machozi kisa mtoto kakojolea msaafu.
Sasa maandamano ya nini? na huyo dogo mwingine si achukue bible akojelee ili ngoma iwe droo.......hawa ndugu zangu reasoning yao huwa ni hafifu kabisa...
hapa mkuu usirukie kwenye conclusion.....tujue kwanza ilikuwaje....kama ni wakristo wamefanya hivyo wachukuliwe hatua....ni lazima dini zote tuheshimiane.....kila mtu ana uhuru wa kuabudu.....
Preta njoo nikonong'oneze
hapana....hatuendi hivyo....kila mtu ana haki....hatufundishwi katika maandiko kudharaulina....na wala kuingiliana katika imani.....kama ni wakristo wamefanya hivyo....nalaani sana hicho kitendo.....ni wapumbavu.....
hapa mkuu usirukie kwenye conclusion.....tujue kwanza ilikuwaje....kama ni wakristo wamefanya hivyo wachukuliwe hatua....ni lazima dini zote tuheshimiane.....kila mtu ana uhuru wa kuabudu.....
Kuwa makini na comments zako. Aliyekwambia indivijo wa miaka 7 kwa Waislamu ni mtoto ni nani, ikiwa she-indivijo wa miaka 6 anatosha ku-do-iwa na indivijo wa kiume wa ova 50? (Na sio kinguonguo)
Kwa kifupi sheria za hapa zingekuwa legelege, umri huo unaousema saa hizi angekuwa anajiandaa kwa sherehe ya mwaka mmoja wa ndoa.
Kwa mujibu wa Bhukari, huyo ni mkubwa tu, tena sana.
Penda kupitia thread za wenzako unakurupuka tu kama umetoka kufumaniwa
Ukweli unabaki kuwa MUNGU hana DINI. Yanayotaka kufumuka NCHI hii ni UPUMBAVU tu. Mwalimu aliuita UDINI kuwa ni UPUMBAVU kwenye hotuba yake kwenye mkutano mkuu wa CCM uliomteua Mkapa kugombea urais kwa mara ya kwanza mwaka 1995.Mungu wangu si Mungu wa Waislamu, wangu ni Yahweh au Yehova aliyemtoa Yesu akafa kwa ajili yangu. Si Mungu wa machafuko kama mungu allah. Yeye ni wa amani, upendo, utulivu. Na jina lake jingine ni UPENDO.
mungu wa machafuko ni lucifer, yule joka wa zamani aitwaye ibilisi anayewadanganya watu kuwa wakiua wanaingia mbinguni ilhali wanaujaza ufalme wake wa kuzimu, ili washiriki pamoja naye ule moto na adhabu ya milele
mtoto wa miaka mingapi? kama yuko chini ya miaka 7,basi hao waliondamana watakuwa na mtindio wa ubongo na FFU wawapige mabomu na vitu vizito.
Napenda sana comments zako, hauko biased, naamini hivi ndivyo tunavyotakiwa kuishi kwenye jamii hii ya dini mchanganyiko- hakuna aliye mbora kwenye nchi hii zaidi ya mwenzake. Matusi haya tunayotupiana ni cheche za hatari mno!! Kila mwenye masikio na asikie na kila mwenye macho na aone!!
aliyeikojolea kuruani ni mtoto wa miaka 9-11. Source ITV