Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
ndugu ktk uchaguzi mkuu uliopita ni watu 8mil ndio walishiriki kikamilifu ktk mchakato wa kupiga kura instead ya 21mil km ilivyopaswa/ilivyotegemewa. Je tatizo ni nin? Nini kifanyike? Vp kuhusu mfumo wa sasa unaotumiwa na NEC ktk kuandikisha hawa wapiga kura wasiopiga kura unamapungufu gani? Nini kiboreshwe!