OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,191
- 103,713
Makamu wa rais, Samia Suluhu amesema viongozi wa dini wana nafasi ya kuikosoa serikali pindi wanapoona inakosea na hakuna tatizo katika hilo isipokuwa ifuate utaratibu unaofaa.
Msikilize
Staha kama hiyo atumie pia jiwe"Watumie staha"nadhani akina Kakobe watakuwa wameshamuelewa.
Hakuna mtu mwenye staha kama raisi wetu wa "kushikilia hapo hapo" John Pombe Magufuli.Staha kama hiyo atumie pia jiwe
Asante mama yetu...na wote mlioweka bidii kwene kufanya hilo liwezekane kwaserikali....
Hahahaha huu siyo ushabiki bali haya ni mahaba kabisaHakuna mtu mwenye staha kama raisi wetu wa "kushikilia hapo hapo" John Pombe Magufuli.
wakosoe wakati mnawajengea makao makuu? mwambieni ponda akosoe tuone kama kweli mpotayari kukosolewa.BAKWATA nao waanze kukosoa.