Utekelezaji wa Kauli mbiu ya vua Gamba, chana Gwanda vaa uzalendo kutikisa Bunge la bajeti ya serikali 2012-13.
Wabunge wazalendo kutoka CCM wataongoza kwa hoja na vitendo katika kujadili na kupitisha Bajeti ya Serikali kwa manufaa ya Watanzania wote.
Aidha kwa upande mwingine wabunge kutoka CHADEMA wametabanaisha kuwa watavua Magwanda yao mazito na kuvaa uzalendo katika kutetea maslahi ya Taifa.
Daima CCM itabaki kuwa CCM for Peace & Development.
Wabunge wazalendo kutoka CCM wataongoza kwa hoja na vitendo katika kujadili na kupitisha Bajeti ya Serikali kwa manufaa ya Watanzania wote.
Aidha kwa upande mwingine wabunge kutoka CHADEMA wametabanaisha kuwa watavua Magwanda yao mazito na kuvaa uzalendo katika kutetea maslahi ya Taifa.
Daima CCM itabaki kuwa CCM for Peace & Development.