Vurugu kubwa zaibuka.. Ndani ya kanisa la morovian kinondoni...na kusababisha uhalibifu wa mali

Sio Moravian tu hata KKKT, WAISLAMU, ANGLIKAN, SABATO, na 'vioski' kama vile vya akina mlima wa moto, upako, ufufuo, Kobe,efata vyote ni matatizo matupu kutokana na UMIMI! ndani ya Roman hakuna ujinga huu!
 
Makanisa yaliyoazishwa na wanadamu ndio zao kugombea madaraka ya 'KULA' ila ktk kanisa aliloacha YESU huwezi kukuta mambo ya kijinga kama hayo nalo ni kanisa KATOLIKI! hakuna ujinga ujinga!

Una uhakika?? Yesu akuacha kanisa aliacha
wanafunzi wake na akawambia wakae pale mpaka wapate nguvu ya Roho mtakatifu na kanisa lilianza siku ya Pentekoste baada ya nguvu Ya Roho mtakatifu kuwa shukia na kuanza kunena kwa Lugha mpya na watu Wengi wakawa waamini.sasa Biblia haikutaja jina la kanisa hilo.
 
RC huwezi kuta mambo hayo hata siku1..
na hapo watakwambia wameokoka na hawatendi dhambii.


RC MAMBO YAO NI HAYA

http://topics.nytimes.com/top/reference/timestopics/organizations/r/roman_catholic_church_sex_abuse_cases/index.html

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Roman_Catholic_Church_sexual_abuse_scandal_in_Ireland

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Catholic_sex_abuse_cases
 
Sio Moravian tu hata KKKT, WAISLAMU, ANGLIKAN, SABATO, na 'vioski' kama vile vya akina mlima wa moto, upako, ufufuo, Kobe,efata vyote ni matatizo matupu kutokana na UMIMI! ndani ya Roman hakuna ujinga huu!

huu ndio ujanja wa RC

http://en.m.wikipedia.org/wiki/Roman_Catholic_Church_sexual_abuse_scandal_in_Ireland
 
Madhara ya kuchagua viongozi wa dini kwa nyia ya kura za waumini.ni lazima kama ilivyo kwenye siasa yawepo makundi makundi ya kampeni na yanayotaka mgombea wao ashinde ili wapate upendeleo fulani, pindi mgombea wao anaposhindwa hujisahau kuwa ni watu wa dini na kurudi kwenye asili yao....."roma locuta est - causa finita est"
 
haya madaraka haya yataua wengi jamani.

ivi mchungaji huchaguliwa ama anasomea kazi iyo na kuqualify?
na si huwa wanapangwa kwenye vituo vya kazi?? ukiona hivyo ujue rooho wa Mungu hapo hayupo manake Mungu hujiteuliya wachungaji wake.

ndio mana nasema RC are much better katika kupata mapadri watakao kuwa maparoko

RC huwezi kuta mambo hayo hata siku1..
na hapo watakwambia wameokoka na hawatendi dhambii.

Jamaani guys, msiseme hivyo hata kidogo xx hakuna mambo kama hayo wala yy hakuna mambo kama hayo. Zengwe zipo kila mahali, habari insema katika uteuzi askofu hakufuata taratibu za uteuzi(hakukua na fair apointment kwa waliopendekezwa).

Tumeona zengwe nyingi kila kona kwenye cozi za upadri, uteuzi wa maaskofu, makadinari,Pope,wachungaji nk.

Please dont choose a side sababu binadamu tulio wengi ni selfish na Mungu ni mtu wa kusamehe.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom