assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,904
- 4,050
Vijana akinamama, wamegoma nyumba zao kuwekwa X na hivyo Polisi kurusha mabomu.
" Sisi akinamama tunaambiwa si tulimchagua Magufuli sasa tunaisoma namba" alisikika mama mmoja.
My take;
Mh Magufuli ingilia kati hili zoezi tunakoelekea litaleta maafa, busara inahitajika.
Chanzo: Channel ten
" Sisi akinamama tunaambiwa si tulimchagua Magufuli sasa tunaisoma namba" alisikika mama mmoja.
My take;
Mh Magufuli ingilia kati hili zoezi tunakoelekea litaleta maafa, busara inahitajika.
Chanzo: Channel ten