Hayajamani
JF-Expert Member
- Jul 2, 2012
- 883
- 269
Kazi ipo, mtoto ni mtu below 18 yrs, sasa huyo asiyekuwa na akili komavu ndiye anayeingiza watu mabarabarani kweli! Au issue nyingine? Kama ni hiyo basi hicho kikundi kitakuwa na yao wasingizie dini ya watu tu. Hakuna Mungu anayeweza kukubali wendawazimu wanaofanya upumbavu