Vua gamba vaa gwanda ndani ya mwanga kilimanjaro

Jumanne Mkota

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
2,917
1,660
wana Bodi
Huku kukiwa na vuguvugu kali la kisiasa na kijamii hapa Mwanga kuhusu wazazi kuanza kuchangishwa kati ya Tsh 500 - 1000 kwa ajili ya ununuzi wa Chaki Shule za Msingi. Leo tarehe 18/05/2012 makamanda wa ukweli aka wazee wa m4c wapo Mwanga wana mikutano 10 ya operesheni hii muhimu kwa ukombozi wetu. nitawajulisha kila kinachojiri hapa Kituri CDM ilipoanzia wilayani Mwanga. Stay Turned
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom