Vurugu kubwa zaibuka.. Ndani ya kanisa la morovian kinondoni...na kusababisha uhalibifu wa mali

Bata batani

JF-Expert Member
Nov 11, 2011
3,179
3,539
vurugu kubwa zimeibuka ndani ya kanisa la morovian jimbo la kinondoni baina ya waumini na baadhi ya viongozi wa juu wa kanisa wa kanisa hiloo. Vurugu hizo zilitokea kati ya kundi linalomuunga mkono uteuzi wa mchungaji huyo wa jimbo na kundi linalopinga uteuzi wa mchungaji james mwakalile,

chanzo cha vurugu hizoo zinasemekana ni kundi kubwa la waumini na baadhi ya viongozi wa kanisa kupinga uteuzi wa mchungaji james mwakalile, aidha katika vurugu hizoo baadhi ya mali za kanisa ziliweza kuharibiwa kualibiwaa . Vurugu hizoo hazikuishia hapo.....pia kuna kundi la waumini liliweza kuvamia nyumba ya mchungaji na kutoa vitu vyake njee ya nyumba....

Itv wakati ikiwa inaawahoji baadhi ya waumini walilalamika ...kuwa uteuzi wa mchungaji wao haukufatwa na katiba ya kanisa....kuna wengine walimshutumu askofu mkuu ndugu lusekelo kuwa kuna ukabilaa ..wa upendeleo wa watu kutoka kwao....

Source::itv habali
 
haya madaraka haya yataua wengi jamani.

ivi mchungaji huchaguliwa ama anasomea kazi iyo na kuqualify?
na si huwa wanapangwa kwenye vituo vya kazi?? ukiona hivyo ujue rooho wa Mungu hapo hayupo manake Mungu hujiteuliya wachungaji wake.

ndio mana nasema RC are much better katika kupata mapadri watakao kuwa maparoko
 
RC huwezi kuta mambo hayo hata siku1..
na hapo watakwambia wameokoka na hawatendi dhambii.
 
Chanzo chako cha habari si sahihi.Labda kama ni ITV Habari. Lakini,umeeleweka na asante kwa taarifa
 
vurugu kubwa zimeibuka ndani ya kanisa la morovian jimbo la kinondoni baina ya waumini na baadhi ya viongozi wa juu wa kanisa wa kanisa hiloo. Vurugu hizo zilitokea kati ya kundi linalomuunga mkono uteuzi wa mchungaji huyo wa jimbo na kundi linalopinga uteuzi wa mchungaji james mwakalile,

chanzo cha vurugu hizoo zinasemekana ni kundi kubwa la waumini na baadhi ya viongozi wa kanisa kupinga uteuzi wa mchungaji james mwakalile, aidha katika vurugu hizoo baadhi ya mali za kanisa ziliweza kuharibiwa kualibiwaa . Vurugu hizoo hazikuishia hapo.....pia kuna kundi la waumini liliweza kuvamia nyumba ya mchungaji na kutoa vitu vyake njee ya nyumba....

Itv wakati ikiwa inaawahoji baadhi ya waumini walilalamika ...kuwa uteuzi wa mchungaji wao haukufatwa na katiba ya kanisa....kuna wengine walimshutumu askofu mkuu ndugu lusekelo kuwa kuna ukabilaa ..wa upendeleo wa watu kutoka kwao....

Source::itv habali
Wanagombania kula,ni kawaida yao hawa.
 
Hapo hakuna dini...Dini katiba yake ni kitbu cha Mungu sio katiba ya kina mwa...Dini inautartibu wakupata viongozi napi dini haivurugi mali za viongozi wala waumini hawavunji vitu vya ibada
 
migogoro katika la morovian ni kitu cha kawaida,nakumbumbuka mgogoro kama huo ulishawai kutokea katika kanisa la morovian tabata mwaka jana hadi kusababisha mchungaji mmoja kujeruhiwa na panga hii ....tatizo la morovian si katiba bali ni madaraka,....waumini wengi wa morovian ni wanyakyusa....tatizo la wanyaksusa wengi wanapenda madaraka na uongozi.......kila mtu anataka kuonekana ana mkubwa....na ikitokea mchaga.mpemba,mkurya,mpare,au kabila lingine atatengenezewa zongoo...mpaka kutishiwa maisha hapo hakuna dini....mbona rc,sabato,kkkt,angalikana,mashaidi wa yehova ...hakuna hayo mamboo hayoo....
 
Makanisa yaliyoazishwa na wanadamu ndio zao kugombea madaraka ya 'KULA' ila ktk kanisa aliloacha YESU huwezi kukuta mambo ya kijinga kama hayo nalo ni kanisa KATOLIKI! hakuna ujinga ujinga!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom