mbu wa dengue
JF-Expert Member
- Jun 2, 2014
- 7,658
- 9,760
ifuatishe hiyo link ukishafika mwisho utasearch proton vpn itakuja utadownload
Naipataje hiyo mkuu?
Naipataje hiyo mkuu?
Wakafilane mbali hukooooKulikuwa na vitisho vya TCRA kudeal na wanaotumia VPN Je hilo linawezekana?
Watz wamekubaliana na utawala wa kiimlaHuna akili!Suluhisho siyo VPN.Unaelewa kuwa kutumia VPN Tanzania ni kosa la jinai?.Serekali ya CCM chini ya Magufuli tayari ilishatunga sheria ya kukataza matumizi ya VPN Tanzania.Magufuli anasubiria aapishwe afute internet pamoja na matumizi yote ya mitandao ya kijamii Tanzania.Suluhisho pekee ni kuitoa CCM madarakani kwa jasho na damu.View attachment 1616137
Inasikitisha sanaUmenichekesha sana mkuu
Yangu ipo tanzania yani ni ukatili tu
Meko huyoWaliofungia mitandao matterco yao na baba zao
Yaani huyo baba sio Msukuma nakuapia kuna DNA za akina DandayeHuna akili!Suluhisho siyo VPN.Unaelewa kuwa kutumia VPN Tanzania ni kosa la jinai?.Serekali ya CCM chini ya Magufuli tayari ilishatunga sheria ya kukataza matumizi ya VPN Tanzania.Magufuli anasubiria aapishwe afute internet pamoja na matumizi yote ya mitandao ya kijamii Tanzania.Suluhisho pekee ni kuitoa CCM madarakani kwa jasho na damu.View attachment 1616137
Msitegemee huyo dictator uchwara atarudisha mtandao na huku mnataka kuandamana, tunzeni VPN Zenu vizuri. Na 2025 Anagombea tena tusipomfunga brake now.Meko huyo
Umejiunga kifurushi cha bei rahisi tatizo. Jiunge cha buku 5Napelekwa sehemu za ajabu sana Mara
Kathmandu's Nepal
Mongolia
Solomon island
.
Tonga
Mbona siend sehem nzur kama wenzangu
Kulikuwa na vitisho vya TCRA kudeal na wanaotumia VPN Je hilo linawezekana?