Ipi hiyo mkuuipo moja kali saana zaid ya hii
Je kuna warranty? Maana simu kama s7, kuna chache zinakuwaga na defective cameras... Je kwa mfano ukiiuzia hiyo, nikakutana na hilo tatizo, naweza rudisha?hili ndo ulisahau...bas pamoja mkuu!
Unarudisha unabadilishiwa...ila ni ndani ya miezi 6 tu...pamoja na tatzo lolote lingne la software...japo cm zipo hazina hayo matatzoJe kuna warranty? Maana simu kama s7, kuna chache zinakuwaga na defective cameras... Je kwa mfano ukiiuzia hiyo, nikakutana na hilo tatizo, naweza rudisha?
mbona tukia PM hutujibu?Poa karibu saana
mbona tukija PM kuulizia bei za bidhaa hutujibu?Unarudisha unabadilishiwa...ila ni ndani ya miezi 6 tu...pamoja na tatzo lolote lingne la software...japo cm zipo hazina hayo matatzo
zimeisha kwa sasa kiongozi...
huo mzigo wa cyan ni hatare shida pesa tu...mkuuVunjabei matelephones tunakupa offer ya mwaka.
Samsung s7 edge mpyaa na accessories zote kwa bei chee 980k tu. Comes with with original charger, usb adaptor, original headset, plus quality back cover na free tampered glass protector.
Zimebak 3, mpyaa.
Bei lak 9 na 80 elfu
Call or Whatsapp 0654776976. Unaletewa mpaka ulipo