NTWA MWIKEMO
JF-Expert Member
- Oct 7, 2014
- 734
- 365
Mbona naona viti tuView attachment 1375655
View attachment 1375656
Lengo kuu ni Chadema ijibu mapigo ili wapate kisingizio cha kuzuia Mikutano ya Mbowe inayoendelea .
Mbona naona viti tuView attachment 1375655
View attachment 1375656
Lengo kuu ni Chadema ijibu mapigo ili wapate kisingizio cha kuzuia Mikutano ya Mbowe inayoendelea .
Kama mlijua mlichukua hatua gani?
Wewe mwenyewe unashindwa kutomtaja kila siku unahisi hao wapinzani wataweza?Halafu unaona wengine wakicheka na Magufuli nyumbani kwake...ni wakati wapinzani mumfungie vioo Magufuli..he is just playing you guys
Wewe mwenyewe unashindwa kutomtaja kila siku unahisi hao wapinzani wataweza?
Magufuli kama maji tu.
Magufuli ni mwepesi kuliko pambaWewe mwenyewe unashindwa kutomtaja kila siku unahisi hao wapinzani wataweza?
Magufuli kama maji usipo kunywa, utaoga, utafulia etc.
Hilo ndilo lengo. Ni vyema CHADEMA walishajua mtego huo siku nyingi.Lengo kuu ni Chadema ijibu mapigo ili wapate kisingizio cha kuzuia Mikutano ya Mbowe inayoendelea .
NonsenseMbowe analipia dhambi ya usaliti kwa makosa aliyofanya 2015 baada ya kubadili gia angani,hakuna atakayemuonea huruma ,kwani alimpokea Lowassa pesa akala yeye na wafuasi wake wachache
Mnataka na nyie mpigwe auKama mlijua mlichukua hatua gani?
Watakuwa in red bridged hao!View attachment 1375655
View attachment 1375656
Lengo kuu ni Chadema ijibu mapigo ili wapate kisingizio cha kuzuia Mikutano ya Mbowe inayoendelea .
Halafu unaona wengine wakicheka na Magufuli nyumbani kwake...ni wakati wapinzani mumfungie vioo Magufuli..he is just playing you guys
Halafu unaona wengine wakicheka na Magufuli nyumbani kwake...ni wakati wapinzani mumfungie vioo Magufuli..he is just playing you guys
Mimi ni green guard?
Very stupid comment from a stupid characterMbowe analipia dhambi ya usaliti kwa makosa aliyofanya 2015 baada ya kubadili gia angani,hakuna atakayemuonea huruma ,kwani alimpokea Lowassa pesa akala yeye na wafuasi wake wachache
Bila background check. We unaota?Kikwete alijua yote haya
Ukweli unauma.Very stupid comment from a stupid character
Kwa jina hilo la OCD lazima alete fujo.View attachment 1375655
View attachment 1375656
Lengo kuu ni Chadema ijibu mapigo ili wapate kisingizio cha kuzuia Mikutano ya Mbowe inayoendelea .