kikwete toa speech na kukemea btw, hawa ndugu zetu waislam hawajui kuwa siku hizi tunazo biblia kwenya tablets aka i pad, ipad+3G, ipad 2, ipad2+3G , i pad 3,simu kibao i phone generations , i phone 3, i phone 4, iphone 5, ma samsung Galax daaaaaaaah natamani nitaje vyote hapa na niwape hawa waislam na link za app za bible .
So wakojolee tu hata wazinyee. Sisi tuna touch tu kitu bible kinatokea .. Kama yeye kidume aje akojolee i pad 3 yangu nimtoe koromea.
Usihukumiwe uislamu kwasababu ya tendo la mtu mmoja mwenye mtazamo wake tofauti,tena mtu tu asiye na madaraka yeyote ndani ya umma wa waislamu! Hakuna sehemu hata moja uislamu ulipohimiza chuki na vitendo vya kichokozi bali watu kama watu wanafanya watakavyo kwa visingizio vya uislamu kutokana na maono yao hafifu.
Mimi ni muislam lakini binafsi siuchukii ukristo simply kutokana na baadhi ya wapuuzi wachache wanaojiita wakristo jinsi wanavyoitukana imani yangu na kejeli za kuchukiza (Ikiwemo ndani ya JF) maana najua hayo ni maono yao na wala si ukristo,hakuna sehemu kwenye bible inayowataka wafanye hivyo . Contrary na mtazamo wao uraiani 90% ya marafiki zangu ni wa kristo na tunaishi kwa raha kupita kiasi na tunashirikiana katika kila jambo.
Huyo mtu aliyefanya huo upuuzi ahukumiwe yeye kama yeye jambo kuwa anajiita muislam lakini uislamu ni zaidi ya jina la mtu tu, huyo mtu wala asipewe publicity yeyote adharauriwe tu ana stress zake za maisha.
Source gazeti la Majira
Katika kile kinachoonekana ni vuguvugu la udini na ulipizaji kisasi katika mkoa wa Tanga imeripotiwa kuwa kitabu kitakatifu kwa Waumini wa dini ya KIkristo kimekojokewa na mtu anayeaminika kuwa ni mwislam na ikitafsiliwa ni ulipizaji kisasi kwa kilichotokea Mbagala.
No comment on that
Usihukumiwe uislamu kwasababu ya tendo la mtu mmoja mwenye mtazamo wake tofauti,tena mtu tu asiye na madaraka yeyote ndani ya umma wa waislamu! Hakuna sehemu hata moja uislamu ulipohimiza chuki na vitendo vya kichokozi bali watu kama watu wanafanya watakavyo kwa visingizio vya uislamu kutokana na maono yao hafifu.
Mimi ni muislam lakini binafsi siuchukii ukristo simply kutokana na baadhi ya wapuuzi wachache wanaojiita wakristo jinsi wanavyoitukana imani yangu na kejeli za kuchukiza (Ikiwemo ndani ya JF) maana najua hayo ni maono yao na wala si ukristo,hakuna sehemu kwenye bible inayowataka wafanye hivyo . Contrary na mtazamo wao uraiani 90% ya marafiki zangu ni wa kristo na tunaishi kwa raha kupita kiasi na tunashirikiana katika kila jambo.
Huyo mtu aliyefanya huo upuuzi ahukumiwe yeye kama yeye jambo kuwa anajiita muislam lakini uislamu ni zaidi ya jina la mtu tu, huyo mtu wala asipewe publicity yeyote adharauriwe tu ana stress zake za maisha.
Source gazeti la Majira
Katika kile kinachoonekana ni vuguvugu la udini na ulipizaji kisasi katika mkoa wa Tanga imeripotiwa kuwa kitabu kitakatifu kwa Waumini wa dini ya KIkristo kimekojokewa na mtu anayeaminika kuwa ni mwislam na ikitafsiliwa ni ulipizaji kisasi kwa kilichotokea Mbagala.
No comment on that
Kwa Wakristu "neno" ni zaidi ya kitabu; tunaambiwa katika Yohana 1: kuwa "Neno akataa mwili akakaa kwetu". Neno ni zaidi ya kitabu ni nafsi hai.
kikwete toa speech na kukemea btw, hawa ndugu zetu waislam hawajui kuwa siku hizi tunazo biblia kwenya tablets aka i pad, ipad+3g, ipad 2, ipad2+3g , i pad 3,simu kibao i phone generations , i phone 3, i phone 4, iphone 5, ma samsung galax daaaaaaaah natamani nitaje vyote hapa na niwape hawa waislam na link za app za bible .
So wakojolee tu hata wazinyee. Sisi tuna touch tu kitu bible kinatokea .. Kama yeye kidume aje akojolee i pad 3 yangu nimtoe koromea.