Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 47,614
- 40,765
Hili ndio lilifanya wakongo wapendwe na hawa wadada wetu tokea enzi hizo ila sasa lazima tuende sawa
Yaani, sasa mbona wewe Babu yangu kisha waweke lugha hiyo!?
Kwa hiyo hata hapo kwako unashikisha ukuta wanao na wajukuu hadi vitukuu wako!?
Sijasema hivyo, matamanio yangu mimi baada ya kubugia vumbi la Kongo ni wewe tu wa kuniliwaza.
Utatoa wapi hz nguvu za kumsukuma,hapo anakuwa na nguvu kama Simba dume tena haskiii kabisaaa mpaka uchubukeNa ukiona mpenzi wako anatumia madawa ya kuongeza nguvu jua hakupendi anataka kukutesa eti masaa upo kifuani tu mbona nitakusukuma
kweli kabisaHili nimelijalibu, nilichogundua, vitu viwili. Kwanza haiongeze nguvu, kwahiyo tegemea nguvu ulizonazo, pili, kazi yake kubwa kupunguza ladha halisi, ya utamu wa mchezo, yaani dushe linapata ganzi fulani hivi, ambayo inafanya usisikie ile ladha halisi, ambayo itakayokusababishia umalize mapema. Kama nia kumuonyesha mwanamke mpya wewe ni nani inafaa, ila kwa mkeo hii ni marufuku, sababu hutoweza kuitumia hii kila unapotaka kumtumbuiza mkeo. Zingatio hii kitu haitoi nguvu za mkopo, lazima hivo basi lazima uwe nazo zako. Na hii ni kwa mechi maalumu tu, na sio kila mechi.
dushe inapata ganzi yani ukitomba kama unapiga puchu tu husikii raha yoyoteHii kitu nasikia inakua inaparalyse dushelele so in long run no shida
Basy hapo kunakua hàkuna upendoHilo ndilo lengo halisi na sio kustareheshana kama asili ya tendo.
Vipi mkuu wewe ushawahi kuitumia??? Tupe uzoefu wako kwenye hili.... Iyo siku ulikomoaaa auhii kitu jau spidi yako ndio itakayokusaidia kutafuta bao kama pumzi huna utajuta halafu inamaliza kabisa nguvu kwenye magoti
Wapenzi wa hizo mambo wanakwambia lengo lao ni waonekane kuwa wanaweza kuwaridhisha wenzawao kwa kiwango kisicho cha kawaida.Taabu inakuja pale ambapo anataka mpaka dushe yake ilio na ganzi ihisi mguso.Basy hapo kunakua hàkuna upendo
Kwanini kukomoana sasa
Hello Ladies and Gentlemen,ntafuteni niwape suluhisho la kudumu