kikwete toa speech na kukemea btw, hawa ndugu zetu waislam hawajui kuwa siku hizi tunazo biblia kwenya tablets aka i pad, ipad+3G, ipad 2, ipad2+3G , i pad 3,simu kibao i phone generations , i phone 3, i phone 4, iphone 5, ma samsung Galax daaaaaaaah natamani nitaje vyote hapa na niwape hawa waislam na link za app za bible .
So wakojolee tu hata wazinyee. Sisi tuna touch tu kitu bible kinatokea .. Kama yeye kidume aje akojolee i pad 3 yangu nimtoe koromea.
sisi wakristo hatuna shida 2naangaika kujenga shule na mahospt hatuna muda wa kuandamana
Hiyo source yako mbona ipo kihuni sana eti majira.Sema la tarehe ngapi na ukurasa wa ngapi ndo tutakuelewa.Siku nyingine ujifunze kuleta taarifa leo nimekustahi
Nalaani vikali ndugu huyo aliyekojolea kitabu kitakatifu kwa ndugu zetu wakristo, alicho kifanya ni kitendo cha kipumbavu ambacho ni kinyume na mafundisho ya mtume wetu Muhammad SAW. Muislamu aliyetimamu hawezi kufanya jambo la kumuudhi na kumkwaza asiye muislamu.
Tunapaswa kuishi kwa kuheshimiana na kuvumiliana na ikitokea tofauti miongoni mwetu kama ilivyo kawaida ya kiasili ya kibinadamu tunapaswa kufunguliana milango ya majadiliano huku tukiongozwa na upendo miongoni mwetu.
NALAANI VIKALI KIJJANA ALIYE KOJOLEA BIBLIA.
hata tukienda huko msikitini tutaharibu nn mikeka au kumwaga maji EEH MWENYEZI MUNGU MSAMEHE AJUI ATENDALO